Sasa si uliona Man you hawakupi kabisa nafasi yakusogelea lango lao au kulitazama ukachagua angle yakupiga zaidi utapiga pass za pembeni na macross yanayoishia kubabatiza tu.Arsenal huwa yuko wazi sana akishambuliwa, kinachotubeba kidogo ni kwamba na sisi tunapata magoli ila tukipata timu inacheza aina hii ya mpira ni sare na kufungwa.Kabisa, eneo lile unaachaje cunha ana drible hadi anapiga. Hakunantracking wala quick blocking
Mlevi huyo, anaongeaga vitu visivyoonekana.Castr uko wapi mbona umekimbia jukwaa
Kuna kipindi tulisema adui wa Arsenal ni Ars
😂😂😂😂 kumbe akishalewa ndo huwa anakuja kutuambia mambo ya standard za shot on targets huwa ananifurahisha mpaka nawaza hivi hawa arsenal fans huwa wanaishi dunia ipi?Mlevi huyo, anaongeaga vitu visivyoonekana.
Brother mbona umechimba kabisa kuna lugha mmoja wanasema “ umeingia mitini” huwa nacheka sana kuisikia hii neno naona na wewe umeingia mitini njoo tuijadili arsenal hii ya standardNitarudi hapa baada ya mechi
Bwashee naomba na mimi niitumie hii picha😃😃View attachment 3534434
Mpaka mje mshtuke huu ni usajili hewa, mtakua mmeshapoteza kila kitu.
Halafu muache kamdomo, mna asilimia 99% za kutoka patupu msimu huu.
Sisi ndio nyangumi sasa , samaki mdogo kamwe hawezi kumeza papa😁😁😁😁 ila manure anajipigia sana hawa mapapa wa top 4.
Game ya leo haina sababu ya kushinda, ukitizama topic za nyuma utaona nini nilisema, game ya leo inaonesha uhalisia wa tatizoWewe hii false hopes mbona ya mbaliii hivi ubaguzi wa africa unaingiaje kwenye kipigo cha leo , tafuta false hopes nyingine hii nimeikataa
Hii false hope yako ya kusoma aya ya kwanza nimeipenda, hizi ni baadhi ya false hopes za baadhi yenu nitakua naziquotes mpaka MayKatika mzunguko wa pili wa ligi huwa naziofia sana timu ambazo zinataka kushuka daraja. Kwasasa Bora ukutane na liverpunda au kenge kuliko kukutana na burnley
Kesho tunamkanda nyumbu. Najua utajiuliza kwanini hatukutumia fursa kwa N. Forest?
Jibu soma aya ya kwanza
Nilisema hapa....haya kiko wapi ! Mbwa kabisaWanetu mnaifunga Utd ? Basi pambaneni muongeze wigo wa points.... City huyo hapo matak**ni anawapumulia!!!!
Mkijitahidi kwa wale jamaa labda sare.. yeye hana cha kupoteza,atafunguka haswa... nyie mna presha ya kukaa kule juu kwa wigo mkubwa ! Timber as LB? Ni uchochoro, cala ndo katoka injury hawezi kupangwa..... skelly? Hawez akiwekwa ni red card first half
Ntarudi baada ya mechi !