Tulikua hovyo. Kama idea ilikua kujishikilia tutafutane kwenye penati ilikus idea ya hovyo.Castr i told you
Nimeangalia mechi huku nipo safarini, hakuna safari nimekereka kama hii
Tulikua hovyo. Kama idea ilikua kujishikilia tutafutane kwenye penati ilikus idea ya hovyo.Castr i told you
Pep kamzidi ujanja mwanafunzi wake, sio mbaya sana. Tungefungwa na tim nyingine yoyote ingeniuma zaidiTumetema competition ya kwanza.
😂😂😂😂 usiumie sanaMfano huyu jamaa aliyenimention hata simjui.
Labda alikua ana username nyingine ila simjui, baada ya matokeo anapata guts za kunimention
Serious sijawahi kukuona popote😂😂😂😂 usiumie sana
Any away nipo sana mda ila huwa si comment
Gunner to Gunner
Be hurt, Don't Be Stupid
Three titles to fight for!
🤣🤣🤣 Baada ya kukosa Epl naomba pia uje na kauli hizihizi za kujifariji.Pep kamzidi ujanja mwanafunzi wake, sio mbaya sana. Tungefungwa na tim nyingine yoyote ingeniuma zaidi
Hapana sio kauli za kujifariji, City walituzidi mzee, sio kwamba Arsenal ni team mbovu hapana, Pep ni kocha bora kumzidi Arteta, kwani hilo lina ubishi?! Kukosa EPL ni uzrmbe wa team na sio kocha. Kwani wamefikaje hapo walipo. Sijifariji, ukweli lazima usemwe🤣🤣🤣 Baada ya kukosa Epl naomba pia uje na kauli hizihizi za kujifariji.
Aisee mwamsheni huyu jamaa anakaribia kulimwaga.Msioipenda Arsenal shangilien vile mnavyojua lakini EPL tunabeba na city pale kwake hatufungi.
Tunzeni hii risiti.
City kwasasa hana uwezo wakutufunga mara 2 mfululizo.
Litakufa jitu pale Etihad.
Kaifunga timu isiyo na Eze + Raya tutafunga mdundo unaomfaa pale kwake.
Arteta aache tu ufala wake wakujaribu mambo kwenye mechi serious.
All in all jana tumekosa nafasi nyingi za wazi na Gyokeres alistahili kutoka abaki Kai pale mbele akae Tros aingie Martinel kushoto kule.Pangenoga.
Lakin kwa ujinga wake anampeleka Saka kati yaani mara 100 angemuingiza Dowman nikajua kaamua tu kujaribu mambo kwa ufasaha.