Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wana Paris hao sasa. ..

Ngoja kina Madueke, trossard, saka,jokeres ,martineli wakawafunge magoli......

Huku tukiwa na kiungo letu fundi "Skelly"

Mtashangazwa, game itaisha 1st half, Hakimi atakuwa keshapona
Shabiki la manyumbu linaendelea kujipa hope, utaumia sana Msimu huu, hutoamini hiyo siku, wanaume tunaingia kama chui mwenye njaa kali. PSG watoto wa juzi, tutalithibitisha hilo trh 30.
 
Now pressure ipo kwa Man City kushinda...kweli it's not done kipindi walivyotufunga 2_1.
 
Shabiki la manyumbu linaendelea kujipa hope, utaumia sana Msimu huu, hutoamini hiyo siku, wanaume tunaingia kama chui mwenye njaa kali. PSG watoto wa juzi, tutalithibitisha hilo trh 30.
Kila la kheri maSta.... walau muonje ladha ya UcL trophy, make Forest na Villa wanawazidi .... wameshashinda hilo kombe !!!!!

Mtafirimbwa hamtaamini
 
Nasikia mmeumia sana baada ya Brentford kupoteza mchezo wao.
Screenshot_20260509_200205_Instagram.jpg
 
Kama Arteta angemaliza press conference na kusema "Come On You Bees" tungekesha na maneno hapa. Ila with Pep watu wanajichekesha
 
Back
Top Bottom