Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,984
- 113,849
Leo palmer naona anacheza kama beki 😅Hii ilibidi iwe kadi ya pili kwa bwana Palmer
Leo palmer naona anacheza kama beki 😅Hii ilibidi iwe kadi ya pili kwa bwana Palmer
Wewe ni mshabiki ambaye unajitambuaSAka, havertz, gyokeres sijawahi waelewa.
Kupata striker wa viwango nyakati hizi ni kazi sana, tuishi na waliopo tu.hakuna ng'ombe asiefaa, kai katusawazishia lakini bado kwangu ni kiazi
Kenge ametoa ✅Mwenge hautaruka kijiji safari hii
Villa ashatoa ✅
Chelsea kaahidi⏳
Yaani hao ni BEKA NA BAKARIYani Gyokeres yuko Arsenal alafu Doumbia yuko Simba kweli?!
Hilo goli walipigwa City pia
Mbona Odegard haujamweka hapoSAka, havertz, gyokeres sijawahi waelewa.
Arsenal tunacheza 4 2 3 1. Ninafikiri hii ni response ya 3 4 2 1 ya chelsea kwakua hii formation itasaidia kutanua uwanja ambapo kwenye back three uwanja kutanuliwa hua inakua sehemu ya weakness yake.
Naona tuna Rice na Skelly katikati. Tutafeast kama Rice atacheza long balls vizuri na Skelly atafocus na kucheza through balls, hizi pasi za kuchana defense ni dawa nzuri kwa back 3.
Lakini pia tunahitaji pace, Tzolis anayo, Saka anayo. Odegaard na Kai hawana, kutokana na hili natarajia tucheze compact sana. Dowman akiingia itakua sawa, leo kwa back 3 hata Madueke akiingia ni sawa.
Bruno akiingia baadaye atakua kajua wapi pa kupiga pasi na nani amchezee ubabe, defense yetu leo ina sura mpya Konsa. Namchukulia mid huyu tangu yupo Villa so leo akomae kuonyesha uwezo.
Tunahitaji kushinda angalau magoli 3 bila goli kama tunataka kukaa pale juu. Arteta awaonyeshe vijana tweets na posts za hawa watu ili wajue jinsi wanavyosubiriwa kushindwa.
COY
Pale juu kuna baridi sana Sidhani kama mtaweza kuvumilia.Arsenal tunacheza 4 2 3 1. Ninafikiri hii ni response ya 3 4 2 1 ya chelsea kwakua hii formation itasaidia kutanua uwanja ambapo kwenye back three uwanja kutanuliwa hua inakua sehemu ya weakness yake.
Naona tuna Rice na Skelly katikati. Tutafeast kama Rice atacheza long balls vizuri na Skelly atafocus na kucheza through balls, hizi pasi za kuchana defense ni dawa nzuri kwa back 3.
Lakini pia tunahitaji pace, Tzolis anayo, Saka anayo. Odegaard na Kai hawana, kutokana na hili natarajia tucheze compact sana. Dowman akiingia itakua sawa, leo kwa back 3 hata Madueke akiingia ni sawa.
Bruno akiingia baadaye atakua kajua wapi pa kupiga pasi na nani amchezee ubabe, defense yetu leo ina sura mpya Konsa. Namchukulia mid huyu jamaa tangu yupo Villa so leo akomae kuonyesha uwezo.
Tunahitaji kushinda angalau magoli 3 bila goli kama tunataka kukaa pale juu. Arteta awaonyeshe vijana tweets na posts za hawa watu ili wajue jinsi wanavyosubiriwa kushindwa.
COYG