Uzuri mie nawe tupo humu miaka dahari wa dahari.. partey mie nilimuelewa siku ya kwanza tu, kuna vita hapa ilikuwepo na will jr, akimkataa partey mimi nikisema partey ni fundi,
shida sio zubi kuwa msimu wa kwanza shida ni aina yake la soka, asipobadilika atakuwa hana jipya. Mazoezi ajifunze baadhi ya vitu, ili aongeze ubora, haiwezekani mido inapiga back pass nyingi, side passes za kutosha, afanye mazoezi ya utulivu akiwa na mali na kupiga pasi za mbele, kiungo hutakiwi kuogopa mpira utafikiri mi moto,
saka na martinelli nilwagomea wakiwa kwenye peak yao, msimu ule wanafanya vizuri, nikasema ni wachezaji wa kawaida muda utatuambia, saka ana kaubora kidogo kuzidi martinelli ila ndio wale wale.
Odegard tayari ufaza ushamuingia, anajiona legend tayari, wakati alitakiwa kuongeza juhudi, siku hizi karelax mnooo.