Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Game ya leo haina sababu ya kushinda, ukitizama topic za nyuma utaona nini nilisema, game ya leo inaonesha uhalisia wa tatizo
Eze Hana sababu ya kuwa bench, Partey hakuna sababu ya kumuacha aondoke Zubimendi hawezi kucopy work rate ya UK as starter
Niliwahi kusema Arteta Hana tactics za ushindi na anapenda kuweka wachezaji laini
Tuliambiwa Edu karudi Brazil kapata offer kubwa lakini tunamuona yupo UK
Lazima kuna tatizo Arsenal ambalo halisemwi nje ya management
Itapelekea kukosa wachezaji wa maana
Tot wanasema Eze atakosa World Cup kwa uzembe wa Arteta

Tatizo la Arsenal ni coaching staff na management
Hakuna plan B
Arsenal haina tatizo kabisa , tatizo lipo kwa mashabiki wa arsenal kuwa chukulia arsenal serious.
 
1000069663.jpg
 
😂😂😂😂 kumbe akishalewa ndo huwa anakuja kutuambia mambo ya standard za shot on targets huwa ananifurahisha mpaka nawaza hivi hawa arsenal fans huwa wanaishi dunia ipi?
Kuna mmoja huyo ile game ya kwanza na PSG ilivyoisha kesho yake ananiambia ameota wamempiga PSG goli 2 halafu anaongea kwa uhakika sana
Kuwa shabiki wa Arsenal ni lazima baadhi ya fuse ziwe hazifanyi kazi.
 
😂😂😂😂 kumbe akishalewa ndo huwa anakuja kutuambia mambo ya standard za shot on targets huwa ananifurahisha mpaka nawaza hivi hawa arsenal fans huwa wanaishi dunia ipi?
Kuna mmoja huyo ile game ya kwanza na PSG ilivyoisha kesho yake ananiambia ameota wamempiga PSG goli 2 halafu anaongea kwa uhakika sana
Arsenal akipata kocha wa PSG ubingwa EPL ataupata au hata akirudishwa Unai.
Arsenal wanacheza mchezo laini si wakibingwa.Timu huwa zinafungwa kwa kuiogopa ila kama timu inaingiana na mbinu nzuri Arsenal wanatabirika.
 
Nachoipendea hii team ni ule uwezo wa kutengeneza false hopes na kuenda nazo no matter what, mnakumbuka 2022 ile wakawa wanapiga hesabu za kuifunga forest halafu city apoteze kwa westham sijui kwa goal difference ya ngap? Na ile arteta anaongoza points 8 then akapitwa 4 anakuambia there is still a chance to win it, we only need to believe .

Huweziii kuwa bingwa kwa kutegemea mipira ya set pieces ona hata magoli ya arsenal ya leo ni kubabatiza tu , halafu wanakuja ooh defense nzuriii haya on target3 chuma 3 waulize leo wao wametengeneza chance gani ya maana.
Watu wanasajili mchezaji ambaye anaweza kuamua matokeo game ikiwa ngumu wewe unaenda kujiokotea winga tereza madueke 😂 , mcheki cunha goli la leo ni uwezo binafsi ule wa kibrazil.
 
Wakati tunawaambia maana ya team hii kuitwa false hopes ni tendecy yao kushinda game zisizokua na umuhimu wowote wakakunja ndita wakiona tunawaonea wivu.

Game muhimu hushindi unashinda game zisizokua na faida kwanini tusikuite false hopers . Kuna ile rice anasema its fucking every times when we have a chance to increase the points gap another blow, dogo saka akamtuliza welcome to the false hopes club mate😂.

Vipi wazee bado mnaamini kuna ubingwa hapa?? Points 4 kwa city halafu arsenal hii ya kutegemea corners hata unishikie bunduki ukweli utasemwa tu
NARUDIA TENA ARSENAL THIS SEASON ANATOKA BILA KOMBE LOLOTE
 
Ushindi wa leo ni pure false hope. Hivi game ya leo na Nottingham ipi ni game ushindi wake ulikua wa muhimu zaidi? Ukipata jibu sahihi utajua kwanini tunawaita false hopers. Tukutane May.
Hakuna sehemu tu 📌 pin haya maelezo false hopes wasome kwa kurudiarudia huenda wataelewa.

Chance aliyokuwa nayo arsenal ya kuongoza kwa gap kubwa angeipata chelsea, man utd, Liverpool na hata wanangu Leicester saivi tungekuwa tunafanya calculation za ubingwa ila ona kaipata arsenal tunaongelea nini saivi .
 
Ambacho watu hawajui au wanajua ila wanajitia uchizi ni kwamba timu inahitaji consistency. Kama leo umeshinda utaweza kufanya hivyo mara tano baadaye?

Katika points 15, Arsenal kadrop points 4, City kadrop points 9 na Villa kadrop 5. Villa mechi yake ya leo ndiyo ya points 15 so hizo points 5 ni kabla ya hii mechi.

Ila utasikia Arsenal hawezi kubeba kombe. Yaani anadrop points balaa. Ila hajui wanaomkaribia wamezidrop hizo points zaidi ya Arsenal.

City wameliona hilo wamejizatiti wamenunua beki na forward. Villa ni timu ambayo priority ni kubaki ligi kuu, ndiyo sababu watu hawaihesabu so haina mpango wa kujizatiti.

Watu wanakuambia Arsenal atadrop point kwa United. United ambayo haijapata ushindi tangu lini? Ikiwa inaenda kwa Arsenal ambayo hajapoteza game nyumbani, ila mtu yupo kijiweni anatema nyongo nonstop.

Nimependa confidence ya Dorgu yeye anasema wanakuja Emirates kuchukua points 3. I hope tutawakabidhi kama anavyofikiria, even better wana mechi moja tu wiki nzima so wana chance ya kupiga zoezi haswa.
Vipi hapo ? Maelezo mengi yamejaa false hopes haya man utd kaja hapo emirates ambapo hamjapoteza game na kachukua points 3

Dorgu sio tu kachukua points 3 kapiga na chuma mmoja ya moto sana.

Hii man utd iliyochukua points 3 muhimu ukimuuliza kila man utd fans kuhusu ubora wa team yao atakuambia man utd ni mbovu ila njoo upande wa pili wa arsenal, hii ndo team yao bora zaidiii the best team right now ukiuliza ubora wao uko wapi watakuambia magoli machache ya kufungwa mara hawaruhusu shot on targets na hizo ndo standard ya ubora wa arsenal.

Jiulize kama man utd mbovu inamfunga arsenal ambayo bora kabisa kwenye match muhimu kama hii , je arsenal angeweza kuifunga man utd bora kabisa kwenye match yake muhimu ?
Kupata jibu rejea wakati man utd ikiwa bora kabisa.

Standard ndo inaonekana hapa why man utd ni club kubwa kuzidi arsenal wakati arsenal ubora wao ni mambo ya shot on target with zero trophy man utd ubora wao ni trophies , standard ya ardhi na mbingu.
 
Tupo hapa man utd hamtamfunga naona kesho zinabaki points4 lawama zitakuwa nyingi humu ndani.
Mlikua na chance ya points 12 lakini kama kawaida yenu false hopers.

Man utd kwenye game kama hizi ndo huwa anaonyesha ukubwa ni ukubwa tu ww utaona kesho arsenal players watakavyokua wanatetemeka wakati utd wakija kama nyuki.
Nina uhakika kesho man utd hamtamfunga .
Wakupe heshima Yako mkuu...umechagua kuwa mkweli kuliko uongo wa arteta
 
Back
Top Bottom