Yaani mi naamini zubimendi ni mchezaji bora sana ila inabidi ajifunze ujasiri kwa Huyu dogo lewis skelly, asiigope Mali, aitake mali muda wote mguuni, zubi ametuangusha sana kwa kutunyima game control this season, hivi unawezaje kuwa controller kama unauogopa mpira? Muda wote yeye anataka kuachia tu, kifupi anakwepa responsibility ndio kitu kinamfanya anakuwa hovyo, partey alikuwa anakaa na Mali kupitiliza ila huyu anaiogopa Mali kupitiliza, you need balance kama Holding midfielder, Busquets alikuwa complete namba sita, anajua afanye nini wakati gani, Zubimendi anaweza kuwa busquet kama atatamani kuwa, uwezo Anao lakini mambo anayofanya paka kuna muda namkumbuka Partey.