Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 47,692
- 114,195
Friends of Madrid, tusharudisha moja, sasa ngoja tuwanyoosheNaona leo unamwangalia bingwa wako mpya (Arsenal).
Friends of Madrid, tusharudisha moja, sasa ngoja tuwanyoosheNaona leo unamwangalia bingwa wako mpya (Arsenal).
Sahau!Friends of Madrid, tusharudisha moja, sasa ngoja tuwanyooshe
😁😁😁😁 Sisi kazi yetu ni kukufanya uchelewe kulala Tu...Mpaka fainali utatuangaliaDracarys wanetu wa Madrid.
Mwagieni fire hawa yatima
😀😀😀😀
Hii michuano ina penati rahisi rahisi Sana...hamna tuta hapo kweli.Hakuna tuta hapoooo
Kuna shabiki wa arsenal alikua anaongea hivi hivi wakati tunaangalia game , watu wakasema tumuache kashalewa ."Best team in the world." Bayern.
Alikufa 3 hapo Emirates.
Madrid alikufa nje ndani.
Atletico alikufa nne.
PSG alikufa 2.
Timu tatu zilizo final msimu huu zote zimechezea bakora kwa Arsenal.
Final ipi ? Na hata ikitokea ngekewa mtaenda kuaibika mno .... bora muishie hapa hapaHahaha nimecheka Sana, no offense lakini 2014 I was there hizo I'd no zisikupe mzuka.
Dogo ni normal word tu, I mean no malice to nobody.
Back to the topic mmesha kubali tunaenda final?, maana wenzio wana atta
ck kishenzi.
Odegaard sio mchezaji anaestahili kuanza mbele ya Eze.Hatukua na mpango wa kushinda hii mechi. Ilikua ni game ya kucontrol na kudominate ila siyo kutafuta ushindi.
Saka yupo hovyo. Odegaard yupo hovyo na ndiye kapteni
Ngoja tuone Jnne itakuaje
Punguza mihemko afu uandike tenaKumuacha Anko Tom, na kumchukua Zubi ulikuwa uamuzi wa hovyo sana kwenu.... pengine anko Tom mngempa mwaka mmoja tu ...angeofa something kwenye mid yenu.....controlling ya game na zile build up....
Zubi siwahi kumuelewa
Madueke kiazi
Jokeres dah... kichaa kabisa
Martinel ni level za Fulham huko
Trossad akiamka vizuri ndo utamuona mchezaji
Captain wetu sijui shida nn, anacheza kama veteran..... kesharidhika, maamuzi hovyo hapambani
Saka..akiwa fit walau anaofa kitu, changamoto ni kuwa hana fitness ya kutosha
Rice nae mkamiaji tu..
Anyway natamani muende final ,mkaliwe vizuri
Ndio uhalisia .... tuko na nyie mpaka mfe.... tena natamn mfike final ....Punguza mihemko afu uandike tena
Kabla hamjafika hiyo jumanne mtakuwa mmeshavurugwa mbaya sana na Fulham wikend ijayo.Hatukua na mpango wa kushinda hii mechi. Ilikua ni game ya kucontrol na kudominate ila siyo kutafuta ushindi.
Saka yupo hovyo. Odegaard yupo hovyo na ndiye kapteni
Ngoja tuone Jnne itakuaje
Hivi unaweza kuilinganisha arsenal hii ya sasa na arsenal ya game 18 za kwanza ukasema ni timu ile ile mkuu?"Best team in the world." Bayern.
Alikufa 3 hapo Emirates.
Madrid alikufa nje ndani.
Atletico alikufa nne.
PSG alikufa 2.
Timu tatu zilizo final msimu huu zote zimechezea bakora kwa Arsenal.