Mkushi w jani
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 1,902
- 1,711
Vip mna Hali gan huko ndgu zetu Newcastle unitedKwema sheikh wangu, sijui nyinyi huko.
Vip mna Hali gan huko ndgu zetu Newcastle unitedKwema sheikh wangu, sijui nyinyi huko.
Shabiki la manyumbu linaendelea kujipa hope, utaumia sana Msimu huu, hutoamini hiyo siku, wanaume tunaingia kama chui mwenye njaa kali. PSG watoto wa juzi, tutalithibitisha hilo trh 30.Wana Paris hao sasa. ..
Ngoja kina Madueke, trossard, saka,jokeres ,martineli wakawafunge magoli......
Huku tukiwa na kiungo letu fundi "Skelly"
Mtashangazwa, game itaisha 1st half, Hakimi atakuwa keshapona
Hawa Brentford wafuate blueprint ya Everton tu...Huyu dogo Schade anawazingua wenzake
Kila la kheri maSta.... walau muonje ladha ya UcL trophy, make Forest na Villa wanawazidi .... wameshashinda hilo kombe !!!!!Shabiki la manyumbu linaendelea kujipa hope, utaumia sana Msimu huu, hutoamini hiyo siku, wanaume tunaingia kama chui mwenye njaa kali. PSG watoto wa juzi, tutalithibitisha hilo trh 30.
Hivi mtafika uefa?Nasikia mmeumia sana baada ya Brentford kupoteza mchezo wao.
View attachment 3586210
.Unaambiwa jana Pep muda anaondoka akasema Come On You Irons.
Kwahiyo City inapiga dua Westham watuzuie