Sometimes ni changamoto sana kwa Mchezaji kuchagua future yake ..... kuanzia maslahi, game time n.k !!!!
Wapo ambao tunaona walijilipua na wakafanikiwa, wengine ndio hivo tena walienda kuzika future zao ....
Pia hizi club kubwa kubadili makocha kila muda kunachangia kuharibu future na development ya Mchezaji kwa ujumla !!!
Kingine kuna wachezaji wana ego, ama agents zao wanawapa viburi... Mchezaji anawaka kidogo ama anaonesha potential anaanza kuvimba ! Refer case ya Garnacho, alianza kuwaka kidogo....maneno kibao big ego, mara anataka UCL footbal, club ikamuuza ! Kesi za hivo ni nyingi sana !
Castr