Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu ili uchukue ubingwa si lazima wengine wawe dhaifu na wewe uwe na Bora?

City akichukua ubingwa, ana timu Bora. Arsenal akichukua ubingwa, City ana timu dhaifu.

Hii imekaaje kitaalamu?
Siongei kishabiki, ukitizama vizuri utagundua tu sisi hatuko bora, huyu man city anaetufukuza angekuwa bora kidogo tu angetukamata, imefika hatua tunaombea apoteze ili tuwe na uhakika..
 
Misimu yote hua mashabiki wa hizi ligi tano wanatambiana juu ya ubora wa ligi wanazoshabikia.

Na kipimo hua timu kutoka ligi husika zimefika wapi kwenye mashindano ya Ulaya.

Msimu huu haujasikia haya makelele.

CL - Arsenal yupo fainali
Europa - Aston Villa au Nottingham moja itaenda fainali
Conference - Crystal Palace inaenda fainali

Kwanini hausikii hizi kelele? Kwa sababu wakitamba kwamba EPL ni ligi bora imepeleka timu tatu fainali mashindano ya Ulaya itapingana na ule uongo wa kudai ligi ya EPL ni dhaifu msimu huu 😅😅😅

At the same time, kwanini hausikii tena kwamba ligi ni mbovu? Kwasababu City alivyotushika kialama wakasema sasa ligi ndiyo imekua bora.

Now hawawezi claim ligi mbovu kwakua City alivyotushika kialama wakadai ligi bora. Hawawezi sema ligi bora kwakua sasa Arsenal ipo pale juu.

It's funny dealing with fools
 
Misimu yote hua mashabiki wa hizi ligi tano wanatambiana juu ya ubora wa ligi wanazoshabikia.

Na kipimo hua timu kutoka ligi husika zimefika wapi kwenye mashindano ya Ulaya.

Msimu huu haujasikia haya makelele.

CL - Arsenal yupo fainali
Europa - Aston Villa au Nottingham moja itaenda fainali
Conference - Crystal Palace inaenda fainali

Kwanini hausikii hizi kelele? Kwa sababu wakitamba kwamba EPL ni ligi bora imepeleka timu tatu fainali mashindano ya Ulaya itapingana na ule uongo wa kudai ligi ya EPL ni dhaifu msimu huu 😅😅😅

At the same time, kwanini hausikii tena kwamba ligi ni mbovu? Kwasababu City alivyotushika kialama wakasema sasa ligi ndiyo imekua bora.

Now hawawezi claim ligi mbovu kwakua City alivyotushika kialama wakadai ligi bora. Hawawezi sema ligi bora kwakua sasa Arsenal ipo pale juu.

It's funny dealing with fools
Castr kama Castr. Kwamba wapenda soka wengi wako against arsenal ama?
 
Luis Enrique ili kufika fainali ya CL alikua akiomba mechi zake za ligi kuahirishwa ili wachezaje wake wasichoke akija CL.

Pep aliomba mechi ziahirishwe kwaajili ya FA. Akaomba wachezaji aliosajili January wacheze fainali ya Carabao.

Arteta went through hell bila kuomba mechi kUahirishwa.

Kisha kocha mmoja anakuambia "We are the best" kenge kabisa
 
20260506_000513.jpg
 
Luis Enrique ili kufika fainali ya CL alikua akiomba mechi zake za ligi kuahirishwa ili wachezaje wake wasichoke akija CL.

Pep aliomba mechi ziahirishwe kwaajili ya FA. Akaomba wachezaji aliosajili January wacheze fainali ya Carabao.

Arteta went through hell bila kuomba mechi kUahirishwa.

Kisha kocha mmoja anakuambia "We are the best" kenge kabisa
Kabla ya mechi za pili za UCL, Kuna stats zilikuwa zinaonyesha kwa msimu huu Calafiori played more minutes kuliko Dembele na ndugu zake.

Pamoja na tripu shamba tripu gereji zote za msimu huuu.
 
Kabla ya mechi za pili za UCL, Kuna stats zilikuwa zinaonyesha kwa msimu huu Calafiori played more minutes kuliko Dembele na ndugu zake.

Pamoja na tripu shamba tripu gereji zote za msimu huuu.
Dembele kaanza games hazizidi kumi msimu huu.

Ballon d'or winner
 
Siongei kishabiki, ukitizama vizuri utagundua tu sisi hatuko bora, huyu man city anaetufukuza angekuwa bora kidogo tu angetukamata, imefika hatua tunaombea apoteze ili tuwe na uhakika..
unaposema hatupo bora unatufananisha na nani au na kitu ghani ?
 
Kwa hali wanayoipitia man city kwa sasa .. inawezekana kesho pia wakadroo au ku lose point 3 kabisa
 
Back
Top Bottom