Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyie mazwa zwa, lini tutaanza kumdiscus huyu jamaa yenu.
20260323_143202.jpg


Mbona niliona kama anarukaruka tu, huyu ndio mnaotuaminisha ni world class?!!!
 
😁😁😁 Wazee wa Haramu football, jana wamepigiwa Halal football wenyewe wakatanua mapaja.
 
🤣🤣🤣 Baada ya kukosa Epl naomba pia uje na kauli hizihizi za kujifariji.
Hapana sio kauli za kujifariji, City walituzidi mzee, sio kwamba Arsenal ni team mbovu hapana, Pep ni kocha bora kumzidi Arteta, kwani hilo lina ubishi?! Kukosa EPL ni uzrmbe wa team na sio kocha. Kwani wamefikaje hapo walipo. Sijifariji, ukweli lazima usemwe
 
Msioipenda Arsenal shangilien vile mnavyojua lakini EPL tunabeba na city pale kwake hatufungi.

Tunzeni hii risiti.

City kwasasa hana uwezo wakutufunga mara 2 mfululizo.

Litakufa jitu pale Etihad.

Kaifunga timu isiyo na Eze + Raya tutafunga mdundo unaomfaa pale kwake.

Arteta aache tu ufala wake wakujaribu mambo kwenye mechi serious.

All in all jana tumekosa nafasi nyingi za wazi na Gyokeres alistahili kutoka abaki Kai pale mbele akae Tros aingie Martinel kushoto kule.Pangenoga.

Lakin kwa ujinga wake anampeleka Saka kati yaani mara 100 angemuingiza Dowman nikajua kaamua tu kujaribu mambo kwa ufasaha.
 
Msioipenda Arsenal shangilien vile mnavyojua lakini EPL tunabeba na city pale kwake hatufungi.

Tunzeni hii risiti.

City kwasasa hana uwezo wakutufunga mara 2 mfululizo.

Litakufa jitu pale Etihad.

Kaifunga timu isiyo na Eze + Raya tutafunga mdundo unaomfaa pale kwake.

Arteta aache tu ufala wake wakujaribu mambo kwenye mechi serious.

All in all jana tumekosa nafasi nyingi za wazi na Gyokeres alistahili kutoka abaki Kai pale mbele akae Tros aingie Martinel kushoto kule.Pangenoga.

Lakin kwa ujinga wake anampeleka Saka kati yaani mara 100 angemuingiza Dowman nikajua kaamua tu kujaribu mambo kwa ufasaha.
Aisee mwamsheni huyu jamaa anakaribia kulimwaga.
 
Back
Top Bottom