Punguza hasira MkuuToeni pesa kenge nyie, ubahili wenu ndio uliowafanya mkasota miongo miwili bila kubeba kombe la maana, mlivyoamua kuvunja kibubu mkamsajili Ubwabwa bila mchuzi na huyo Kokores imewalipa, hao wachezaji wenu wa eftatu tatu waliwachelewesha sana mbuzi katoliki nyie.
Mtuacheee tunajipanga kwa sasa... Congratulations Champions 🔥🔥🔥🔥🔥Umesahau madhara ya kina Captain Marvelous na Saint Anne na kocha wao bingwa ambaye sasa wanamwita Kichwa Mviringo jinsi wenge la kuwa na pesa lilivyowaponza wakaanza kununua wachezaji wa bei mbaya wakawajaza pale bandani mwao?
Yaani walikuwa kama mfanyakazi mlevi akishashika mshahara. Breki ya kwanza bar.
Kila mchezaji wakisikia mzuri au Arsenal na Manyumbu wanamtaka basi wanaruka naye.
Ekitike, wao. Kerkez, wao. Isak, wao. Frimong, wao. Yaani ilikuwa timu ingine ikumuangalia tu mchezaji flani majogoo wanaruka naye.
Mwishowe wameambulia UCL kwa bahati.
Haya mambo ni ya kutumia akili siyo kumwaga tu mihela.
Hata nyie si mnakumbuka mlivyomwaga mshiko kwa akina Pogba na Lukaku halafu mwisho wa siku mkiaishia kuchekwa mtaani?
😀 😀 😀 na hapo sijarudi nyuma kwa akina Gakpo na Nunez. Nashindwa kurudi mpaka kwa kina Van Dijk na Mane maana hao mlibeba nao makombe kibao 😀😀😀Mtuacheee tunajipanga kwa sasa... Congratulations Champions 🔥🔥🔥🔥🔥
YNWA
Bado hawajajifunza vizuri hawa. Unamkumbuka Nkunku? Na Jorrel Hato? Na Jamie Gittens? Hawa Chelkenge walitupiga bao kwa wote hao na bado hawakufanikiwa uwanjani kama sisi.Chelkenge nao walikuwa na hii tabia ya kudandia dandia deal za Arsenal wakaja kuangukia pua kwa Mudryk wakajifunza.Siku hizi huwasikii tena wakisogeza pia kwenye deal za Arsenal
Alvarez huyooo Catalan. Kroupi na Rodgers wangekua "rahisi" kutua wangetufaa.😀 😀 😀 na hapo sijarudi nyuma kwa akina Gakpo na Nunez. Nashindwa kurudi mpaka kwa kina Van Dijk na Mane maana hao mlibeba nao makombe kibao 😀😀😀
Sasa tunawataka akina Kroupi, Alvarez, Rogers na Mika Godts. Mtawanyakua na hao ama?
Alvarez aende tu Barcelona kwa kweli kama bei yake ni 120m. Ila kwa Isak pia naona labda tunaweza kuokoa mpunga kiasi tukimpata Osimhen badala yake 😁😁😁Alvarez huyooo Catalan. Kroupi na Rodgers wangekua "rahisi" kutua wangetufaa.
Kwanza tupambane kupata DM na winga wa kulia mengine itategemea na mauzo ya wachezaji na sioni wachezaji pale pound for pound kwa sasa....
Njooni tuwape Isack awe Jesus mpya haya mambo nyie ya kukaa na wagonjwa mshazoea😄😄😄🙏
YNWA
Alvarez bei yake ni sawa kabisa maana dogo ameperfom wonders Kila alipopita na kuna uhaba sana wa Hawa wachezaji vilaka, huyu ni Gunners made basi tu Barcelona wamewawai...Alvarez aende tu Barcelona kwa kweli kama bei yake ni 120m. Ila kwa Isak pia naona labda tunaweza kuokoa mpunga kiasi tukimpata Osimhen badala yake 😁😁😁
Amka ndontoni.Hatimae siku hazigandi🤣🤣🤣
kesho tunaenda kushuhudia aibu ya dunia
mnakumbuka inter millan final ya mwaka Jana alikuwa na ukuta usiofungika
ila wale wahuni wa psg waliifungua wakampa psg kono la nyani🤣🤣🤣🤣
kwa hii beki la saliba tujiandae kwa aibu ya Karne kuopata London
arsenal 0-7 psg 🤗
Martinelli bado ana kitu miguuni mwake abaki kwa msimu mmoja au miwiliUza-Martinelli, Jesus, Norgaard, Ben White
Nunua-Morgan Rodgers, Alvarez, tonali na beki namba 2 mzuri...
Kuna timu zitakuwa haziji uwanjani....msimu huu tumehangaika kwa kuwa ule upande wa kushoto kulikuwa na mamburula...Rodgers aje ku compete na trossard na pia ni namba 10 mzuri....tonali mapafu ya duma....Alvarez mfungaji....tutakuwa tumekamilika kuanzia beki mpk forward mbele
Unateseka ukiwa wapi jamaa 😂Hatimae siku hazigandi🤣🤣🤣
kesho tunaenda kushuhudia aibu ya dunia
mnakumbuka inter millan final ya mwaka Jana alikuwa na ukuta usiofungika
ila wale wahuni wa psg waliifungua wakampa psg kono la nyani🤣🤣🤣🤣
kwa hii beki la saliba tujiandae kwa aibu ya Karne kuopata London
arsenal 0-7 psg 🤗
Unateseka ukiwa wapi jamaa 😂Hatimae siku hazigandi🤣🤣🤣
kesho tunaenda kushuhudia aibu ya dunia
mnakumbuka inter millan final ya mwaka Jana alikuwa na ukuta usiofungika
ila wale wahuni wa psg waliifungua wakampa psg kono la nyani🤣🤣🤣🤣
kwa hii beki la saliba tujiandae kwa aibu ya Karne kuopata London
arsenal 0-7 psg 🤗
PSG hii iliyokandwa na Sporting Lisbon msimu huu?Hatimae siku hazigandi🤣🤣🤣
kesho tunaenda kushuhudia aibu ya dunia
mnakumbuka inter millan final ya mwaka Jana alikuwa na ukuta usiofungika
ila wale wahuni wa psg waliifungua wakampa psg kono la nyani🤣🤣🤣🤣
kwa hii beki la saliba tujiandae kwa aibu ya Karne kuopata London
arsenal 0-7 psg 🤗
Asee..KUANZIA KESHO TUTAANZA KUTOA THE BEST FALSE HOPES ZA WEEK NA MONTH FROM AUGUST TO MARCH .
HAIWEZEKANI MAKOMBE MKOSE HATA HIVI VITAJI VIDOGO TUSHINDWE KUWAPA.
NI AUGUST _ MARCH SABABU APRIL NA MAY HUWA HAMNA FALSE HOPES.
FALSE HOPES MBILI ITAKAYOKUWA NA LIKES NYINGI HIO NDIO BINGWA .
Halafu jioni tutakuja na tafrija ( in membe voice)