Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Worst performance.

Haiingii akilini kwamba Arsenal ili ashinde mechi ya FA dhidi ya Soton aliyeshuka daraja inabidi awe na kikosi kinachotarajiwa kushindana UCL.

Wachezaji kama vile wamekutana leo wazenge kabisa. Mi sijanunua TV ili nije kuangalia usenge kama huu
 
Nyie KENGE, MBWA mpoo..pambaf sana.
20260404_235416.jpg
 
Worst performance.

Haiingii akilini kwamba Arsenal ili ashinde mechi ya FA dhidi ya Soton aliyeshuka daraja inabidi awe na kikosi kinachotarajiwa kushindana UCL.

Wachezaji kama vile wamekutana leo wazenge kabisa. Mi sijanunua TV ili nije kuangalia usenge kama huu
😂😂😂
 
Tusijifariji, tungejilegeza tukatolewa na chelsea nusu fainali.

Ni kweli kama tungewekewa hapa epl hapa carabao sote tungechagua epl, ila hakuna mwanadamu asietaka zaidi, epl tunaitaka lakini carabao pia tuliitaka ni vile arteta kaleta upimbi
Kule EPL bado una mechi na Kipara. Na nyingine moja ukifungwa na Nottingham Forest biashara imeisha.
 
Worst performance.

Haiingii akilini kwamba Arsenal ili ashinde mechi ya FA dhidi ya Soton aliyeshuka daraja inabidi awe na kikosi kinachotarajiwa kushindana UCL.

Wachezaji kama vile wamekutana leo wazenge kabisa. Mi sijanunua TV ili nije kuangalia usenge kama huu
Pole. Ujinga wote ni wa kocha wako. Hajawahi kushinda chochote cha maana toka alivyokuwa mchezaji. Tafuteni kocha anayejua kucheza mechi za fainali. Mechi ya fainali unaweka kikosi cha pili!
 
Back
Top Bottom