ChesiiNachojua our main competitors( City & Villa) bado watadosha alama.
There's nothing to worry about, let's take the L and move onto next with big lessons
Viungo hawana ubunifu ni sideways pass tu hata kupiga pass wanazidiwa mbali na Lisandro MartinezUkiwa na viungo wa hivi ni halali kutegemea set piecesView attachment 3534777
game ya jana ilikuwa ya kuanza na merino/eze kwenye 10, then mbele gyokeres, sub ya trossard ni martinelli kama kwaida tena kwa game ya jana ilimfaa martinelli second half game za fujo fujo ndo zake, man u wancheza kwa fujo hawana formula wanakuja tu hawana cha kupoteza.Arteta ni galasa, jana eze na gyokeres wali kuwepo akaona aanze na mgese mwenIe
Ana gundu huyo jamaa, kupona kwake kumekuja kuvuruga timu tu.Yamekuwa hayo tena?
Gyokeres hamna player pale kubalini tu mmepigwa .Arteta ni galasa, jana eze na gyokeres wali kuwepo akaona aanze na mgese mwenIe
Castr anakuambia wamejiwekea standard as big team , unamuuliza kinachowafanya nyinyi kuwa big team ni nini?? Anakujibu wana defense nzuri isiyoruhusu shot on targets😂😂.Akili walau ziwarudi.... 3 on target zote kamba
Mbwa kabisa
Nasema tena huwezi kushinda ligi kwa kumzonga kipa kwenye mipira ya kona ili ufunge.
NARUDIA TENA ARSENAL HABEBI KOMBE LOLOTE MSIMU HUU!
Natamani akae benchi awe anaanza eze tu.. bora kuwa na merino kuliko ode.Mzenge anatukaba sana yule
Huyu khuma anatuzingua, anajiona timu kama ya baba yake, kajihakikishia namba. Kiwango chake kimepungua... awe anacheza eze au merino mpaka akili imkae sawa.Nadhani Arteta atafute CAM mwenye quality,Odegard kucheza kama RAM anafanya timu iwe predictable kwenye kuandaa mashambulizi kwani unajua kabisa pasi itapigwa kwa Odegard kwenda kwa saka na pass zenyewe fupi fupi sio za kukata lines kwa box la wapinzani
Bado hujasema mkuuArteta ni galasa, jana eze na gyokeres wali kuwepo akaona aanze na mgese mwenIe
Naona marehemu ume fufukaBado hujasema mkuu
LeoLini wanetu tuanze kumjadili Zubimendi ??? Huyu ni hewa hakuna kitu....
Thomas partey si alkuwepo hapo arsenal misimu zaidi 2 mbona hakuwapa arsenal ubingwa Epl??Arsenal kukosa ubingwa inatokana na Thomas Partey
Uzembe wa Coach na management ya Arsenal
Sioni Arsenal kuchukua ubingwa kwa uchezaji huu