The Anfield
Senior Member
- Dec 15, 2025
- 159
- 164
Lakini wakina Saka,Eze,Merino nk wote su walicheza kipindi 2, Wangesaidia timuArteta alaumiwe kwa hii game,
Yani unatafuta ubingwa alafu unaanzisha kikosi cha akina madueke
Lakini wakina Saka,Eze,Merino nk wote su walicheza kipindi 2, Wangesaidia timuArteta alaumiwe kwa hii game,
Yani unatafuta ubingwa alafu unaanzisha kikosi cha akina madueke
Yap Mimi mwenyewe Liverpool naona arsenal ni wakati wake na yeye achukue "Ipielo" misimu zaidi 3 nyuma kalipambania sana, sasa ngoja guadiola afufuke awamu2 na aanze zile winning streak zake Hadi mechi12-15 mfululizoYani Arsenal mpaka wapinzani huwa tunasupport angalau na nyie mbebe Epl moja mfute machozi kama Liverkuku lakini wanetuu hampo serious kabisa msimu uliopita kwa Liverpool ilikuwa hivi hivi😆
Yani daah inaumiza sanaYap Mimi mwenyewe Liverpool naona arsenal ni wakati wake na yeye achukue "Ipielo" misimu zaidi 3 nyuma kalipambania sana, sasa ngoja guadiola afufuke awamu2 na aanze zile winning streak zake Hadi mechi12-15 mfululizo
Au alikuwa anawazia mechi away UEFA na Intermilan, asijue Kule tayari mtaji anao anaongoza Msimamo na ana Uhkka kubaki top8 Kwa zaidi 90% ili akwepe play offArteta kukaa juu pale kumemlevya kabisa.
unatafuta points 3 muhimu away unaweka benchi Saka,Trossand,Eze?
Unaanza na Madueke,Martinel Ben White?
kocha pumbavu sana, ameniudhi sana.
Guardiola ashajichokea mazima hawezi kushinda mechi kumi mfululizo sema Sisi Arsenal tunazingua sanaYap Mimi mwenyewe Liverpool naona arsenal ni wakati wake na yeye achukue "Ipielo" misimu zaidi 3 nyuma kalipambania sana, sasa ngoja guadiola afufuke awamu2 na aanze zile winning streak zake Hadi mechi12-15 mfululizo
Tulinyimwa penalty ya wazi
Angeanza nao ingekuwa na impact kubwa sanaLakini wakina Saka,Eze,Merino nk wote su walicheza kipindi 2, Wangesaidia timu
Natamani sana hili litokee , mwanangu aston villa walibebe hili kombe wakipiga hesabu vizurii wanalinyanyua.Nilishasema before sina imani na Arteta na bado sina imani nae.
Mjuaji sana yule kocha.
Msimu huu kiutaniutani Aston villa anabeba Epl.
Hivi arsenal nyinyi nan kawaloga mazee mbona mnafurahisha sana sio timu mpaka mashabiki wanafurahisha, yaani shot on target unaona ni standard 😂😂 vipi na team zilizobeba UCL, EPL, world cup.Kuna kipindi tulifululiza kucheza na kuzuia timu zisipate shot on target mpaka ikawa ni standard. Ilivyofika hatua wapinzani wanapata shot on target ikawa ni hoja ya kujadili.
Kwanini Arsenal ameruhusu shot on target?
Siyo kufungwa. No, ni shot on target.
Chelsea kushangilia suluhu ya moja moja na mashabiki wa Arsenal tukakubali kwamba wameshinda ile mechi.
Chelsea kushangilia kufungwa 3 ila Estevao kadribble na Garnacho kapata magoli mawili.
Ni hizo standards tulizozifikia ndiyo zinasababisha hata tukiconcede mashabiki roho zituume.
Kwa wanaowania kombe matokeo ni Arsenal kasuluhu ana points 50, City kafungwa ana points 43, Liverpool kasuluhu ana points 36.
Lakini ona watu wote wanaiongelea mechi gani? Kuna mmoja kasema tunaiongelea hii mechi kwakua tuna uhakika nyinyi hamchukui kitu.
Mwingine akasema wanaiongelea kwakua hii ndiyo inapata attention online.
Hawa wanasahau ni standards ndiyo zimetufikisha hapa.
Visingizio ni vingi sana mara rotation ya wachezaji, hivi nyinyi huwa mnaangalia matches za team yenu kweli au mnafuatilia kupita livescore ?.nadhani kwenye mechi za EPL kwa kikosi cha arsenal bado kuna wachezaji sio wa kuwa fanyia rotation msimu huu.. trossard ni namba moja then wengine wnafuata.
mechi ya jana forest wali defend vizuri kuanzia wachezaji wao wa mbele na dyche ni kocha pia anaejua kucheza na arteta ,hi ligi ya msimu huu ni ngumu zaidi kuliko msimu uliopita mana pia timu zilizopanda daraja zote zinaleta ushindani mkubwa.
focus ihamie zaidi game ijayo dhidi ya man utd ,timu irudi kwenye winning ways tena na dozi iendelee.