Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal tulifungwa na City tukawa points sawa.

Declan Rice akasema "It's not done"

Arteta akasema "We have to fight til the end"

Pundits wakasema Arsenal tunajipa moyo hili swala la kombe la EPL limeishia pale kwakua City hashikiki akifika February.

Everton akasuluhu na City.

Haaland, Silva, page ya City ya X wakasema "We will fight to the end"

Pep akasema "After this game it's Arsenal's to lose"

Pundits wakasema hii sasa ndiyo mentality ya mabingwa.

Kubababake 😅😅😅

Utaumia kichwa ukiwa hujui kitu kuhusu nini kinaendelea. Kinachoendelea ni kwamba hakuna anayetaka Arsenal achukue ubingwa.
Pep amesema hivyo siyo kwavile amekata tamaa, anahamisha zigo la responsibility kwa Arsenal ili asiangaliwe yeye. Watu waanze kuiassess Arsenal.

A month back, Semenyo alikua kwenye podcast akijieleza jinsi alivyowaomba wenzake wa Bournemouth waizuie Arsenal. Zikatembea interview Doku akieleza ni kwanini waliazimia kuchukua Carabao ili kuiumiza akili Arsenal.

Leo hawa watu wamekuja na wimbo wa "Fight to the end" na pundits wanasema mentality ya mabingwa ipo hivi.
City hachukui kombe
 
Simieone mhuni tu yule...hana tena zile profile zinazompambania...the likes of akina miranda, godin, Diego Costa n.k ! Alimuotea barca kipindi ambacho ana majeruhi ya key players ... ! Arsenal fainali anaenda kufundishwa mpira ... ebu angalia mfano mid ya neves, vitinha, ruiz... alafu njoo kwa wanetu wana skelly na rice, Odegaard!
Hivi unajua mwaka jana PSG katutoa kwa sababu ya ubora wa donaruma na sio walituzid mpira
mechi zote mbili ndio alikuwa MAN OF THE MATCH
 
Psg wamenunua refa. Bayern haruki hapa kama atatarajia fairness
 
Kubababake wazee Bayern wamesusa kucheza wamemfuata refa wamemzunguka kaona aibu sasa hivi.
 
Mashabiki wa Bayern wameanza kutupa vitu uwanjani. Neuer anawaomba waache
 
Hivi unajua mwaka jana PSG katutoa kwa sababu ya ubora wa donaruma na sio walituzid mpira
mechi zote mbili ndio alikuwa MAN OF THE MATCH
Teh teh kuna muda inabidi utulie tu ukubaliane na mawazo ya haters.

Hao Bayern na Psg unaweza ukafikiri ni timu za Sayari ya 20 huko, kumbe tushacheza nazo tukazifunga/zikatufunga kama timu nyingine tu tulizokutana nazo.

Naangalia game ya Psg/Bayern now, hakuna cha ajabu wanachocheza Arsenal tusiwafunge. Tukutane Budapest.
 
Haya majinga yamegundua Defence nzuri itawapeleka fainali, hayachezi tena kama yamekatwa vichwa.

Waungane watengeneze kikosi kimoja tukutane fainali l
 
Bayern inacheza kama imekata tamaa sitashangaa wakisema refa amewaua. Yaani wanacheza hawana haraka utadhani wao ndiyo wanaongoza.
 
Huyu refa asipopigwa leo na jinsi Bayern hawapendi kufungwa nitashangaa
 
Bayern wanapata goli ila bado dk 1 mpira uishe. Mashabiki wanashangilia balaa utadhani bado wana muda.
 
Kipindi cha Kwanza Atletico walipigwa msako wa nyani ikabidi weweke ukuta wa Yeriko

Baada ya kufungwa goli walilazimika kutanua uwanja kwa lengo la kutafuta goli ila tukawakalia ngumu.
Walipata clear chances mbili pekee mechi nzima bt hawakuzitumia ipasavyo.

Dakika 15 za mwisho Atletico walikamia Sana mechi nusura watufunge.
Ahsante mkuu, trailer limetosha kupata picha kamili
 
Back
Top Bottom