Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Anarusha mikono utadhani anaongoza kwaya.
Oya we jamaa

20260505_163350.jpg
 
Wazee kazeni Leo muende final ......

Natamani sana mfike final, Ili mkashangazwe na kufundishwa mpira unavyochezwA....
Mtachagua wenyewe forward ya kina olise, kane ama ya kina kvara , dembele ?

Hawa wahuni Atlet wakienda final wanaenda kuaibishwa vibaya sana kulingana mpira wanaocheza.... the same applies to kwenu !!!!

Football entertainment..... baadae mapema sana kwenye kideo
Nilisema hapa na imetokea.... ngoja fainali mkashangazwe huko.... mfundishwe unachezwaje
 
Mwendo wameumaliza wehu hawa. Wanajipa matumaini hewa. wanafikiri PSG ni Fulham pumbav kbs.

Sema Simione nae inabidi aachane na mambo ya ukocha.
Timu yako iko fainali ya kombe gani mkuu. The only team to reach UCL finals without losing ikafundishwe mpira, the best defensive team in the tournament ikafundishwe mpira?

Mashabiki huwa mna tabia ya kuongea tu, hata tukifungwa fainali, hakuna mtu wa kuifundusha arsenal mpira.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom