secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 15,265
- 28,447
Mpigwa msumari qinyeoni Mikael Arteta ameiponza Arsenal.
Shoga bhana!
Shoga bhana!
Hii timu ni ya kiboya sana. Shoga maarufu Arteta ndo tatizo. Kila siku kuuchungulia ubingwa ni upumbavu.


Tetea Kiwigi ni kocha wa makombe makubwa Uefa na Epl sio hizo takataka za carabao.Bado wanaweza kupokonywa EPL na Man city. Arteta ni Shoga mwendokasi.Manjesta tusingefanya ujinga wa kumpa timu yule tapeli , kombe la epl lisingeenda kwa hawa viazi😅 yani kama wameliokota vile😜
Anazingua sana. Hata EPL kwa mwendo huu anaweza akakosa.Tetea Kiwigi ni kocha wa makombe makubwa Uefa na Epl sio hizo takataka za carabao.
Aingiziwe kitu chenye ncha Kali kwenye Puru huyu aliyebinuka. Upumbavu mtupu!
Hata EPL hatuchukui. UEFA ndo hatuinusi kabisa.Bado UEFA 😂
EPL tunaweza kuwaachia mana timu nyingi mbovu
Labla mchukue kisonono 😂Hata EPL hatuchukui. UEFA ndo hatuinusi kabisa.
We muache tu na akili zake za kichoko, uzuri haya yanatokea sina maumivu ya mpira kama miaka ya 2010 kushuka chiniArteta anakera mno. Hata EPL iko mbioni kutuponyoka kwa hali hii.
😂🤣Tulieni 😂
Mbona mkishinda hamlalamikii kikosi
Yaani mi huwa napata sana moto nikiona upumbavu wa arteta. Bora timu ipambane kushuka daraja kuliko kukaribia kuchua kombe Kila msimu.Labla mchukue kisonono 😂
Mkuu, ninaweza kufa bila kushuhudia Arsenal wakichua kombe lolote linalofurahisha tangu ile EPL ya 2004, ndo maana nina hasira sana.We
We muache tu na akili zake za kichoko, uzuri haya yanatokea sina maumivu ya mpira kama miaka ya 2010 kushuka chini
Sorry bro, I mean no malice to nobodyIntelligent businessman pokea simu yangu, mbona hupokei au ushajinyonga?
Punguza hasira mkuu, mpira fanya iwe sehemu ya burudani tu, usichukulie sana serious.. mie nimefanikiwa kutoka huko najua maumivu ya mpira, ile tunakufa fainal ya uefa vs barca, siwezi sahaubsiku ile almanusura nipate degedege, maumivu makali, moyo kama unanyofokaMkuu, ninaweza kufa bila kushuhudia Arsenal wakichua kombe lolote linalofurahisha tangu ile EPL ya 2004, ndo maana nina hasira sana.