Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 37,920
- 75,765
Ambacho hutaki kuona ni kwamba mlipo sasa hivi mpo mkiwa mnafanya damage control so kila mnachofanya muda huu ni short term solution. Bahati nzuri imewaleta CL.United itakushangaza kama bado ateta atakua kocha wenu msimu ujao
So msimu ujao mnatakiwa kuweka long term set ups. Mtatakiwa kuweka hizi set ups huku mpo Carabao, FA, CL na League. Kama mtasajili wachezaji wapya na wenyewe wawe fed kwenye set ups.
Mashabiki wengine hua wanasema "Tunajenga timu msituhesabu" shabiki wa United anasema atatushangaza msimu ujao.
Pogba alisema hamjui mpira. Here we are.
