ndengisivilii
JF-Expert Member
- Jun 21, 2024
- 713
- 881
Nadhani Arteta atafute CAM mwenye quality,Odegard kucheza kama RAM anafanya timu iwe predictable kwenye kuandaa mashambulizi kwani unajua kabisa pasi itapigwa kwa Odegard kwenda kwa saka na pass zenyewe fupi fupi sio za kukata lines kwa box la wapinzaniKuna namna odegaard anatuangusha