Ahaaa aaaah kesho watajaaa humu, wakiwasupport Athletico.Nikisema mwizi tunampa energy ili afurukute wanabisha.
Sasa ni nini hichi?
Mara Paap mkeka wako unachanikaNext game dhidi ya City mwendo ni ule ule. Nabet nampa ushindi. This time anacheza na Brentford.
Kama Brentford akichanga karata fresh anaenda UEFA. Na kuzichanga anaanza dhidi ya City.
I expect uchanike mzee. Ukichanika City kazingua kadrop points akishinda basi itakua akaunti imeongeza helaMara Paap mkeka wako unachanika
Kwasababu city anaweza asishinde mechi yeyote iliyobaki ya ligi
Nimetubu mkuu.Hua mnaandika tu kila kinachokuja kichwani. Bao tatu za jana zimekupa hangover
Duh wewe kama siyo mwanajeshi nenda ukajiandikishe una uvumilivu na moyo mgumu wa ujasiri sanaNimetubu mkuu.
Lakini kombe hamchukui au unasemaje?
United itachukua ubingwa kabla ya aseno
Aseno habebi chochote msimu huunarudia hiki nilichoandika Arsenal ikichukua kombe la ligi msimu huu halafu Pep akaondoka kama alivyodai Arsenal inachukua tena ligi mwakani.
Mimi niliandika hivi wayback lakini naona watu wanacatch up sasa hivi.Semenyo ni Rashford asiyekubali kushindwa
Sawa.Aseno habebi chochote msimu huu