min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,044
- 126,596
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Huyo jamaa huwa anacheza? Ameingilia vipi matokeo ya leo ya Man u kwa mfano?! Vipi matokeo ya kwanza Arsenal aliposhinda dhidi ya Manchester ndani ya OT, vipi huyo Kroenke aliathiri vipi hayo matokeo?Tusaidie mkuuNimeanza kuishabikia Arsenal Mwaka 1996,Huwa naamini sidhani kama kuna mwanadamu hapa Tanzania anayeijua na kuhifahamu vizuri timu ya Arsenal kushinda mimi UMUGHAKA
Itoshe kusema Arsenal hawezi kuwa Bingwa hadi siku ambayo itaachana na Tapeli Kroenke na kampuni yake!,Tofauti na Hapo mashabiki hoya hoya endeleeni kujifariji !
Kumbukeni Mara ya mwisho Arsenal anakuwa bingwa bila kupoteza mechi msimu mzima 2003 - 2004 Haikuwa inamilikiwa na Kroenke!,Baada ya Kroenke tu kuichukua hii timu,Hapa ndipo alipotufikisha!
Siku Kroenke atakapoiachia hii timu basi Arsenal atakuwa Bingwa wa Epl mara nyingi kuliko Liverpool na Man Utd!
Nyie watoto wa Juzi msiyoielewa Arsenal Najua lawama mnampa Arteta na Wachezaji but tambueni Tatizo haliko kwa Arteta na Wachezaji bali tatizo ni Stan Kroenke kupitia kampuni yake Tanzu ya KSE!
Siku mtakapolitambua hili wala hamtampa kocha na wachezaji lawama !
Tukutane Msimu Ujao!
Daaah 😅, nafasi mnayo lkn ndogoA bad day in office.Heads up onto next.
We will surely bounce back
Endelea kushangilia mpira mkuu hadi siku Arsenal itakapokuuwa ndipo ukiwa kaburini utaelewa nilichokiandika!Huyo jamaa huwa anacheza? Ameingilia vipi matokeo ya leo ya Man u kwa mfano?! Vipi matokeo ya kwanza Arsenal aliposhinda dhidi ya Manchester ndani ya OT, vipi huyo Kroenke aliathiri vipi hayo matokeo?Tusaidie mkuu
Tunahitaji perspective yako kwenye hili mkuu, wengi hatuelewi huyo jamaa anachangia vp nyie kutofanikiwa?Endelea kushangilia mpira mkuu hadi siku Arsenal itakapokuuwa ndipo ukiwa kaburini utaelewa nilichokiandika!
Kwahiyo Ili Kwa usalama wa Afya yake unamshauri ahamie Man united,au sio?Endelea kushangilia mpira mkuu hadi siku Arsenal itakapokuuwa ndipo ukiwa kaburini utaelewa nilichokiandika!
Kesho tunamkanda nyumbu. Najua utajiuliza kwanini hatukutumia fursa kwa N. Forest?
Jibu soma aya ya kwanza
Wee MCHAWIII! Ulijuajeeee?Wanangu simnamjua Carrick 16 fundi
Kwa Sasa ni kocha wa Manchester United
Leo atawavua rasmi mbio za ubingwa
Gooners 2- 3 red devil's![]()
Pooleee weeee!Wanakufa chache chuma nne
Arteta ni galasa, jana eze na gyokeres wali kuwepo akaona aanze na mgese mwenIe
Arteta mechi 2-3 za kuongeza gape, yeye ana badili kikosi kilicho shinda fvckWanaotuita "false hope" wasipuuzwe
Wewe tupe matokeo ya Nyukesto na Villa kwanza,unashupaza shingo kwa Arsenal wakati team yako yenyewe ni tia majiVipi hapo ? Maelezo mengi yamejaa false hopes haya man utd kaja hapo emirates ambapo hamjapoteza game na kachukua points 3
Dorgu sio tu kachukua points 3 kapiga na chuma mmoja ya moto sana.
Hii man utd iliyochukua points 3 muhimu ukimuuliza kila man utd fans kuhusu ubora wa team yao atakuambia man utd ni mbovu ila njoo upande wa pili wa arsenal, hii ndo team yao bora zaidiii the best team right now ukiuliza ubora wao uko wapi watakuambia magoli machache ya kufungwa mara hawaruhusu shot on targets na hizo ndo standard ya ubora wa arsenal.
Jiulize kama man utd mbovu inamfunga arsenal ambayo bora kabisa kwenye match muhimu kama hii , je arsenal angeweza kuifunga man utd bora kabisa kwenye match yake muhimu ?
Kupata jibu rejea wakati man utd ikiwa bora kabisa.
Standard ndo inaonekana hapa why man utd ni club kubwa kuzidi arsenal wakati arsenal ubora wao ni mambo ya shot on target with zero trophy man utd ubora wao ni trophies , standard ya ardhi na mbingu.
Wote dondosheni tu ndio vizuri kabisaNachojua our main competitors( City & Villa) bado watadosha alama.
There's nothing to worry about, let's take the L and move onto next with big lessons
Nyie ni mabingwa mkuu msijali, msimu wenu huuNachojua our main competitors( City & Villa) bado watadosha alama.
There's nothing to worry about, let's take the L and move onto next with big lessons
Yamekuwa hayo tena?