Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mashabiki wa United naona wameanza kusema Bruno Fernandes ni tatizo aondoke.

Mmoja anasema huyu amecheza na Pogba, Matic, Casemiro, McTominay, Fred, Mainoo na bado kiungo kipo hovyo. Leo anakuja Tielemans na Tielemans anaonekana ni kenge kuliko kawaida.

Mwingine akasema kosa kubwa ni makocha kutaka Bruno awe centre of the game plan. Hapa akatajwa Ole, Erik Kichwa Ngumu na Hakika Ruben ambao walimtegemea Bruno.
Akamalizia kwa kusema na Carrick anarudia kosa.

Nikacheka kwamba hii ni mechi moja, ngoja wapigwe na Ipswich tuone balaa.
 
Yule mwana aliyesema hanyoi nywele mpaka nyumbu ishinde mechi tano mfululizo msimu ulivyoanza akasema mechi tatu za mwisho za msimu uliopita na zenyewe anazihesabu kwa msimu huu.

Nahisi akili yake ilimuambia wataifunga Hull halafu Ipswich ajumlishe mechi tatu za msimu uliopita aingie salon.

Hull wakasema "Tulia nyumbu"
 
Maguire ana hii tabia ya kushika wenzake wakitaka kuzuia magoli

HQVUufjXIAAappF.jpg
 
Yule mwana aliyesema hanyoi nywele mpaka nyumbu ishinde mechi tano mfululizo msimu ulivyoanza akasema mechi tatu za mwisho za msimu uliopita na zenyewe anazihesabu kwa msimu huu.

Nahisi akili yake ilimuambia wataifunga Hull halafu Ipswich ajumlishe mechi tatu za msimu uliopita aingie salon.

Hull wakasema "Tulia nyumbu"
Nyumbu hana EPL ukame uendelee 🤣
 
Baada ya kuangalia games za ufunguzi, mbio za ubingwa safari hii ni Arsenal vs Arsenal

Nimemuangalia city jana, huyu ata top 4 anaweza kuikosa
Kuna gap kubwa sana katika ya kocha na wachezaji. Na gap kubwa zaidi katika ya wachezaji na mbinu za kocha. Wazee wa kuweka mizigo sio salama tena kumpa man city win

liverpool kuna game atakua anakamia lakini standard yake bado ipo chini

chelsea ukipenda waite kenge hawa inabidi tuwape muda, wana kocha mzuri na watu angalau wanao hasa ukilinganisha na nyumbu, liverpool

Manchester united almaalufu kama nyumbu hawa watolewea kabisa kwenye mjadala wa ubingwa
 
Mashabiki wa United naona wameanza kusema Bruno Fernandes ni tatizo aondoke.

Mmoja anasema huyu amecheza na Pogba, Matic, Casemiro, McTominay, Fred, Mainoo na bado kiungo kipo hovyo. Leo anakuja Tielemans na Tielemans anaonekana ni kenge kuliko kawaida.

Mwingine akasema kosa kubwa ni makocha kutaka Bruno awe centre of the game plan. Hapa akatajwa Ole, Erik Kichwa Ngumu na Hakika Ruben ambao walimtegemea Bruno.
Akamalizia kwa kusema na Carrick anarudia kosa.

Nikacheka kwamba hii ni mechi moja, ngoja wapigwe na Ipswich tuone balaa.
Shida ya MAN U,wanataka kufix problem badala ya kustart the process,huwez kufix problem kama hauna muundo wa team,arsenal walipomleta Arteta walikubali shida yao kwamba hawapo hata level ya top four,wakaanza kutengenza kutokea chini na arteta,miaka mitatu ya kwanza kaitumia kutengeneza team,mwaka wa nne kaingia top four na akaukaribia ubingwa kabisa,miaka mitatu mfulilizo akawa title contender,mwaka unafatia kawa bingwa,sasa arsenal alipo ndio yupo kwenye position ya kufix matatizo machache kwenye team maana muundo wa team tayari upo.
Liverpool nao wameshaingia kwenye kikombe cha kutengeneza team,golden generation ndio imeisha,lakin liverpool wakikubali kutengeneza team na huyu kocha wao nawaona watakuwa liverpool tena kabla ya MAN U,Pep mjanja kaondoka hataki mchakato wa kuitengeneza upya man city
 
Shida ya MAN U,wanataka kufix problem badala ya kustart the process,huwez kufix problem kama hauna muundo wa team,arsenal walipomleta Arteta walikubali shida yao kwamba hawapo hata level ya top four,wakaanza kutengenza kutokea chini na arteta,miaka mitatu ya kwanza kaitumia kutengeneza team,mwaka wa nne kaingia top four na akaukaribia ubingwa kabisa,miaka mitatu mfulilizo akawa title contender,mwaka unafatia kawa bingwa,sasa arsenal alipo ndio yupo kwenye position ya kufix matatizo machache kwenye team maana muundo wa team tayari upo.
Liverpool nao wameshaingia kwenye kikombe cha kutengeneza team,golden generation ndio imeisha,lakin liverpool wakikubali kutengeneza team na huyu kocha wao nawaona watakuwa liverpool tena kabla ya MAN U,Pep mjanja kaondoka hataki mchakato wa kuitengeneza upya man city
Umemaliza mkuu
 
Shida ya MAN U,wanataka kufix problem badala ya kustart the process,huwez kufix problem kama hauna muundo wa team,arsenal walipomleta Arteta walikubali shida yao kwamba hawapo hata level ya top four,wakaanza kutengenza kutokea chini na arteta,miaka mitatu ya kwanza kaitumia kutengeneza team,mwaka wa nne kaingia top four na akaukaribia ubingwa kabisa,miaka mitatu mfulilizo akawa title contender,mwaka unafatia kawa bingwa,sasa arsenal alipo ndio yupo kwenye position ya kufix matatizo machache kwenye team maana muundo wa team tayari upo.
Liverpool nao wameshaingia kwenye kikombe cha kutengeneza team,golden generation ndio imeisha,lakin liverpool wakikubali kutengeneza team na huyu kocha wao nawaona watakuwa liverpool tena kabla ya MAN U,Pep mjanja kaondoka hataki mchakato wa kuitengeneza upya man city
Uko sahihi sana,Arsenal kipindi kile nilikuwa nikiingia vibanda umiza kuangalia mechi hata jezi nilikuwa sivai,yani pale unaposema leo angalau atashinda unashangaa kafungwa,ila sasa hivi uongo tuko kwenye pick hadi raha...
 
Shida ya MAN U,wanataka kufix problem badala ya kustart the process,huwez kufix problem kama hauna muundo wa team,arsenal walipomleta Arteta walikubali shida yao kwamba hawapo hata level ya top four,wakaanza kutengenza kutokea chini na arteta,miaka mitatu ya kwanza kaitumia kutengeneza team,mwaka wa nne kaingia top four na akaukaribia ubingwa kabisa,miaka mitatu mfulilizo akawa title contender,mwaka unafatia kawa bingwa,sasa arsenal alipo ndio yupo kwenye position ya kufix matatizo machache kwenye team maana muundo wa team tayari upo.
Liverpool nao wameshaingia kwenye kikombe cha kutengeneza team,golden generation ndio imeisha,lakin liverpool wakikubali kutengeneza team na huyu kocha wao nawaona watakuwa liverpool tena kabla ya MAN U,Pep mjanja kaondoka hataki mchakato wa kuitengeneza upya man city
Wachache sana wanaelewa . Unless una unlimited cash kama akina Ibra (ex chelsea owner) lasivyo process inakuhusu.
 
Baada ya kuangalia games za ufunguzi, mbio za ubingwa safari hii ni Arsenal vs Arsenal

Nimemuangalia city jana, huyu ata top 4 anaweza kuikosa
Kuna gap kubwa sana katika ya kocha na wachezaji. Na gap kubwa zaidi katika ya wachezaji na mbinu za kocha. Wazee wa kuweka mizigo sio salama tena kumpa man city win

liverpool kuna game atakua anakamia lakini standard yake bado ipo chini

chelsea ukipenda waite kenge hawa inabidi tuwape muda, wana kocha mzuri na watu angalau wanao hasa ukilinganisha na nyumbu, liverpool

Manchester united almaalufu kama nyumbu hawa watolewea kabisa kwenye mjadala wa ubingwa
Game Moja ushamaliza msimu
Mzee nitakurudia, lakini ungesubria mechi tano
Hakuna timu imara zaidi ya United, ukimtoa arsenal
 
Shida ya MAN U,wanataka kufix problem badala ya kustart the process,huwez kufix problem kama hauna muundo wa team,arsenal walipomleta Arteta walikubali shida yao kwamba hawapo hata level ya top four,wakaanza kutengenza kutokea chini na arteta,miaka mitatu ya kwanza kaitumia kutengeneza team,mwaka wa nne kaingia top four na akaukaribia ubingwa kabisa,miaka mitatu mfulilizo akawa title contender,mwaka unafatia kawa bingwa,sasa arsenal alipo ndio yupo kwenye position ya kufix matatizo machache kwenye team maana muundo wa team tayari upo.
Liverpool nao wameshaingia kwenye kikombe cha kutengeneza team,golden generation ndio imeisha,lakin liverpool wakikubali kutengeneza team na huyu kocha wao nawaona watakuwa liverpool tena kabla ya MAN U,Pep mjanja kaondoka hataki mchakato wa kuitengeneza upya man city
Liverpool anatengeneza timu, lkn Kwa united umeweka no
Umetumia vigezo gani??
 
Mlibahatisha msimu uliopita hamuwezi bahatisha tena
Bingwa ni Liverpool
Nani hayaogopi Majogoo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom