Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa kila game iliyobaki probability ya arsenal kushinda ni 90% (0.9≈1)
in mathematics context we call SURE EVENT

Kuna uwezekano mkubwa tukatangazwa ubingwa game na burnley illa itapendeza zaidi katika game ya mwisho na crystal palace. So nipo kumuombea city game zake zilizobaki ashinde

View attachment 3583978
False hopers Huwa mna mikwara na tambo nyingi sana .
Kwamba unaomba city nae ashinde 😄😄 . Hapo Bado mjanyanyua kombe je mkilibeba kabisa mmh
 
Kinachomponza atletico ni jina la mwisho, mwenzake real tulimshughulikia nje ndan. Yeye kaponea chupuchupu kwao maana akija ugenini ni mazishi. Bukayo saka is back

Popote tunapokutana na timu inayoishia na jina madrid arsenal inakua lidudu lakutisha sana. Kamuulizen rodri, vini, mbape

Fainal tukutane na yoyote yule. Au bayern na psg waungane watoe first eleven tukutane puskas budapest
Tutakoma mwaka huu kwa mbwembwe zenu.
 
Hili kombe kawashindia Everton sio Arteta. Game yenu na city hamkuwa na maarifa yoyote ya kuifungua defence ya city ila mnavyomtukana Ndiaye utadhani ninyi mlifanya la maana dhidi yake.
Anyway, naishi Mwanza hivyo msinisahau kwenye sherehe za ubingwa.
Coyg
 
Beki uliyemnunua aje kuhakikisha unachukua ligi na CL anagawa pasi za magoli.

Hii ni kazi ya ibilisi. Demu unayemuamini anakupa gonorrhea
20260505_181033.jpg
 
Kama nina nafasi kwa kawaida hua naangalia mechi yoyote. Mbona humu hua naongelea mechi za timu ambazo hata hatupo nazo kwenye kushindania ubingwa?

Ila wana wanahisi nimeandika kuhusu hii game kwakua City tupo nao kwenye kushindana. Labda mkiwa attention mtaona hua naandika hata mechi za washuka daraja.
 
Rice, Skelly na Eze kwenye midfield tena, kwa kifupi lineup ni ile ile ilocheza na fulham imeanza tena na leo.. LET'S GO ARSENAL, COYG ⚪️🔴
 
Wazee kazeni Leo muende final ......

Natamani sana mfike final, Ili mkashangazwe na kufundishwa mpira unavyochezwA....
Mtachagua wenyewe forward ya kina olise, kane ama ya kina kvara , dembele ?

Hawa wahuni Atlet wakienda final wanaenda kuaibishwa vibaya sana kulingana mpira wanaocheza.... the same applies to kwenu !!!!

Football entertainment..... baadae mapema sana kwenye kideo
 
Tuliwaambia Zubi bado sana, hana kiwango, pasi ovyo hazina macho.....

Juzi kalamba ubao, kuna watu wakaja kusema anapumzishwa kwa ajili ya mechi ya Leo... OK OK Leo tena kalamba ubao ...... coaching staff wameshaona mapungufu yake. !!!
 
Wazee kazeni Leo muende final ......

Natamani sana mfike final, Ili mkashangazwe na kufundishwa mpira unavyochezwA....
Mtachagua wenyewe forward ya kina olise, kane ama ya kina kvara , dembele ?

Hawa wahuni Atlet wakienda final wanaenda kuaibishwa vibaya sana kulingana mpira wanaocheza.... the same applies to kwenu !!!!

Football entertainment..... baadae mapema sana kwenye kideo
Hao wanaocheza kama wamekatwa vichwa tunawahitaji sana fainali tuwafundishe namna ya kubalance kushambulia na kukaba.

Hii Arsenal hakuna kima anaweza akaifunga goli 3 mkuu hakuna...hao akina Olise Hizo spaces watazitafuta kwa tochi...

Tuangalia game.
 
Tuliwaambia Zubi bado sana, hana kiwango, pasi ovyo hazina macho.....

Juzi kalamba ubao, kuna watu wakaja kusema anapumzishwa kwa ajili ya mechi ya Leo... OK OK Leo tena kalamba ubao ...... coaching staff wameshaona mapungufu yake. !!!
Ingawa tunajua kiasili Skelly ni CM ila kwa mara ya kwanza tumemuona mechi dhidi ya Fulham, Zubimendi tunajua ni CM kuanzia yupo Spain.

Madrid, Barcelona, Liverpool zote zinaenda kumfuata kwakua zinajua ni CM. Profile yake ni ile aliyonayo Busquet na ndiyo ile aliyonayo Partey.

Huu ni msimu wake wa kwanza. Unachoandika leo wapo walioandika msimu wa kwanza wa Partey. Na Partey msimu wake wa kwanza ulikua mbovu kwake na kwa timu.

Tutatafuta statistics.
 
Kikosi kilichompasua fulham ndio tumalize nacho ligi na uefa.
Kile ndio kikosi kilichocheza mpira wa kasi na kuleta impact ya magoli yanayoeleweka na sio magoli ya kihuni (magoli ya kona)

Playing style ya odegard inatuchelewa hili utaliona akicheza Eza unaona jinsi gani odegard ametuzoea vibaya sisi kama arsenal fans

Zubimendi anahitajika kua-adapt mpira wa kasi na ku-take risk panapo hitajika. Ila kama tutakua na dream kubwa zaidi utagundua zubimendi bado hatoshi
Kwamba arteta yupo jf au coincidence tu! Anyway hiki inabidi kiwe kikosi cha kumaliza nacho msimu huu
Screenshot_20260505_211947_FotMob.jpg
 
Back
Top Bottom