Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Liverkuku washamalizana na kocha tayari uko
Wana roho mbaya sana wale jamaa. Sisi tu ndiyo hatujawapiga na tulikuwa tunahamu sana ya kuwapiga msimu ujao halafu wao wanafukuza kocha.

Hata hivyo, no sweat. Huyo huyo mpya tutampiga tu.
 
1994 - UEFA Cup Winners Cup, Coppenhagen. Arsenal tulishinda 1-0 dhidi ya Parma ya Italia.

Hili kombe lilikuwa linapambaniwa na timu zilishoshinda vikombe vya ndani vya ligi za Ulaya kama vile FA Cup ya England, Copa del Rey ya Spain, etc.

Mwaka 1999 hili kombe lilikuja kufutwa na kujumuishwa na shindano lingine, Europa League baada ya mfumo wa Champions League kubadilika na kuanza kuchukua timu za nafasi za juu, badala ya washindi wa vikombe vya ndani tu. Tukitaka 'kujimwambafy' saaana tunaweza kusema tuna ka Europa au ka pre-Europa kamoja.

Mwaka 1995 tulifika fainali katika kutetea ubingwa wetu ila tulipigwa 1-2 na Real Zaragoza ya Spain.

View attachment 3597505
Maelezo yote haya 😂
 
Kama alivyoleta Epl na UEFA pia ataileta
Kwahiyo wanangu yorokes ndio striker lenu mnalitegemea liwape uefa?
IMG-20260525-WA0070.jpg
 
Naona Gordon kaondoka shehe🤠🤠...tunamaliza leo UEFA kesho tutakuwa mlangoni kuja kumchukua Tonali....mbaki na yule mvunja matofali Bruno mzee wa vurugu....kale kakikundi pale St James Park ni ka kukavunjilia mbali muanze upya....
Mkuu,hili hata halimsumbui Labyrinth 84.
Huyu jamaa ni shabiki Lia Lia wa Arsenal aliyejificha kwenye kivuli cha Newcastle.
Huyu ni mwenzetu kabisa yaani😂
 
Back
Top Bottom