Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Notts forest au Liverpool Hawawezi kucheza deep kumzidi Inter, the issue ni kwamba we dont have someone to unlock those packed defenses, Man city wanaye cherki, what do we have? Odegaard? ndio maana tunahitaji combination ya ballers upfront (Saka-Eze-Trossard) kinyume na hapo ujue hiyo selection ni usenge and it's a boring game.
Kuna namna odegaard anatuangusha
 
Tatizo sio kushinda match 7 tatizo linakuja arsenal ni false hope team :
Ushindi wa jana vs inter ndo false hope yenyewe , jana match haikua na umuhimu wowote maana mlishafuzu 16bora.
Match za muhimu ilikua Nottingham na liverpool na bado mkaonyesha uhalisia wenu mkashindwa kushinda.

Ushindi wa jana kina castr , mkorea na arsenal fans wengine meno yote nje kwa kulishwa false hope , meno mlitakiwa mtoe nje kwenye game vs Liverpool emirates au Nottingham pale city ground.
Tusipangiane game za kushangilia bandugu! Tusipangiane maisha kabisa yani!! Unaugua nini?!?!
 
Team of The Year
Kaingia Rice na Saliba.
Na bado kuna watu walimfananisha Enzo na Rice, Enzo akachemka. Narrative ikahamia kwa Caicedo.

Wanampa pressure anacheza rafu za kifala
Huyu mpuuzi hajui mpira wowote ndo maana watu wanamuitaga "sheen kicker"
Rice is much way better than him in all aspects
 
Tatizo sio kushinda match 7 tatizo linakuja arsenal ni false hope team :
Ushindi wa jana vs inter ndo false hope yenyewe , jana match haikua na umuhimu wowote maana mlishafuzu 16bora.
Match za muhimu ilikua Nottingham na liverpool na bado mkaonyesha uhalisia wenu mkashindwa kushinda.

Ushindi wa jana kina castr , mkorea na arsenal fans wengine meno yote nje kwa kulishwa false hope , meno mlitakiwa mtoe nje kwenye game vs Liverpool emirates au Nottingham pale city ground.
Katika mzunguko wa pili wa ligi huwa naziofia sana timu ambazo zinataka kushuka daraja. Kwasasa Bora ukutane na liverpunda au kenge kuliko kukutana na burnley

Kesho tunamkanda nyumbu. Najua utajiuliza kwanini hatukutumia fursa kwa N. Forest?
Jibu soma aya ya kwanza
 
Kuna theory inasema "ni rahisi sana kuchukua point kwa nyumbu kuliko timu iliyo kwenye hatari ya kushuka daraja"

Man city amepoteza points 3 kwa nyumbu na leo yupo uwanjani na timu iliyo mkiani

Soma tena aya ya kwanza then unganisha dots aya ya kwanza na ya pili.

NB
Kesho Arsenal tupo na nyumbu
 
Kuna theory inasema "ni rahisi sana kuchukua point kwa nyumbu kuliko timu iliyo kwenye hatari ya kushuka daraja"

Man city amepoteza points 3 kwa nyumbu na leo yupo uwanjani na timu iliyo mkiani

Soma tena aya ya kwanza then unganisha dots aya ya kwanza na ya pili.

NB
Kesho Arsenal tupo na nyumbu
Tupo hapa man utd hamtamfunga naona kesho zinabaki points4 lawama zitakuwa nyingi humu ndani.
Mlikua na chance ya points 12 lakini kama kawaida yenu false hopers.

Man utd kwenye game kama hizi ndo huwa anaonyesha ukubwa ni ukubwa tu ww utaona kesho arsenal players watakavyokua wanatetemeka wakati utd wakija kama nyuki.
Nina uhakika kesho man utd hamtamfunga .
 
Arsenal kutoa sare na liverpool nilichukia sana. Tulicheza nao kwa jina lao badala ya uhalisia wao.
Uhalisia upi tena ndo maana ya kubeba kombe lazima watu wakuogope technically unasema mliogopa kwasababu ya jina kubwa la liverpool ( champions league 6 na epl zakutosha) wakati nyinyi zero UCL na miaka 22 without EPL kwanini usiogope!
 
Liver kapoteza game leo.

City alipoteza game wiki iliyopita

Arsenal akasuluhu wiki iliyopita.

Angalia nzi walijaa wapi na kuanza kufundisha mpira. Wengine wapo hadi leo.

Ukisema standards wanabisha. No one expects Arsenal to lose, when we draw inakua habari ya taifa.
 
Kuna trend ipo kwenye mpira. Kama unafuatilia na habari unaweza kua umeigundua.

Utakuta labda mchezaji anasifiwa wiki nzima kwa kuscore, kisha siku ya mechi anazingua.

Anasifiwa kiungo kwa pasi na defense siku moja kabla ya mechi siku mechi inachezwa anakua uchochoro.

Kuanzia wiki iliyopita walikua wanataja timu ambazo hazijapoteza games kipindi kirefu.

Ilikuepo Liver, Bayern na Arsenal. Bayern katika kusapoti hili wakapost kikosi na kusema "Chill team, haijapoteza mchezo"

Kisha Augsburg happened.

Liverpool ikabomb kwa Bournemouth.

Na Arsenal tupo leo na United.
 
Screenshot_20260125-075229~2.jpg
 
Tupo hapa man utd hamtamfunga naona kesho zinabaki points4 lawama zitakuwa nyingi humu ndani.
Mlikua na chance ya points 12 lakini kama kawaida yenu false hopers.

Man utd kwenye game kama hizi ndo huwa anaonyesha ukubwa ni ukubwa tu ww utaona kesho arsenal players watakavyokua wanatetemeka wakati utd wakija kama nyuki.
Nina uhakika kesho man utd hamtamfunga .
Nitarudi hapa baada ya mechi
 
Back
Top Bottom