tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 25,832
- 25,138
Leo kunya kawanyea k8wanjani hawa wapumbavu, hawana hamu naye!🤣😂🤣😂
Leo kunya kawanyea k8wanjani hawa wapumbavu, hawana hamu naye!🤣😂🤣😂
Nina wasiwasi na Arteta na ubaguzi wa wachezaji kutoka Africa
Yeye na Guadiola wana ubaguzi na wachezaji wa Africa
Zubimendi hawezi kuwa replacement ya Partey halafu forward butu sana hakuna shoot na ni uchezaji wa Spain sio UK
Kwa sasa hivi Arsenal warudi kwa Mourinho ndio nafasi ya kupata ubingwa sio kwa Arteta
Kweli jamaa ni mbaguzi sana,Parteyaliondoka bure,kwenye game mbili za mwisho tumepoteza point tanoNina wasiwasi na Arteta na ubaguzi wa wachezaji kutoka Africa
Yeye na Guadiola wana ubaguzi na wachezaji wa Africa
Zubimendi hawezi kuwa replacement ya Partey halafu forward butu sana hakuna shoot na ni uchezaji wa Spain sio UK
Kwa sasa hivi Arsenal warudi kwa Mourinho ndio nafasi ya kupata ubingwa sio kwa Arteta
Hiyo ucl yenyewe unadhani wanafika wapi mkuu? Wanatia huruma sana hawa mbweha!😨Sare mfululizo na kupoteza game. Presha inaanza kuongezeka.
Mbona ucl wanapiga game kibingwa sana.
Arsenal kwenye kulinda ni mbovu. Anaokolewa sana na kushambulia ila ukiwatia presha huwa wanafungwa sana tu.Shambolic defending,
3 on target, zote goli.
Nasema hv, wageni wote wameshinda, Kama hutaki kufa 😂Naona kuna wanetu wanasema wageni wote wameshinda hawajui hii trend ya leo siyo mara ya kwanza.
Jesus kua mbele means atacheza kama false 9 zaidi na hii inaweza saidia kwenye kuwapa back up Odegaard, shida inakuja kwenye wings zetu. Jesus anaweza kuhold defense ila wings zetu hazifanyi kucut in na kuscore.
Labda leo wafanye hivyo la sivyo tutashuhudia wakijichelewesha kumsubiri Jesus awe kwenye boksi.
Maguire kuwepo ni ili aasisst kwenye aerial duels na kuscore but jamaa ni liability. Same na Casemiro na Mainoo. With proper handling natarajia yellow kwa Casemiro au Mainoo.
Let's fuckin go
Yeah hamuishiwi false hopes ninachowapendea hapo tu.A bad day in office.Heads up onto next.
We will surely bounce back
Wewe hii false hopes mbona ya mbaliii hivi ubaguzi wa africa unaingiaje kwenye kipigo cha leo , tafuta false hopes nyingine hii nimeikataaNina wasiwasi na Arteta na ubaguzi wa wachezaji kutoka Africa
Yeye na Guadiola wana ubaguzi na wachezaji wa Africa
Zubimendi hawezi kuwa replacement ya Partey halafu forward butu sana hakuna shoot na ni uchezaji wa Spain sio UK
Kwa sasa hivi Arsenal warudi kwa Mourinho ndio nafasi ya kupata ubingwa sio kwa Arteta
Unganeni muandamaneHand ball ya Dorku ilimpa advantage, vinginevyo mpira ungebaki nyuma.
Arsenal inawachezaji nyoronyoro ndo maana timu ikitupa game tough hatutoboi zaidi ya sare au kufungwa.Angaliaga game za Astonvilla au Newcastle, Arseanal anapata sana shida sababu jamaa huwa hawanaga abiria uwanjani na hawakabi kwa macho. Arsenal tutazionea timu nyoronyoro kama sisi. Sasa Rice ndo akabe na kushambulia peke yake uwanje mzima.Nina wasiwasi na Arteta na ubaguzi wa wachezaji kutoka Africa
Yeye na Guadiola wana ubaguzi na wachezaji wa Africa
Zubimendi hawezi kuwa replacement ya Partey halafu forward butu sana hakuna shoot na ni uchezaji wa Spain sio UK
Kwa sasa hivi Arsenal warudi kwa Mourinho ndio nafasi ya kupata ubingwa sio kwa Arteta
Nyumbu tupo mwendo mdundo tunajitafunia tu mizoga , jipangeni kwa mstari ni nginja nginja tu mwendo wa ngiri mkia juuAsanteni sana nyumbu 😂
Kabisa, eneo lile unaachaje cunha ana drible hadi anapiga. Hakunantracking wala quick blockingArsenal inawachezaji nyoronyoro ndo maana timu ikitupa game tough hatutoboi zaidi ya sare au kufungwa.Angaliaga game za Astonvilla au Newcastle, Arseanal anapata sana shida sababu jamaa huwa hawanaga abiria uwanjani na hawakabi kwa macho. Arsenal tutazionea timu nyoronyoro kama sisi. Sasa Rice ndo akabe na kushambulia peke yake uwanje mzima.
Hii false hopes vipi unataka kuingiza kwenye kipigo cha leo ama?Kitu nilisema
Timu hata kasi haina sababu wengi kung'ang'ania mpira. Yaan mpaka anaachia pasi basi timu pinzani imeshaweka shape yake yakujilinda. Unakuta wanaanza kupiga back passes ambazo haina maana zaidi yakuchoma tu. Na wakiona timu haitoki mpaka mabeki wanaenda kuongeza idadi kushambulia hapa ndo inapokujaga hatari Arsenal akipoteza mpira kwenye eneo la mpinzani..Anakuwa wazi tu nyuma na watu wanakimbia kwenye space kuwashambulia.Arteta ajaribu kuja na mbinu timu icheze style tofautitofauti na atafute wachezaji tough siyo wote waaina moja shida lazima iwepo.Mbadilike kenge nyie team inategemea set piece na kuwazuia makipa kwenye kona
Siyo wachezaji tu hadi kocha hana mindset ya ubingwa. Hizi game we subiri uone Man city akiona uwezekano wakutukuta points na kutuzidi ndo utajua Gadiola anajua kuzicheza hizi game za lala salamaArsenal bado wana utoto mwingi cha kushangaza mashabiki wake wanaenda kuzeeka hawajanyanyua kwapa