Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Screenshot_20260822-083742.png

Kuna mtu anakuambia Caicedo anakua first eleven ya timu yoyote
 
Hivi Arteta ana mpango gani na Gyokeres?
Mechi ya jana hakupewa nafasi...I guess something must be cooking up🤔

kiuwezo gyökeres na hata jesus wanastahili kuwa wana anza kila game ila ki mfumo wa arteta ,kai ana faida zaidi.. mwingine ni merino.. hao watu wako mbele ya gyökeres na jesus ki mfumo kuanza pale juu.
 
kiuwezo gyökeres na hata jesus wanastahili kuwa wana anza kila game ila ki mfumo wa arteta ,kai ana faida zaidi.. mwingine ni merino.. hao watu wako mbele ya gyökeres na jesus ki mfumo kuanza pale juu.
Pasi anazopiga Odegaard kwa Kai akiwepo Gyokeres hauzioni.

Alichofanya jana mpaka Tzolis akawa offside ndicho anachomfanyia Gyokeres mara nyingi.

Sasa inawezekana Kai ana uwezo mkubwa wa kumsoma Odegaard kwamba ni anao anao sana au Odegaard hana pace so pasi za kumuweka offside zinamkuta yupo onside.

Arsenal tumeulizia Alvarez, style yake ya uchezaji haina tofauti na Jesus. Pengine Jesus anaondoka au Alvarez anakua LW na Tzolis.
 
Saka alitolewa akaingia Madueke.

Tzolis alitolewa akaingia Eze

Na hapo hapo timu ikawa siyo lethal tena.

Tofauti ilikua kubwa hata kipofu angeiona.

Eze asipoangalia inawezekana January asifike kwa huu ubrazaman.

Madueke hatujui alichompa Arteta.

Unaacha kumpa minutes Dowman unampa namba Madueke hata hajui afanye nini na mpira
 
Wakati Tzolis ananunuliwa nilikua naona mashabiki wa timu pinzani wanasema tumeishiwa ni kivipi tunatoa mchezaji kutoka ligi ya Ubelgiji.

Wakasema Vinicius tumemkosa tumeambulia galasa. Wakamalizia kwa kusema alishakua flop Norwich hana kipya cha kutoa.

Mimi sikuwahi kumjua huyu jamaa, nikaona tweet moja inasema aliyempeleka Kvaraskhelia Napoli ndiye kawaonyesha Arsenal Tzolis kama wanampinga wasubiri wajionee (sijaconfirm kama tweet ilikua sahihi tho, I just believed it)

Ebwana kweli, huyu jamaa anakupa kila kitu kwa balansi ileile.

Nilimuangalia kuanzia friend matches na jamaa alikua fire. Analinda na kushambulia kwa intensity ile ile, Martinelli alikua analinda zaidi akienda kushambulia anakua na akili ya Madueke. Mpira utoke nje au aurudishe nyuma. Miaka ya karibuni hakua vizuri kwenye 1v1.

Realistically, Calafiori anakupa asilimia kubwa kwenye kushambulia kuliko kulinda hivyo Tzolis angekua amefocus kushambulia pekee upande wao ungekua uchochoro.

Pamoja na kwamba haukua uchochoro ila kitakwimu mashambulizi mengi ya Coventry yamepitia kule. Saka na White wanajuana so upande wao haukutumiwa sana.

Ile tweet ya kusema aliyemuona Kvaraskhelia ndiye kamuona Tzolis subiri mjionee naona mmiliki wake atakua anachekelea pembeni.

Sasa hivi hausikii stori za Norwich, Vinicius au Ubelgiji
 
Wakati Tzolis ananunuliwa nilikua naona mashabiki wa timu pinzani wanasema tumeishiwa ni kivipi tunatoa mchezaji kutoka ligi ya Ubelgiji.

Wakasema Vinicius tumemkosa tumeambulia galasa. Wakamalizia kwa kusema alishakua flop Norwich hana kipya cha kutoa.

Mimi sikuwahi kumjua huyu jamaa, nikaona tweet moja inasema aliyempeleka Kvaraskhelia Napoli ndiye kawaonyesha Arsenal Tzolis kama wanampinga wasubiri wajionee (sijaconfirm kama tweet ilikua sahihi tho, I just believed it)

Ebwana kweli, huyu jamaa anakupa kila kitu kwa balansi ileile.

Nilimuangalia kuanzia friend matches na jamaa alikua fire. Analinda na kushambulia kwa intensity ile ile, Martinelli alikua analinda zaidi akienda kushambulia anakua na akili ya Madueke. Mpira utoke nje au aurudishe nyuma. Miaka ya karibuni hakua vizuri kwenye 1v1.

Realistically, Calafiori anakupa asilimia kubwa kwenye kushambulia kuliko kulinda hivyo Tzolis angekua amefocus kushambulia pekee upande wao ungekua uchochoro.

Pamoja na kwamba haukua uchochoro ila kitakwimu mashambulizi mengi ya Coventry yamepitia kule. Saka na White wanajuana so upande wao haukutumiwa sana.

Ile tweet ya kusema aliyemuona Kvaraskhelia ndiye kamuona Tzolis subiri mjionee naona mmiliki wake atakua anachekelea pembeni.

Sasa hivi hausikii stori za Norwich, Vinicius au Ubelgiji
Nyie kweli vichaa, sifa zoote kw huto tumechi na timu ya championship
 
Mwenye uwezo,mipango na Mbinu atachukua ubingwa, km var kila mtu inambeba na Kuna muda inamkandamiza, Kuna msimu arsenal waliteswa sana na red card,penalty na goli za Mpira kuvuka mstari nje nk...
So tuache hivyo visingizio mserereko kwamba Timu zingine zilikuwa dhaifu, huko ni kukosa heshima kwd mpinzani au wapinzani wako wa Mpira... So Man utd,Liverpool,Man city,Madrid,Barcelona nk enzi hizo wanachukua vikombe walichukua Kwa ubwete bila kuvuja jasho na damu???
Hivi ulikuwa ujui Man U alikuwa anabebwa tena walikuwa Wana Refa wao Howard Webb akichezesha huyo na unacheza na Man U hesabu upo pungufu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom