Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 37,915
- 75,759
United anaongoza. Goli limetokana na kona.
Nacheka kwamba hili ni goli la kona mfululizo kwa United na mashabiki wao hawalalamiki. Ni mashabiki wa Arsenal tu ndiyo watalalamika timu yao kupata ushindi kwa magoli ya kona.
We can criticise tactics na team selection lakini magoli siyo kitu cha kulalamika. United wana furaha isiyo kifani kumaliza ndani ya top four.
Liverpool wana furaha wapo nafasi ya nne.
Chelsea anabana pumbu angalau ashike nafasi ya 7.
Arsenal ipo nusu fainali CL dhidi ya Atletico na bado ana uwanja wa kupambania PL ila shabiki analalamika. Atletico kamtoa Barca, Atletico hajawahi kutolewa nusu fainali na timu ya kiingereza.
Shabiki wa Arsenal analalamika kwanini game iliisha moja moja.
It's weird
Nacheka kwamba hili ni goli la kona mfululizo kwa United na mashabiki wao hawalalamiki. Ni mashabiki wa Arsenal tu ndiyo watalalamika timu yao kupata ushindi kwa magoli ya kona.
We can criticise tactics na team selection lakini magoli siyo kitu cha kulalamika. United wana furaha isiyo kifani kumaliza ndani ya top four.
Liverpool wana furaha wapo nafasi ya nne.
Chelsea anabana pumbu angalau ashike nafasi ya 7.
Arsenal ipo nusu fainali CL dhidi ya Atletico na bado ana uwanja wa kupambania PL ila shabiki analalamika. Atletico kamtoa Barca, Atletico hajawahi kutolewa nusu fainali na timu ya kiingereza.
Shabiki wa Arsenal analalamika kwanini game iliisha moja moja.
It's weird