HOST NOT FOUND
JF-Expert Member
- Dec 30, 2023
- 1,070
- 3,203
Leo ni Lissu, kesho ni mimi au wewe.
Yaani ana fanya majaribio fainali, dah manena zake.Arteta ni kama mwezi mchanga vile 😂🤣
Kunywa maji mengi, tusubiri game ya atletico na realYaani ana fanya majaribio fainali, dah manena zake.
Dah, ngoja tu ninywe pombe usiku huu nipunguze hasira, natumai kesho nitakuwa sawa.Punguza hasira mkuu, mpira fanya iwe sehemu ya burudani tu, usichukulie sana serious.. mie nimefanikiwa kutoka huko najua maumivu ya mpira, ile tunakufa fainal ya uefa vs barca, siwezi sahaubsiku ile almanusura nipate degedege, maumivu makali, moyo kama unanyofoka
Kaka sub ya madueke ili paswa kuwa mapema mno, ngoja nisubiri classico hiyo.Kunywa maji mengi, tusubiri game ya atletico na real
Pamoja mkuu, kunywa kistaarabu, mpira unaisha, maisha mengine yanaendelea albabuDah, ngoja tu ninywe pombe usiku huu nipunguze hasira, natumai kesho nitakuwa sawa.
Mie nilitoka mapema, huko mbele sijatizama, halftime tu nikaondoka nikijua hapa arsenal hatoboi.Kaka sub ya madueke ili paswa kuwa mapema mno, ngoja nisubiri classico hiyo.
💪Pamoja mkuu, kunywa kistaarabu, mpira unaisha, maisha mengine yanaendelea albabu
Tusijifariji, tungejilegeza tukatolewa na chelsea nusu fainali.EPL ndio target yetu msimu huu.
Kwanza kombe lenyewe bayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah.!Kwanza hili carabao cup halikua kwenye plan zetu.
Nikweli ila tu focus na EPL ndio hata TH14 alichosema.Tusijifariji, tungejilegeza tukatolewa na chelsea nusu fainali.
Ni kweli kama tungewekewa hapa epl hapa carabao sote tungechagua epl, ila hakuna mwanadamu asietaka zaidi, epl tunaitaka lakini carabao pia tuliitaka ni vile arteta kaleta upimbi
😂 Ww arseanal alikuwa na plan ya kubebe makombe mann msimu huu. Huoni arteta alivyochukia na mashabik kuondoka uwanjaniKwanza hili carabao cup halikua kwenye plan zetu.
Sasa hata uwanjani abaki halaand pekee yake mshingeshinda 😂Huku kwenye kombe watu wanaanza kuandika jina la Bingwa kabla hata refa kupuliza kipyenga.
Ndio akaze kalio, akifanya masihara atapoteanaNikweli ila tu focus na EPL ndio hata TH14 alichosema.