Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

United itakushangaza kama bado ateta atakua kocha wenu msimu ujao
Ambacho hutaki kuona ni kwamba mlipo sasa hivi mpo mkiwa mnafanya damage control so kila mnachofanya muda huu ni short term solution. Bahati nzuri imewaleta CL.

So msimu ujao mnatakiwa kuweka long term set ups. Mtatakiwa kuweka hizi set ups huku mpo Carabao, FA, CL na League. Kama mtasajili wachezaji wapya na wenyewe wawe fed kwenye set ups.

Mashabiki wengine hua wanasema "Tunajenga timu msituhesabu" shabiki wa United anasema atatushangaza msimu ujao.

Pogba alisema hamjui mpira. Here we are.
 
Friends of Madrid tupo hapa mapema sana 😎
Na wewe utahama permanent kama mwenzako au wewe unakodishwa baada ya kipigo unarudishwa ulipotoka?

Kuna watu wananisumbua kuhusu masuala ya Chelshit, muwaambie mimi niko mkopo Man city hadi mwishgo wa msimu, tutaonana preseason na wasipofanya usajili mzuri wa kocha na wachezaji mimi nitafanya mkopo wangu wa Man City kuwa Parmanent loan. SITANII! 🙁
 
Kikosi kilichompasua fulham ndio tumalize nacho ligi na uefa.
Kile ndio kikosi kilichocheza mpira wa kasi na kuleta impact ya magoli yanayoeleweka na sio magoli ya kihuni (magoli ya kona)

Playing style ya odegard inatuchelewa hili utaliona akicheza Eza unaona jinsi gani odegard ametuzoea vibaya sisi kama arsenal fans

Zubimendi anahitajika kua-adapt mpira wa kasi na ku-take risk panapo hitajika. Ila kama tutakua na dream kubwa zaidi utagundua zubimendi bado hatoshi
 
Kuna siku ilikua big match nilisema bora acheze downman kuliko madueke
Game na city madueke ata kutuliza mpira alikua anatetemeka

Games zilizobak sub ya saka bora aingie downman kuliko huyo mpuuzi aya ya kwanza
 
Twende polepole hapa.

Newcastle imetoa 55M kwaajili ya Wissa. Mpaka leo Wissa ana magoli 2 mashindano yote.

Newcastle pia ikatoa 70M kwaajili ya Woltermade. Mpaka leo Woltermade ana magoli 8 mashindano yote.

United imetoa 71M kwaajili ya Mbeumo. Mpaka sasa Mbeumo ana magoli 9.

United pia ikatoa 74M kwaajili ya Sesko. Mpaka sasa Sesko ana magoli 11.

Liverpool ikatoa 79M kwaajili ya Hugo. Mpaka sasa Hugo ana magoli 17.

Liverpool pia ikatoa 130M kwaajili ya Isak. Mpaka sasa Isak ana magoli 3.

Arsenal imelipa 65M kwaajili ya Gyokeres. Mpaka sasa Gyokeres ana magoli 21.

Kwanini shabiki wa Arsenal haoni kwamba ana ST mzuri hii sina sababu. Gyokeres angekua na magoli 3 au 9 nyimbo zingekua nyingi, Gyokeres ana magoli mengi zaidi ila mashabiki wa Arsenal hawaongelei hili swala.

Bado wanaamini Gyokeres ni mbovu.
Mashabiki wa Arsenal sijui sisi ni we hu?! Hatueleweki.
 
Kwa kila game iliyobaki probability ya arsenal kushinda ni 90% (0.9≈1)
in mathematics context we call SURE EVENT

Kuna uwezekano mkubwa tukatangazwa ubingwa game na burnley illa itapendeza zaidi katika game ya mwisho na crystal palace. So nipo kumuombea city game zake zilizobaki ashinde

Screenshot_20260505_085425_FotMob.jpg
 
Kinachomponza atletico ni jina la mwisho, mwenzake real tulimshughulikia nje ndan. Yeye kaponea chupuchupu kwao maana akija ugenini ni mazishi. Bukayo saka is back

Popote tunapokutana na timu inayoishia na jina madrid arsenal inakua lidudu lakutisha sana. Kamuulizen rodri, vini, mbape

Fainal tukutane na yoyote yule. Au bayern na psg waungane watoe first eleven tukutane puskas budapest
 
Pamoja na mashabiki kuongea sana, kubeza sana ila Arteta ameifikisha Arsenal semi final back to back na hopefully final after 20yrs, ukimbeza mtu wa namna hiyo tunasema unahemkwa. Amefanya makubwa kuitransform timu hadi kufikia hatua hii.

As for now, EPL ipo mikononi mwetu, tushindwe wenyewe, Man City ana draw nyingine inakuja, sisi tushinde two games and we're crowned champions after 22yrs of waiting.
 
Hivi wanetu mko serious kweli au ndio ile nguvu ya energy drink anayoizungumzia Castro Oil?
Tutaweka wapi sura zetu sisi,
Eeehhh Mungu muweza wa yote ikiwezekana kikombe hiki kituepuke, walakini si kama tutakavyo sisi, bali kama utakavyo wewe. View attachment 3583829
Na mna bahati world cup ipo mbeleni hapo itapunguza sherehe🤠🤠🤠...ila tukinyanyua kwapa kuwasimanga kuko pale pale....na yule beki wetu Heavens mlomchukua tunamtaka....hamuwezi kuiba vijana wetu kienyejienyeji hivi
 
Kuna siku ilikua big match nilisema bora acheze downman kuliko madueke
Game na city madueke ata kutuliza mpira alikua anatetemeka

Games zilizobak sub ya saka bora aingie downman kuliko huyo mpuuzi aya ya kwanza
Madueke ni bora mara 1000 kuliko hicho kitoto
 
Natamani Kikosi cha Leo kiwe;
Raya
White. Saliba Gabi. Calafior
Rice. Zubi
Saka. Eze. Martinel
Gykores
Full time Arsenal 2 Madrid 1
 
Sasa ni hivi.

David Raya ameshinda tuzo ya Golden Gloves.

Hii ni kwakua ana clean sheets 17. Wa karibu anayeweza kufika hapo ni Donnaruma ambaye kabakisha mechi 4, zote akipata clean sheets atakua nazo 17 pia.

So itakua ni joint victory na wote watalamba tuzo. Ila Raya kajihakikishia tayari.
 
Back
Top Bottom