Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yani Arsenal mpaka wapinzani huwa tunasupport angalau na nyie mbebe Epl moja mfute machozi kama Liverkuku lakini wanetuu hampo serious kabisa msimu uliopita kwa Liverpool ilikuwa hivi hivi😆
Yap Mimi mwenyewe Liverpool naona arsenal ni wakati wake na yeye achukue "Ipielo" misimu zaidi 3 nyuma kalipambania sana, sasa ngoja guadiola afufuke awamu2 na aanze zile winning streak zake Hadi mechi12-15 mfululizo
 
Arteta kukaa juu pale kumemlevya kabisa.
unatafuta points 3 muhimu away unaweka benchi Saka,Trossand,Eze?
Unaanza na Madueke,Martinel Ben White?
kocha pumbavu sana, ameniudhi sana.
Au alikuwa anawazia mechi away UEFA na Intermilan, asijue Kule tayari mtaji anao anaongoza Msimamo na ana Uhkka kubaki top8 Kwa zaidi 90% ili akwepe play off
 
Kuna kipindi tulifululiza kucheza na kuzuia timu zisipate shot on target mpaka ikawa ni standard. Ilivyofika hatua wapinzani wanapata shot on target ikawa ni hoja ya kujadili.

Kwanini Arsenal ameruhusu shot on target?

Siyo kufungwa. No, ni shot on target.

Chelsea kushangilia suluhu ya moja moja na mashabiki wa Arsenal tukakubali kwamba wameshinda ile mechi.

Chelsea kushangilia kufungwa 3 ila Estevao kadribble na Garnacho kapata magoli mawili.

Ni hizo standards tulizozifikia ndiyo zinasababisha hata tukiconcede mashabiki roho zituume.

Kwa wanaowania kombe matokeo ni Arsenal kasuluhu ana points 50, City kafungwa ana points 43, Liverpool kasuluhu ana points 36.

Lakini ona watu wote wanaiongelea mechi gani? Kuna mmoja kasema tunaiongelea hii mechi kwakua tuna uhakika nyinyi hamchukui kitu.
Mwingine akasema wanaiongelea kwakua hii ndiyo inapata attention online.

Hawa wanasahau ni standards ndiyo zimetufikisha hapa.
 
Tupo second leg kwenye EFL dhidi ya Chelsea hatua ya nusu fainali, first leg Chelsea alikufa 3 kwa 2.

Second leg itachezwa Fly Emirates tarehe 3 mwezi wa 2 saa 5 usiku.

Tupo FA dhidi ya Wigan na mechi yetu inayofuata ni tarehe 14 mwezi wa 2 saa 11 jioni.

Tupo CL, mechi ya J4 ni kutafuta bragging rights kwakua tayari tulishafuzu hatua inayofuata hata kabla hatujacheza na Bayern.
Sijui kama mnaelewa ni kazi kiasi gani hii timu imefanya.

Upo kote huko halafu kiazi kimoja kipo Kerema kinaongea upuuzi nonstop.
 
Yap Mimi mwenyewe Liverpool naona arsenal ni wakati wake na yeye achukue "Ipielo" misimu zaidi 3 nyuma kalipambania sana, sasa ngoja guadiola afufuke awamu2 na aanze zile winning streak zake Hadi mechi12-15 mfululizo
Guardiola ashajichokea mazima hawezi kushinda mechi kumi mfululizo sema Sisi Arsenal tunazingua sana
 
Arteta asipotupa taji la maana msimu huu atupishe tu jamani.
Mechi ya Jana alizingua Sana kwa kuwaanzisha Sana na Trossard kwenye bench na hiyo game ilikuwa ni must win tuongeze gepu
 
nadhani kwenye mechi za EPL kwa kikosi cha arsenal bado kuna wachezaji sio wa kuwa fanyia rotation msimu huu.. trossard ni namba moja then wengine wnafuata.

mechi ya jana forest wali defend vizuri kuanzia wachezaji wao wa mbele na dyche ni kocha pia anaejua kucheza na arteta ,hi ligi ya msimu huu ni ngumu zaidi kuliko msimu uliopita mana pia timu zilizopanda daraja zote zinaleta ushindani mkubwa.

focus ihamie zaidi game ijayo dhidi ya man utd ,timu irudi kwenye winning ways tena na dozi iendelee.
 
Mashabiki wa Arsenal tunaamini hii ilitakiwa iwe penalty. Kuna refa akisimamia game yenu hamtakiwi kumtegemea, ni kuhakikisha mnapambana. Huyu ni refa ambaye amekua kwenye payroll ya City for years mpaka reds zake zikapinduliwa kwa rufaa ulitaka jana akufanyie nini?

20260118_115735.jpg
 
Kuna kipindi tulifululiza kucheza na kuzuia timu zisipate shot on target mpaka ikawa ni standard. Ilivyofika hatua wapinzani wanapata shot on target ikawa ni hoja ya kujadili.

Kwanini Arsenal ameruhusu shot on target?

Siyo kufungwa. No, ni shot on target.

Chelsea kushangilia suluhu ya moja moja na mashabiki wa Arsenal tukakubali kwamba wameshinda ile mechi.

Chelsea kushangilia kufungwa 3 ila Estevao kadribble na Garnacho kapata magoli mawili.

Ni hizo standards tulizozifikia ndiyo zinasababisha hata tukiconcede mashabiki roho zituume.

Kwa wanaowania kombe matokeo ni Arsenal kasuluhu ana points 50, City kafungwa ana points 43, Liverpool kasuluhu ana points 36.

Lakini ona watu wote wanaiongelea mechi gani? Kuna mmoja kasema tunaiongelea hii mechi kwakua tuna uhakika nyinyi hamchukui kitu.
Mwingine akasema wanaiongelea kwakua hii ndiyo inapata attention online.

Hawa wanasahau ni standards ndiyo zimetufikisha hapa.
Hivi arsenal nyinyi nan kawaloga mazee mbona mnafurahisha sana sio timu mpaka mashabiki wanafurahisha, yaani shot on target unaona ni standard 😂😂 vipi na team zilizobeba UCL, EPL, world cup.

Chelsea hakushangilia draw ila alifurahi kuona jinsi timu ilivyopambana watu wapo pungufu lakini wanawapelekea moto.
Kama shot on target unaona ni standard basii mnasafari ndefu sana za kuitwa mabingwa labda 2075 huko.

Tunaiongelea arsenal kwasababu inafurahisha na kuchekesha kitu ambacho ni burudani kwetu, ni kama vile mandoga kwenye ngumi .

Liverpool mwaka jana muda kama huu alikua kawaacha points almost 8 huko na kachukua ubingwa mapema sana, kama unaona points 7 ni nyingi subiri utasimulia vizuri.
Man city utaacha points, man utd utaacha points hapo beki za man city zitakua zisharudiii
 
nadhani kwenye mechi za EPL kwa kikosi cha arsenal bado kuna wachezaji sio wa kuwa fanyia rotation msimu huu.. trossard ni namba moja then wengine wnafuata.

mechi ya jana forest wali defend vizuri kuanzia wachezaji wao wa mbele na dyche ni kocha pia anaejua kucheza na arteta ,hi ligi ya msimu huu ni ngumu zaidi kuliko msimu uliopita mana pia timu zilizopanda daraja zote zinaleta ushindani mkubwa.

focus ihamie zaidi game ijayo dhidi ya man utd ,timu irudi kwenye winning ways tena na dozi iendelee.
Visingizio ni vingi sana mara rotation ya wachezaji, hivi nyinyi huwa mnaangalia matches za team yenu kweli au mnafuatilia kupita livescore ?.
Match na liverpool walianza saka na trossard nafasi ipi ya maana walitengeneza? zaidi ya kutegemea cross na set pieces.
Je unaona tofauti yoyote ya kiufundi kwenye game yenu ya liverpool na hii ya forest? Hakuna utofauti wowote ule .
Team built up zero kabisa mpira atachukua raya atampa timber , timber anampa rice au zubimendi then unaenda pembeni kumwaga maji au urudi tena kwa zubimendi apige back pass kwa raya, zero chance creativity .
Nyinyi mnachojua tu defense ndo maana tunaambiwa mara martineli ana offer defense work rate yaani kiufupi mnamabeki zaidi ya 9 uwanjani
 
Back
Top Bottom