Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hua nasema mashabiki wa chelsea machizi.

Sasa nenda X halafu search #enzofiles

Mashabiki wa chelsea wanatuma videos zikionyesha jinsi Enzo Fernandez alivyo mbovu uwanjani. Wengine wameenda mbali na kuonyesha juu ya ubaguzi wa rangi.

Hawa ni wapuuzi waliokesha kudai hakuna kiungo kama Enzo, alivyoflop wakamleta Caicedo. Alivyoflop na huyu wanaongea juu ya interceptions.

Siku hizi siwajibu hawa kenge.
 
Hua nasema mashabiki wa chelsea machizi.

Sasa nenda X halafu search #enzofiles

Mashabiki wa chelsea wanatuma videos zikionyesha jinsi Enzo Fernandez alivyo mbovu uwanjani. Wengine wameenda mbali na kuonyesha juu ya ubaguzi wa rangi.

Hawa ni wapuuzi waliokesha kudai hakuna kiungo kama Enzo, alivyoflop wakamleta Caicedo. Alivyoflop na huyu wanaongea juu ya interceptions.

Siku hizi siwajibu hawa kenge.
Caicedo ni kiungo mkabaji Bora duniani acha kumvunjia heshima
 
Tushacheza na front three yenye

Mbappe, Vini, Rodrygo
Diaz, Kane, Olise

Hao wote hawakuweza kuscore 1+

Nyie kenge wenye Kopama, Estevao na Welbeck mkipata goli zaidi ya moja iyo mechi mmeshinda nawapa alama tatu
Hii inaitwa JP Morgan ( Joao Pedro, Palmer na Morgan Rogers) tutawapima mabeki wenu Wana uwezo wa kukimbia kiasi gani
 
Nyie jiongelesheni tu na kujijibu wenyewe, badala ya kutafuta namna ya kuizuia ile Front three ya chelsea msije mkadhalilika.

Kwa hiyo akili zako ndio zimekutuma Caseido anachezaga peke yake.
Mmeshatafuta kichaka cha kujificha. Caicedo hachez peke yake😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom