Joe Milla
JF-Expert Member
- Jul 28, 2014
- 1,499
- 2,649
Sasa si uliona Man you hawakupi kabisa nafasi yakusogelea lango lao au kulitazama ukachagua angle yakupiga zaidi utapiga pass za pembeni na macross yanayoishia kubabatiza tu.Arsenal huwa yuko wazi sana akishambuliwa, kinachotubeba kidogo ni kwamba na sisi tunapata magoli ila tukipata timu inacheza aina hii ya mpira ni sare na kufungwa.Kabisa, eneo lile unaachaje cunha ana drible hadi anapiga. Hakunantracking wala quick blocking
Hii game wamecheza Liverpool pia tuaambulia sare