Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 38,301
- 77,011
Timu ninayo mwaka huu.Napiga hesabu jinsi ya kukaa juu yenu
Ili niwe bingwa EPL
Timu ninayo mwaka huu
Natumaini unaiangalia timu yako
Timu ninayo mwaka huu.Napiga hesabu jinsi ya kukaa juu yenu
Ili niwe bingwa EPL
Timu ninayo mwaka huu
Unaona kwanini watu hawazungumzii Spurs? Na huyu kocha mzuriChelsea ndio team ina wachezaji wengi wenye ubora Kuliko team yoyote Epl na pia wamebaki na key players wake Cole Palmer, Caicedo, Colwil, JOAO PEDRO, Reece James, Estevao Kuna nafasi chache wameongezea watu na nyingine wamejazia kwa hiyo msimu huu watasumbua wakikaa sawa pia kumbuka hawana michuano mingi hiyo pia ni faida ya kujijenga ndicho kilisaidia chini ya Conte kubeba ubingwa msimu wake wa Kwanza ikiwa msimu uliopita wake tulishika nafasi ya 10.
Lazima pia ujue reason kwanini Chelsea alishika nafasi ya kumi msimu uliopita? Kwanza tulikuwa tuna defence ya ovyo sana we imagine Tosin, Badiashile ndio walikuwa mabeki na hapo hapo beki wetu tegemeo Colwil akapata injury iliyomfanya akae nje msimu wote. Mchezaji wetu Bora Cole Palmer nae akapata injury iliyomfanya akose mechi nyingi. Safari hii Colwil Yuko fit na Kuna back up kwenye nafasi yake zile takataka mbili zilizokuwa zinagawa points za Bure kwa wapinzani yaani Badiashile na mwenzake Tosin zimeondolewa, Delap anauzwa alivyoumia Cole Palmer ikabidi Enzo Maresca amtumie JOAO PEDRO kama no 10 alafu na no 9 akae mchezaji hewa Delap kwenye mechi nyingi hii ilichangia sana kumpunguzia magoal Joao Pedro.
Ukikutana na team hizi msimu huu jipange Chelsea na Spurs, mfano Spurs watu hawawazungumzii ila Wana team nzuri sana na imekamilika kila idara naona ni team itakayotoa challenge msimu huu Kwanza Wana kocha mzuri alafu ni sahihi kuliko team kama Man City, Liverpool na Man City.
Kwangu namuona Spurs ni Bora kuliko Man City, Liverpool na Man U sijui kwanini watu wanatoa kwenye big 4Unaona kwanini watu hawazungumzii Spurs? Na huyu kocha mzuri
Kwenye first eleven yao wengi ni walewale waliotaka kuwashusha daraja mwaka jana De Zerbi ana attitude ya kuenjoy kuwafunga Giants yeye kufungwa na timu ndogo haimsumbui.Kwangu namuona Spurs ni Bora kuliko Man City, Liverpool na Man U sijui kwanini watu wanatoa kwenye big 4
Nanunua sijui hata size jamani 😂🤣Hiyo jezi ushanunua kwanza?
Mpe boda alete hapa gerezani namsubiri..!!
Medium navaa usianze visingizio vyako hapa 😹😹Nanunua sijui hata size jamani 😂🤣
We kuweza? 😹😹Unaambiwa mtaka cha uvunguni sharti ainame.
Shida yako Lamomy hutaki kuinama
Imani yangu kwa Spurs ni kubwa japo wamepoteza kwa Brentford ila tuwe wa kweli Brentford ni team haswa na bahati mzuri hawajapoteza wachezaji wao muhimuKwenye first eleven yao wengi ni walewale waliotaka kuwashusha daraja mwaka jana De Zerbi ana attitude ya kuenjoy kuwafunga Giants yeye kufungwa na timu ndogo haimsumbui.
Chukua hiyo combo ilete EPL. Majibu ndiyo haya
Ungekua wewe ningeinama. makaveli10 pambana mwanetuWe kuweza? 😹😹
Unyumbu ni mwingi sanaNapiga hesabu jinsi ya kukaa juu yenu
Ili niwe bingwa EPL
Timu ninayo mwaka huu
Dah, mwanangu wewe una shida sana.. haya nitakuchukulia ataileta hapo bolt gerezani.. utanipanga muda na kutuma location ya bolt tu.Medium navaa usianze visingizio vyako hapa 😹😹
Huyu ni mwanangu wa faida, uchawi ni mgai gai kinoooma.Ungekua wewe ningeinama. makaveli10 pambana mwanetu