Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Timu imecheza vizuri kwa kiasi chake

Tuwaone pia hawa wajuba Eze, Bruno, Merino, Gyokeres

Kenge inabidi wafe chuma 3+
 
Kuna wajinga walikua wanazunguka humu wanasema "Leo defense ya Arsenal tunaipima"

Kumbe ndiyo ilikua hizo long balls, kuvizia counter na free kicks?

Pumbavu sana nyinyi watu.
 
Ila mashabiki wa chelsea ni wapuuzi.

Kuna game tuliwahi kuwafunga 1 bila wakasema wamecheza mpira mkubwa sana na ni dalili watafuta uteja soon.

Next game ilivyokuja wakafa.

Naona leo wanasema wamecheza mpira mkubwa sana kwahiyo wanaamini tarehe 13 watakomesha uteja.
 
Arsenal tunacheza 4 2 3 1. Ninafikiri hii ni response ya 3 4 2 1 ya chelsea kwakua hii formation itasaidia kutanua uwanja ambapo kwenye back three uwanja kutanuliwa hua inakua sehemu ya weakness yake.

Naona tuna Rice na Skelly katikati. Tutafeast kama Rice atacheza long balls vizuri na Skelly atafocus na kucheza through balls, hizi pasi za kuchana defense ni dawa nzuri kwa back 3.

Lakini pia tunahitaji pace, Tzolis anayo, Saka anayo. Odegaard na Kai hawana, kutokana na hili natarajia tucheze compact sana. Dowman akiingia itakua sawa, leo kwa back 3 hata Madueke akiingia ni sawa.

Bruno akiingia baadaye atakua kajua wapi pa kupiga pasi na nani amchezee ubabe, defense yetu leo ina sura mpya Konsa. Namchukulia mid huyu tangu yupo Villa so leo akomae kuonyesha uwezo.

Tunahitaji kushinda angalau magoli 3 bila goli kama tunataka kukaa pale juu. Arteta awaonyeshe vijana tweets na posts za hawa watu ili wajue jinsi wanavyosubiriwa kushindwa.

COY

Arsenal tunacheza 4 2 3 1. Ninafikiri hii ni response ya 3 4 2 1 ya chelsea kwakua hii formation itasaidia kutanua uwanja ambapo kwenye back three uwanja kutanuliwa hua inakua sehemu ya weakness yake.

Naona tuna Rice na Skelly katikati. Tutafeast kama Rice atacheza long balls vizuri na Skelly atafocus na kucheza through balls, hizi pasi za kuchana defense ni dawa nzuri kwa back 3.

Lakini pia tunahitaji pace, Tzolis anayo, Saka anayo. Odegaard na Kai hawana, kutokana na hili natarajia tucheze compact sana. Dowman akiingia itakua sawa, leo kwa back 3 hata Madueke akiingia ni sawa.

Bruno akiingia baadaye atakua kajua wapi pa kupiga pasi na nani amchezee ubabe, defense yetu leo ina sura mpya Konsa. Namchukulia mid huyu jamaa tangu yupo Villa so leo akomae kuonyesha uwezo.

Tunahitaji kushinda angalau magoli 3 bila goli kama tunataka kukaa pale juu. Arteta awaonyeshe vijana tweets na posts za hawa watu ili wajue jinsi wanavyosubiriwa kushindwa.

COYG
Pale juu kuna baridi sana Sidhani kama mtaweza kuvumilia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom