Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakuu njooni tujadili team yetu tusikimbie bado tunaongoza ligi points 4 ni nyingi sana na tumetoka kushinda juzi tu na inter match yetu muhimu , mimi naanza hapa:

Leo ndio ndoto za ubingwa zimekufa rasmi sasa si mlikua mnamuona man city anapoteza ovyo ngoja uone sasa mambo yanavyoenda kufurahisha.

The race is not to the swift, nor the battle for the strong but time and chance happen to all.
Chance yenu ishapita sasa ngoja muone man city, natumia nafasi hii kutangaza man city bingwa 2025/2026.
 
Kabisa, eneo lile unaachaje cunha ana drible hadi anapiga. Hakunantracking wala quick blocking
Sasa si uliona Man you hawakupi kabisa nafasi yakusogelea lango lao au kulitazama ukachagua angle yakupiga zaidi utapiga pass za pembeni na macross yanayoishia kubabatiza tu.Arsenal huwa yuko wazi sana akishambuliwa, kinachotubeba kidogo ni kwamba na sisi tunapata magoli ila tukipata timu inacheza aina hii ya mpira ni sare na kufungwa.
Hii game wamecheza Liverpool pia tuaambulia sare
 
Kuna kipindi tulisema adui wa Arsenal ni Ars
Mlevi huyo, anaongeaga vitu visivyoonekana.
😂😂😂😂 kumbe akishalewa ndo huwa anakuja kutuambia mambo ya standard za shot on targets huwa ananifurahisha mpaka nawaza hivi hawa arsenal fans huwa wanaishi dunia ipi?
Kuna mmoja huyo ile game ya kwanza na PSG ilivyoisha kesho yake ananiambia ameota wamempiga PSG goli 2 halafu anaongea kwa uhakika sana
 
20251019_122921.jpg

Mpaka mje mshtuke huu ni usajili hewa, mtakua mmeshapoteza kila kitu.
Halafu muache kamdomo, mna asilimia 99% za kutoka patupu msimu huu.
 
Wewe hii false hopes mbona ya mbaliii hivi ubaguzi wa africa unaingiaje kwenye kipigo cha leo , tafuta false hopes nyingine hii nimeikataa
Game ya leo haina sababu ya kushinda, ukitizama topic za nyuma utaona nini nilisema, game ya leo inaonesha uhalisia wa tatizo
Eze Hana sababu ya kuwa bench, Partey hakuna sababu ya kumuacha aondoke Zubimendi hawezi kucopy work rate ya UK as starter
Niliwahi kusema Arteta Hana tactics za ushindi na anapenda kuweka wachezaji laini
Tuliambiwa Edu karudi Brazil kapata offer kubwa lakini tunamuona yupo UK
Lazima kuna tatizo Arsenal ambalo halisemwi nje ya management
Itapelekea kukosa wachezaji wa maana
Tot wanasema Eze atakosa World Cup kwa uzembe wa Arteta

Tatizo la Arsenal ni coaching staff na management
Hakuna plan B
 
Katika mzunguko wa pili wa ligi huwa naziofia sana timu ambazo zinataka kushuka daraja. Kwasasa Bora ukutane na liverpunda au kenge kuliko kukutana na burnley

Kesho tunamkanda nyumbu. Najua utajiuliza kwanini hatukutumia fursa kwa N. Forest?
Jibu soma aya ya kwanza
Hii false hope yako ya kusoma aya ya kwanza nimeipenda, hizi ni baadhi ya false hopes za baadhi yenu nitakua naziquotes mpaka May
FALSE HOPES GIVER
“soma aya ya kwanza” Mkorea
“Mchawi wa arsenal ni arsena “ Castr
“ zero short on target standard”. cas
 
Wanetu mnaifunga Utd ? Basi pambaneni muongeze wigo wa points.... City huyo hapo matak**ni anawapumulia!!!!

Mkijitahidi kwa wale jamaa labda sare.. yeye hana cha kupoteza,atafunguka haswa... nyie mna presha ya kukaa kule juu kwa wigo mkubwa ! Timber as LB? Ni uchochoro, cala ndo katoka injury hawezi kupangwa..... skelly? Hawez akiwekwa ni red card first half

Ntarudi baada ya mechi !
Nilisema hapa....haya kiko wapi ! Mbwa kabisa
 
Back
Top Bottom