Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Jamaa wewe "mjinga" sana. Kwa hiyo hao wangepangwa ndio wangewazuia Silver, Cherk, Doku, Rodri et al. Hao wahuni wana uwezo binafsi wa kumiliki mpira. Unaleta timu haina ufundi wowote ni kutegemea kona na faulo. Pambaf sana.

?
Bahati mbaya, mie siwezi zungumzia mpira na wewe mzee,
Soma tena ulichoandika.. kabla ya game hii kuna game ngapi city hajapata ushindi kwa arsenal?

Mie nazungumzia kuwekwa benchi wachezaji wazuri na ww unazungumzia nini sasa 😂
 
Punguza hasira mkuu, mpira fanya iwe sehemu ya burudani tu, usichukulie sana serious.. mie nimefanikiwa kutoka huko najua maumivu ya mpira, ile tunakufa fainal ya uefa vs barca, siwezi sahaubsiku ile almanusura nipate degedege, maumivu makali, moyo kama unanyofoka
Dah, ngoja tu ninywe pombe usiku huu nipunguze hasira, natumai kesho nitakuwa sawa.
 
😂😂 sema man city Leo imecheza tofauti tusiilaumu arsenal. Yan Leo city walijigawanya pande mbili, wanaoshambulia na wengine walikuwa krb na high line hawatoki😂
 
Tusijifariji, tungejilegeza tukatolewa na chelsea nusu fainali.

Ni kweli kama tungewekewa hapa epl hapa carabao sote tungechagua epl, ila hakuna mwanadamu asietaka zaidi, epl tunaitaka lakini carabao pia tuliitaka ni vile arteta kaleta upimbi
Nikweli ila tu focus na EPL ndio hata TH14 alichosema.
 
Back
Top Bottom