Na wewe uachage kuongea kama mlevi! Cucu angekua hana yellow sidhani kama hata lile goli mngepata.Siyo Cucurella? Amekubali kuzungushwa zungushwa na assist ikatokea upande wake?
Mshukuruni refa hata angalao mmeambulia droo. Sio kamdomo kakuubwa utafikiri mpira umeangalia peke yako.