Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 37,683
- 75,119
Tunaenda kukutana na PSG.
Sasa jana tulilalamikiwa Arsenal tumeshangilia kupita nusu utadhani tumechukua kombe. Niliangalia hii mechi nione kama atakayepita hatoshangilia.
Anyways, kwanza Luis kaiongopea dunia, alidai yeye haji kulinda ule ushindi anakuja kushambulia. Kilichotokea Bayern nahisi wakaamini na wakadhani wenzao watakuja swinging kama ile first leg.
PSG kaja kapaki basi. Alikua anafanya swarming mbele ya goli, advantage ya swarming ni kwamba hata kama hamjui kukaba ila mkiwa wengi tu mbele ya goli basi tayari mmeshakua kikwazo.
Bayern hawajaamini macho yao.
Nataka nione waliodai mpira wa burudani ni goli tisa kwa mechi watahukumu vipi hii game. Kitakwimu first leg ya Atletico na Arsenal ilikua juu kiushambuliaji kuliko first leg ya Bayern na PSG.
Lakini tulivyopoint takwimu tukajibiwa kinachomatter ni magoli. Ngoja tuone hii ya leo itasemwaje.
Mimi ninaamini Donnaruma aliwaokoa PSG dhidi yetu msimu uliopita, niliangalia hii mechi pia nione kipa wa PSG, Safonov, ana ukali gani. Jamaa siyo mbaya, lakini Bayern hawakumpa tests nyingi za kuhitimisha hii observation.
Mengine nitayakumbuka nikiamka.
We move
Sasa jana tulilalamikiwa Arsenal tumeshangilia kupita nusu utadhani tumechukua kombe. Niliangalia hii mechi nione kama atakayepita hatoshangilia.
Anyways, kwanza Luis kaiongopea dunia, alidai yeye haji kulinda ule ushindi anakuja kushambulia. Kilichotokea Bayern nahisi wakaamini na wakadhani wenzao watakuja swinging kama ile first leg.
PSG kaja kapaki basi. Alikua anafanya swarming mbele ya goli, advantage ya swarming ni kwamba hata kama hamjui kukaba ila mkiwa wengi tu mbele ya goli basi tayari mmeshakua kikwazo.
Bayern hawajaamini macho yao.
Nataka nione waliodai mpira wa burudani ni goli tisa kwa mechi watahukumu vipi hii game. Kitakwimu first leg ya Atletico na Arsenal ilikua juu kiushambuliaji kuliko first leg ya Bayern na PSG.
Lakini tulivyopoint takwimu tukajibiwa kinachomatter ni magoli. Ngoja tuone hii ya leo itasemwaje.
Mimi ninaamini Donnaruma aliwaokoa PSG dhidi yetu msimu uliopita, niliangalia hii mechi pia nione kipa wa PSG, Safonov, ana ukali gani. Jamaa siyo mbaya, lakini Bayern hawakumpa tests nyingi za kuhitimisha hii observation.
Mengine nitayakumbuka nikiamka.
We move