Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna wachezaji wamekua na sisi mfano Martinelli.

Na ubaya ni kwamba anacheza katika namna ya kuonyesha ana kitu, ana potential.

Amekua best shooter wetu for years.

Ila ukweli ni kwamba huwezi kutengeneza chips yai bila kuvunja mayai. We want to move forward kuna wachezaji hatuna budi kuachana nao.

Hapa ndiyo Martinelli na Jesus wanaingia. Tzolis tayari anaonekana ana kitu kikubwa mguuni, Eze anajikokota, tulipenda alivyokuja ila hajaperform to the max.

Tunampenda Martinelli ila inawezekana kabisa anaondoka
 
Hii mechi inaonekana ni nyepesi kwetu tunahitaji ushindi mnono wa angalau magoli 4 tuset standard ya juu kbsa ili yeyote atakayetaka kukaa juu yetu kwenye jedwali basi atahitaji kushinda mechi yake kwa magoli zaidi ya manne.
 
Baada ya mechi ya jana Chelsea haitapanda tena ndege kucheza mechi mpaka msimu ujao wakiwa wanajiandaa na preseason.

Manina
Watapanda ndege sana na treni za umeme sgr kwenda kucheza mechi kwenye majiji ya Manchester,Liverpool,Visiwa vya Brighton nk au ulimaanisha nje nchi Kwa Ajili mechi za Kimataifa hasa za Europa conference maana ndio Ligi Yao pendwa ya Kimataifa🤪🤪
 
Nyie ombeni team zingine zisiwe kwenye ubora ili kusiwepo msesereko
Mwenye uwezo,mipango na Mbinu atachukua ubingwa, km var kila mtu inambeba na Kuna muda inamkandamiza, Kuna msimu arsenal waliteswa sana na red card,penalty na goli za Mpira kuvuka mstari nje nk...
So tuache hivyo visingizio mserereko kwamba Timu zingine zilikuwa dhaifu, huko ni kukosa heshima kwd mpinzani au wapinzani wako wa Mpira... So Man utd,Liverpool,Man city,Madrid,Barcelona nk enzi hizo wanachukua vikombe walichukua Kwa ubwete bila kuvuja jasho na damu???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom