Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna timu mbili hazijaconcede goli mpaka sasa.

Arsenal na Hull City.

Hull leo wanakua wamecheza mechi ya 3 bila kuconcede.

Arsenal kesho tupo dimbani
 
Arsenal's net transfer spending for the 2026–27 summer window is approximately £75 million to £78.91 million (around €91.95 million according to Transfermarkt), driven by high-profile arrivals like Bruno Guimarães and Ezri Konsa.

Transfer Breakdown

    • Total Expenditure: Around £199 million (€227.1m) on new signings, including Bruno Guimarães from Newcastle and Ezri Konsa from Aston Villa.
    • Total Income: Roughly £120 million to £124 million (€135.15m) generated from player departures and sales
 
Kuna timu mbili hazijaconcede goli mpaka sasa.

Arsenal na Hull City.

Hull leo wanakua wamecheza mechi ya 3 bila kuconcede.

Arsenal kesho tupo dimbani
Tatizo aina ya team mlizokutana nazo subiri balaa la leo mtakuja mnaubora gani kwenye defence
 
Tatizo aina ya team mlizokutana nazo subiri balaa la leo mtakuja mnaubora gani kwenye defence
Arsenal kaanza msimu dhidi ya City chini ya kocha mliyedai ni bora kuliko Arteta hajaconcede.

Akafuatiwa bingwa wa champioship chini ya kocha mliyedai ni bora kuliko Arteta hajaconcede.

Ikafuatiwa dhidi ya timu iliyo UEFA ambapo chelsea haipo hajaconcede hata shot on target.

Kuna shabiki wa united hua sijibu posts zake kwasababu niliona anaandika utumbo sana. Hii game ya leo ikiwa vile unavyosema nitaheshimu kwamba ulikua unaandika vitu unavijua ila mimi sikua naona.

Ikiwa hovyo na wewe itabidi ukae kushoto kwasababu unaandika sana broken.
 
Tatizo aina ya team mlizokutana nazo subiri balaa la leo mtakuja mnaubora gani kwenye defence
IMG-20260905-WA0008.jpg
 
Ila sahivi tumekuwa strong sana, not a full squad lakini unaona we deploy total dominance, my problem with Arteta ni kwamba we're not entertaing as much km ilivyokuwa kipindi cha nyuma, kitu ambacho kinaninyima hali ya kuangalia game the full 90
 
Mwarobaini wa tatizo letu la kucheza sexy football ni kusajili superstar attackers, sahivi tunakosa balance btn defence na attacks, Vini Jr kama angesajiliwa ilikuwa ni asset kubwa sana kuliko Alvarez
 
Chelsea leo wana attacks ipo relaxed kuliko yetu, they can pose a threat lkn haituzuii kushinda mechi, Arteta na Berta wameruhusu Chelsea na City Ku strengthen their squads wakati sisi tupo pale pale attacking-wise, hiki ndio kinafanya wao kuingia kwenye equation kurival dhidi yetu.
 
Arsenal kaanza msimu dhidi ya City chini ya kocha mliyedai ni bora kuliko Arteta hajaconcede.

Akafuatiwa bingwa wa champioship chini ya kocha mliyedai ni bora kuliko Arteta hajaconcede.

Ikafuatiwa dhidi ya timu iliyo UEFA ambapo chelsea haipo hajaconcede hata shot on target.

Kuna shabiki wa united hua sijibu posts zake kwasababu niliona anaandika utumbo sana. Hii game ya leo ikiwa vile unavyosema nitaheshimu kwamba ulikua unaandika vitu unavijua ila mimi sikua naona.

Ikiwa hovyo na wewe itabidi ukae kushoto kwasababu unaandika sana broken.
Huyu jamaa ana mahaba sana na chelsea mpaka haoni uhalisia
 
Ila sahivi tumekuwa strong sana, not a full squad lakini unaona we deploy total dominance, my problem with Arteta ni kwamba we're not entertaing as much km ilivyokuwa kipindi cha nyuma, kitu ambacho kinaninyima hali ya kuangalia game the full 90
Kwenye video ambayo page ya chelsea ilipost ya ushindi wao wa mwaka 2009 ukisikiliza vizuri unamsikia mtangazaji anasema "Kama kawaida, Arsenal inacheza mpira, Chelsea inascore"
 
Mwarobaini wa tatizo letu la kucheza sexy football ni kusajili superstar attackers, sahivi tunakosa balance btn defence na attacks, Vini Jr kama angesajiliwa ilikuwa ni asset kubwa sana kuliko Alvarez
Msimu kabla haujaanza Arteta alisema anapunguza kuwacontrol wachezaji na kuacha individual brilliance ichukue nafasi zaidi.

Ilikua response ya swali la timu kucheza kwenye wanachoita second gear.

Lakini 22/23, 23/24 tumecheza sexy football. Kilichotokea tumeona.
 
Wakati Arteta anafika alimkuta jamaa anaitwa Maitland-Niles akawa anamtumia kama beki.

Mshkaji akawa hataki kua beki, hii ikachangia kuondoka kwake Arsenal.

Miaka 6 mbele anasajiliwa Everton na anachezeshwa nafasi ya beki wa kulia.

Nafasi aliyoona hafai akaondoka Arsenal. Same story inaweza kutokea kwa Nwaneri, Arteta alikua anamtumia jamaa kama RW ila yeye anataka awe CM kiasi imebidi atoke kwa mkopo msimu uliopita na msimu huu ametoka kwa mkopo kwaajili hiyo pia.
 
Nyie watu jiandaeni kisaikolojia kabisa, maana kwa kujinyonga nyie hamchelewi, mpuuzeni huyu kichwa maji wenu humu anaewadanganya kila kukicha.
 
Chelsea leo wana attacks ipo relaxed kuliko yetu, they can pose a threat lkn haituzuii kushinda mechi, Arteta na Berta wameruhusu Chelsea na City Ku strengthen their squads wakati sisi tupo pale pale attacking-wise, hiki ndio kinafanya wao kuingia kwenye equation kurival dhidi yetu.
Leo nimekutana na shabiki wa arsenal ambae sio mgonjwa wa akili.
 
Nyie hamna kitu.... Zaidi ya kipa na beki !
Mbele kule ndio usiongee kabisa .... kai ? Eze ? Kichaa Victor Goyk ? Ama saka ambae hana consistence.....

Mid yenu pia yupo Rice tu...ode mpaka aamke vizuri, zubimendi Epl imemshinda, Bruno G huyu ni mtu haswa... changamoto hawezi kukupa mechi 10 consecutively, trip shamba trip gereji .....

Chelsea wanaweza kuwatoa kamasi, japo nao timu yao haiko poa, lakini attacking yao ipo njema kuliko kina Saka na Eze
 
Nyie hamna kitu.... Zaidi ya kipa na beki !
Mbele kule ndio usiongee kabisa .... kai ? Eze ? Kichaa Victor Goyk ? Ama saka ambae hana consistence.....

Mid yenu pia yupo Rice tu...ode mpaka aamke vizuri, zubimendi Epl imemshinda, Bruno G huyu ni mtu haswa... changamoto hawezi kukupa mechi 10 consecutively, trip shamba trip gereji .....

Chelsea wanaweza kuwatoa kamasi, japo nao timu yao haiko poa, lakini attacking yao ipo njema kuliko kina Saka na Eze
Wapinzani mnatafuta kila namna ya kujipa furaha
 
Arsenal kaanza msimu dhidi ya City chini ya kocha mliyedai ni bora kuliko Arteta hajaconcede.

Akafuatiwa bingwa wa champioship chini ya kocha mliyedai ni bora kuliko Arteta hajaconcede.

Ikafuatiwa dhidi ya timu iliyo UEFA ambapo chelsea haipo hajaconcede hata shot on target.

Kuna shabiki wa united hua sijibu posts zake kwasababu niliona anaandika utumbo sana. Hii game ya leo ikiwa vile unavyosema nitaheshimu kwamba ulikua unaandika vitu unavijua ila mimi sikua naona.

Ikiwa hovyo na wewe itabidi ukae kushoto kwasababu unaandika sana broken.
Enzo Maresca kawa Bora kuliko Arteta tangu lini? Enzo Maresca inabidi awe na muda pale Man City kama ambavyo Arteta alivyopewa na Arsenal ndio atapimwa kwahiyo upaswi kumpima kwa kutumia kigezo cha Ngao ya hisani. Wewe subiri tu hiyo saa 12 na nusu huone mziki mnene
 
Chelsea leo wana attacks ipo relaxed kuliko yetu, they can pose a threat lkn haituzuii kushinda mechi, Arteta na Berta wameruhusu Chelsea na City Ku strengthen their squads wakati sisi tupo pale pale attacking-wise, hiki ndio kinafanya wao kuingia kwenye equation kurival dhidi yetu.
Ukitaka kujua level yenu ya Defence inaenda kupimwa leo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom