Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwenye hii mechi Atletico kama kawaida hua wana hii set up ya kujaza viungo na kuhakikisha kwamba wanakupiga mid block. At the same time wanakuachia Alvarez na Griezman kule juu, hapa unakumbana na pace, flairs na ball curving ability ya kutosha. So hapa balaa lipo kwenye break in play na counter.

Arteta kaja na hii set up ya kuweka viberenge kwenye wings, kamuweka Skelly akisubiri zile muscles zake na explosive dribbles za kwenda mbele. Eze ingawa ni mzuri kwenye vision ila ana tabia ya kuhisi yupo peke yake uwanjani. Kwa hawa leo akijisahau tunaweza karibisha presha.

Atletico ana hii rekodi ya kutowahi tolewa na timu ya kiingereza kwenye nusu ya CL. Leo Arsenal tuna kazi ya kuiupset hii rekodi. Arsenal tutakua tunaingia fainali mara ya pili baada ya ile Messi aliyotunyoosha.

Yeyote atakayekua anataka zaidi ya mwenzake ndiye atakayetoboa hapa.

Anyways, Arsenal to death.
 
Hawa wazenge wanatakiwa waanza kushoot nje ya box ila hawaelewi *****.
 
Mpaka sasa hivi inaonekana game ni yetu. Ni mids na forwards ndiyo hawataki kushoot wamalize tukio.
 
Tuliwaambia Zubi bado sana, hana kiwango, pasi ovyo hazina macho.....

Juzi kalamba ubao, kuna watu wakaja kusema anapumzishwa kwa ajili ya mechi ya Leo... OK OK Leo tena kalamba ubao ...... coaching staff wameshaona mapungufu yake. !!!

Word. Zubi kalegea sana.
 
DakiKa ya 56 Atletico wanatoa watu watatu Arsenal anatoa watu watatu pia. Odegaard na yeye anaingia
 
Back
Top Bottom