Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unaambiwa baada ya game ya juzi ya Nyumbu ambayo walipigwa mbili na Hull timu iliyopanda daraja, Michael Carrick kwa kuwaonea huruma wachezaji wake akawapa siku mbili za kupumzika.

Jumapili na Jumatatu na leo watafanya mazoezi mepesi ya push ups kumi kila mmoja na kurudi nyumbani
 
No clean sheet.

Poor defense awareness.

Wachezaji wako bora Enzo kaanzia benchi Caicedo hajulikani alipo.

Kipa hamna kitu.

Hayo ni maelezo ya online jana sijaangalia mechi sina cha kusema.
Tangu Blueco wamiliki Chelsea msimu huu ndio tuna defence nzuri sana partnership ya Lacroix na Colwil itasumbua sana EPL shida yetu ni moja Sanchez sijui ni mtukane kiasi gani nilijua msimu huu atabadilika ila karudi vile vile kawazawadia Fulham mabao yote mwili kirahisi kabisa huyu jamaa anakera ile mbaya
 
Chelsea anacheza na Brighton, akimalizana na Brighton anakutana na Arsenal.
Caicedo alikuwa ana umwa tumbo wakati wa warm up ndio maana hakucheza hii game nahitamani sana front 3 yetu ya mbele ni unstoppable Cole Palmer, Joao Pedro na Morgan Rogers omba hiyo usikutane nayo ndio imeamua mechi ya jana ila yule mpumbavu Sanchez akawa anatukaba Nina Imani game inayofuata Hatokaa golini namjua vizuri Xabi Hana uvumilivu.
 
Caicedo alikuwa ana umwa tumbo wakati wa warm up ndio maana hakucheza hii game nahitamani sana front 3 yetu ya mbele ni unstoppable Cole Palmer, Joao Pedro na Morgan Rogers omba hiyo usikutane nayo ndio imeamua mechi ya jana ila yule mpumbavu Sanchez akawa anatukaba Nina Imani game inayofuata Hatokaa golini namjua vizuri Xabi Hana uvumilivu.
Online wanadai Morgan asingefunga hilo goli alikua mzururaji tu asiye na mbele wala nyuma.

Kwamba Palmer hii ndiyo mechi yake nzuri baada ya mwaka mzima kucheza makida makida.

Bora Caicedo hakuepo angekuepo lazima na yeye angewabariki Fulham goli
 
Umeongea kishabiki Zaidi
Kitakwimu

Morgan amegusa mpira mara 41

Amepiga pasi 23, 16 zilikua sahihi. Pasi nne zilikua za kuingia final third.

Ametengeneza nafasi 5 za kufunga. Hana assist.

Amepokonywa mpira mara 1. Amepoteza mpira mara 3.

Amepiga mashuti 3, 1 ni on target mawili yalikua blocked.

Tukifuatisha takwimu hizo hizo tukamchukua AM wa Fulham, Joshua King, stats zao haziachani.

What does this tell you?
 
Kitakwimu

Morgan amegusa mpira mara 41

Amepiga pasi 23, 16 zilikua sahihi. Pasi nne zilikua za kuingia final third.

Ametengeneza nafasi 5 za kufunga. Hana assist.

Amepokonywa mpira mara 1. Amepoteza mpira mara 3.

Amepiga mashuti 3, 1 ni on target mawili yalikua blocked.

Tukifuatisha takwimu hizo hizo tukamchukua AM wa Fulham, Joshua King, stats zao haziachani.

What does this tell you?
Sasa hiyo ni Takwimu mbaya? Na hiyo ni mechi yake ya Kwanza unaona impact
 
Dowman amekatisha masomo ili afocus na namba yake pale Arsenal. Madueke ajiangalie.

Nwaneri alisema akitia mguu uwanjani ni kua CM siyo RW. Eze ajiangalie.

Kwenye swala la Eze kutokua serious naona wengi tunakubaliana ana hii changamoto so huyu jamaa anaweza akachomoka kimasihara sana.

Tuna wachezaji wawili mpaka watano ambao timu kama Aston Villa, Palace, zinaweza kufaidika nao. Maajabu ni ile kwamba hakuna anayekuja kuwaulizia.

We are not selling club ila kuna watu inabidi waende
 
Defence yenu siyo nzuri. Advantage mliyonayo ni kwamba haitatumika mara kwa mara kwakua hamna michuano ya nje.
Ubaya wa defence huko wapi sema ni vile haukuangalia mpira Sanchez mguuni ni mbovu na kudaka napo ana makosa yake mipira ansyopiga sio sahihi ndio maana anaiweka team kwenye hatari lakini defenders unaona kazi wanaifanya
 
Ubaya wa defence huko wapi sema ni vile haukuangalia mpira Sanchez mguuni ni mbovu na kudaka napo ana makosa yake mipira ansyopiga sio sahihi ndio maana anaiweka team kwenye hatari lakini defenders unaona kazi wanaifanya
Defence sio mbovu lakini bado haipo sawa, wanapitika kirahisi. Halafu ukiwapgia mipira mirefu kuzuia kwa tabu sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom