secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 22,116
- 45,842
Sasa yale mogoli yanaanza kuzinduliwa leo.Nimejikuta nimemiss magoli ya kihuni (magoli ya kona huku kipa akifanyiwa undava)
Leo ndo leo!
Sasa yale mogoli yanaanza kuzinduliwa leo.Nimejikuta nimemiss magoli ya kihuni (magoli ya kona huku kipa akifanyiwa undava)
kwa hiyo mnamtegeme kopamaNyie viazi kuleni kabisa chakula cha usiku sahizi,msije mkalala njaa. kwa jinsi tutakavyowashenyeta badae hamtapa hamu ya kula.
Tunamtegemea mchelekwa hiyo mnamtegeme kopama
GameAhaa Wewe Mashabiki Wa Arsenal Tupo Wa Kumwaga 2 Si Unaona Jinsi Chelsea Alivyopelekwa Mperampera?
Abedayor Bado Kijana Mdogo Anayo Nafasi Ya Kujifunza Toka Kwa Wakongwe Kama Mtu Mzima Henry Na Van Persie Kwa Hiyo Tumpe 2 Nafasi
SAka, havertz, gyokeres sijawahi waelewa.Hiki kitu nimewahi kuzungumza kwenye jukwaa hili lenu mnawachezaji wengi wa kawaida ambao ukiwatoa Rice, Raya labda na Saliba ambapo wakienda Chelsea au Man City wanakula benchi ila Sasa Castr anavyowapaisha Hana tofauti na mashabiki wa manyumbu utofauti uko wapi ni kwasababu ya mfumo wa Arteta unafanya wanaonekana wapo kwasababu ya ile team work.