Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

😂😂😂😂😂
1769373136650.jpg
 
Nimeanza kuishabikia Arsenal Mwaka 1996,Huwa naamini sidhani kama kuna mwanadamu hapa Tanzania anayeijua na kuhifahamu vizuri timu ya Arsenal kushinda mimi UMUGHAKA

Itoshe kusema Arsenal hawezi kuwa Bingwa hadi siku ambayo itaachana na Tapeli Kroenke na kampuni yake!,Tofauti na Hapo mashabiki hoya hoya endeleeni kujifariji !

Kumbukeni Mara ya mwisho Arsenal anakuwa bingwa bila kupoteza mechi msimu mzima 2003 - 2004 Haikuwa inamilikiwa na Kroenke!,Baada ya Kroenke tu kuichukua hii timu,Hapa ndipo alipotufikisha!

Siku Kroenke atakapoiachia hii timu basi Arsenal atakuwa Bingwa wa Epl mara nyingi kuliko Liverpool na Man Utd!

Nyie watoto wa Juzi msiyoielewa Arsenal Najua lawama mnampa Arteta na Wachezaji but tambueni Tatizo haliko kwa Arteta na Wachezaji bali tatizo ni Stan Kroenke kupitia kampuni yake Tanzu ya KSE!

Siku mtakapolitambua hili wala hamtampa kocha na wachezaji lawama !

Tukutane Msimu Ujao!
 
Nimeanza kuishabikia Arsenal Mwaka 1996,Huwa naamini sidhani kama kuna mwanadamu hapa Tanzania anayeijua na kuhifahamu vizuri timu ya Arsenal kushinda mimi UMUGHAKA

Itoshe kusema Arsenal hawezi kuwa Bingwa hadi siku ambayo itaachana na Tapeli Kroenke na kampuni yake!,Tofauti na Hapo mashabiki hoya hoya endeleeni kujifariji !

Kumbukeni Mara ya mwisho Arsenal anakuwa bingwa bila kupoteza mechi msimu mzima 2003 - 2004 Haikuwa inamilikiwa na Kroenke!,Baada ya Kroenke tu kuichukua hii timu,Hapa ndipo alipotufikisha!

Siku Kroenke atakapoiachia hii timu basi Arsenal atakuwa Bingwa wa Epl mara nyingi kuliko Liverpool na Man Utd!

Nyie watoto wa Juzi msiyoielewa Arsenal Najua lawama mnampa Arteta na Wachezaji but tambueni Tatizo haliko kwa Arteta na Wachezaji bali tatizo ni Stan Kroenke kupitia kampuni yake Tanzu ya KSE!

Siku mtakapolitambua hili wala hamtampa kocha na wachezaji lawama !

Tukutane Msimu Ujao!
Huyo jamaa huwa anacheza? Ameingilia vipi matokeo ya leo ya Man u kwa mfano?! Vipi matokeo ya kwanza Arsenal aliposhinda dhidi ya Manchester ndani ya OT, vipi huyo Kroenke aliathiri vipi hayo matokeo?Tusaidie mkuu
 
Huyo jamaa huwa anacheza? Ameingilia vipi matokeo ya leo ya Man u kwa mfano?! Vipi matokeo ya kwanza Arsenal aliposhinda dhidi ya Manchester ndani ya OT, vipi huyo Kroenke aliathiri vipi hayo matokeo?Tusaidie mkuu
Endelea kushangilia mpira mkuu hadi siku Arsenal itakapokuuwa ndipo ukiwa kaburini utaelewa nilichokiandika!
 
Vipi hapo ? Maelezo mengi yamejaa false hopes haya man utd kaja hapo emirates ambapo hamjapoteza game na kachukua points 3

Dorgu sio tu kachukua points 3 kapiga na chuma mmoja ya moto sana.

Hii man utd iliyochukua points 3 muhimu ukimuuliza kila man utd fans kuhusu ubora wa team yao atakuambia man utd ni mbovu ila njoo upande wa pili wa arsenal, hii ndo team yao bora zaidiii the best team right now ukiuliza ubora wao uko wapi watakuambia magoli machache ya kufungwa mara hawaruhusu shot on targets na hizo ndo standard ya ubora wa arsenal.

Jiulize kama man utd mbovu inamfunga arsenal ambayo bora kabisa kwenye match muhimu kama hii , je arsenal angeweza kuifunga man utd bora kabisa kwenye match yake muhimu ?
Kupata jibu rejea wakati man utd ikiwa bora kabisa.

Standard ndo inaonekana hapa why man utd ni club kubwa kuzidi arsenal wakati arsenal ubora wao ni mambo ya shot on target with zero trophy man utd ubora wao ni trophies , standard ya ardhi na mbingu.
Wewe tupe matokeo ya Nyukesto na Villa kwanza,unashupaza shingo kwa Arsenal wakati team yako yenyewe ni tia maji
 
Mechi ya Jana sio tittle decider.
We still have 15 more games to go and the good thing is we're still on the top of the table with 4 points.
Mimi nina Imani tutashinda league msimu huu.

Tukutane May.
 
Sasa jana mapema kabisa nikawa booked, nilicheki mechi mpaka half time kisha nikaenda kuhutubia. Kwakua Chelsea na United ni vibonde wetu hata sikutaka kufuatilia mechi.

Kwahiyo baada ya pale nikakuta tumekufa nikaendelea na hotuba kulivyokucha nikakimbilia mihangaikoni.

Kama mnahisi sipo humu kisa matokeo ya jana mnanikosea sana. Na ninarudia tena alifungwa City, Liver (siitaji United coz tumezoea afungwe) ila nzi wote wapo humu.
Screenshot_20260126-120517~2.jpg
 
Back
Top Bottom