Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 38,629
- 77,881
Pale juu kuna baridi sana Sidhani kama mtaweza kuvumilia.
Pale juu kuna baridi sana Sidhani kama mtaweza kuvumilia.
Weka lile lingine ili kuwakera akina Mbaga Jr.GOAL! Havertz produces a precise strike to beat the goalkeeper! Arsenal 1-1 Chelsea
View attachment 3664699
Mlijiongelesha wee kama kawaida yenuNyie hamna kitu.... Zaidi ya kipa na beki !
Mbele kule ndio usiongee kabisa .... kai ? Eze ? Kichaa Victor Goyk ? Ama saka ambae hana consistence.....
Mid yenu pia yupo Rice tu...ode mpaka aamke vizuri, zubimendi Epl imemshinda, Bruno G huyu ni mtu haswa... changamoto hawezi kukupa mechi 10 consecutively, trip shamba trip gereji .....
Chelsea wanaweza kuwatoa kamasi, japo nao timu yao haiko poa, lakini attacking yao ipo njema kuliko kina Saka na Eze
Level yenu ya defense inaenda kupimwa leo.Ukitaka kujua level yenu ya Defence inaenda kupimwa leo
Banda umiza nililo kuwepo Kuna mashabiki wa Chelsea walikuwa wanamtukanaKuna siku nilikua namjibu jamaa wa chelsea kwamba online wanasema Morgan isingekua goli lake basi angekua mzururaji.
Hilo limejirudia leo.
Nilisema chelsea wangetuheshimu na kupaki basi kama Villa labda yasingetokea haya. Tzolis amekua wa moto tena coz walicheza kwa kutaka kubishana.
Kwa hizi statistics na ukiwasikiliza kenge walichokua wanadai juu ya timu yao unabaki kuwaonea huruma.
View attachment 3664734
Hao wachezaji wa 'moments' sio wazuri kwenye long runs kama hivi za ligiBanda umiza nililo kuwepo Kuna mashabiki wa Chelsea walikuwa wanamtukana
Si mmeruhusu goalLevel yenu ya defense inaenda kupimwa leo.
Hua mnatoa wapi hizi kauli za kipumbavu?
Na Bado 😎Inasikitisha sana mkuu 😭
Kupunguza idadi ya magoli. Laiti leo angekua Sanchez basi mkono ulikua unawahusuSasa swali la msingi.
Chelsea walibadilisha kipa kwa lengo gani haswa?
Hawa watu wanaact kwa mihemko.