Hii game yakuminya kende haswaaa.Bournemouth anaitaka top 4, city ana kesi ya kujibu
Arsenal tunampiga burnley chuma 3
#arsenalNDOO
View attachment 3589363
Jana huwezi kuamini nimeota Arsenal kuchukua UEFA Wazee, for the first time, ngoja tuone.
Na tukichukua hili we're going to win it back to back, I believe next season tutakuwa na finance ya kutosha kuziba Magap with the very best playe
Team bora ni ile inayobeba mataji mbele ya wapinzani wake na sio vinginevyo.Ni kweli mkuu ila upepo hauonekani kuwa uapnde wao.
Ingawa huwa nikilisema hili Castr ananipinga kwa nguvu tena na ushaidi kabisa, hata kama mtabeba ndoo zote 2 msimu huu arsenal ya msimu juzi ndio ilikuwa arsenal bora zaidi chini ya arteta.
Tukiwin game ya jumatatu basi tutashinda ubingwa kabla ya tarehe 24 sababu sioni ni kwa namna gani Bournemouth anaweza kufungwa na city!
Amka utajinyea ugenini bwege weePep kabakisha kombe moja tu kwa ligi ya ndani 😀😀😀 na lazima alibebe ni suala la muda tu
Arsenal win 2+
Waasi mmeanza kurudiTukishinda leo basi tumebeba kombe.
Maana City kesho ana draw.
Hii ni ndoto nyevu.Tukishinda leo basi tumebeba kombe.
Maana City kesho ana draw.