msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,788
- 9,126
Wakuu mwenye link ya kuangalia hii mechi msaada.
Download CricfyWakuu mwenye link ya kuangalia hii mechi msaada.
Bro hiyo avatar yako imenichekesha sana🤣🤣🤣Mpaka sasa hivi inaonekana game ni yetu. Ni mids na forwards ndiyo hawataki kushoot wamalize tukio.
Tuliwaambia Zubi bado sana, hana kiwango, pasi ovyo hazina macho.....
Juzi kalamba ubao, kuna watu wakaja kusema anapumzishwa kwa ajili ya mechi ya Leo... OK OK Leo tena kalamba ubao ...... coaching staff wameshaona mapungufu yake. !!!
Chokoraa mzururaji hautapata makazi ya kudumu we kinegaMadrid tunazingua sana aisee, ila sio kesi tunaanza upyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Amka usingizini, utaanguka kitandani!Aseno habebi chochote msimu huu
Paying homage to legendBro hiyo avatar yako imenichekesha sana🤣🤣🤣