Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 43,786
- 103,680
Acha taarabuAma kweli akili mali
Acha taarabuAma kweli akili mali
Midfielder ya James, Enzo na Caicedo sio Kama zile nyanya mnazozifunga sisi huwa tuna undava hicho ndicho kimewauaSasa nimeelewa. Jana was a worse performance kwa upande wangu. Arsenal uwe pungufu isikukalie kooni. Lkn jana walikuwa wapo wapo tu.
mm nilitegemea arse8 mtakuwa hapa jukwaani mkichambua kwann hamkushinda mechi ila cha kushangaza mnajitapa kutawala mchezo mbele ya watu 10 kweli hii timu ni ya misukule ya kiwigi
Na wewe uachage kuongea kama mlevi! Cucu angekua hana yellow sidhani kama hata lile goli mngepata.Siyo Cucurella? Amekubali kuzungushwa zungushwa na assist ikatokea upande wake?
Kijana mbona anabwabwaja hivoTimu kama Chelsea ya juzi juzi tu hapo ..2005 hivi ina makombe yote ya ulaya na dunia kwa ujumla.
Ila hii Arse8 a.k.a AsaniWali ni mwendo wa kununua magarasa kutoka Chelsea na kununua wachezaji kwa hela za mafungu.
Hatuna kingine tunajua kabisa..
Huyu Chelsea atatu surprise musimu huu
😩😩😂😂😩
And the final results?
NI lini amewahi kuperform dhidi ya Arsenal hadi leo muone yellow imezuia performance?Na wewe uachage kuongea kama mlevi! Cucu angekua hana yellow sidhani kama hata lile goli mngepata.
Mshukuruni refa hata angalao mmeambulia droo. Sio kamdomo kakuubwa utafikiri mpira umeangalia peke yako.
Nyie hata hamsumbui watu mzee We endelea kujipa moyo hvyohvyo na km ulikuwa makini jana ile njia yenu ya kutegemea mipira ya kona ishapatiwa jawabu jana mpk kufanya arterta kakosa plan b😂 …..ngoja mkutane na timu za midtable huko maana tushawafungulia code kudefend set piecesMsimu huu hakuna kubottle mzee usinambie huyu City anayefungwa na Newcastle mbovu pamoja na kuhenyeshwa na Leeds kwao ndo atutoe nafasi ya kwanza.
Nyie hiyo March sijui mtakuwa wapi maana mshaanza kubattle top 4 mnalingana point na Villa. Wa sita mnamwacha pointi 2. Pointi tulizowaacha ni nyingi kuliko tofauti yenu na timu ya 11. Kama kilichowafurahisha ni draw na Arsenal sawa ila tofauti na hapo mmeenda nafasi mbaya zaidi. Ubingwa hata msiupigie hesabu.
We si ulisema tukicheza Kama tulivyocheza na Barca tutakula nyingi au sio wewe 😂 haya nakuuliza Je tulivyocheza na Barca ni Kama tulivyocheza na nyie?NI lini amewahi kuperform dhidi ya Arsenal hadi leo muone yellow imezuia performance?
Kwani kwa Barca mlipaki basi?We si ulisema tukicheza Kama tulivyocheza na Barca tutakula nyingi au sio wewe 😂 haya nakuuliza Je tulivyocheza na Barca ni Kama tulivyocheza na nyie?
Ni before ya red card au baada ya red card?Kwani kwa Barca mlipaki basi?
Red ipiNi before ya red card au baada ya red card?
We umeniuliza tulipack bus me nimekuuliza ni baada ya red card au before ya red cardRed ipi
We kila mechi huwa nakukamata sema kunakuaga na visababu kama hivyo, sio kila siku mtatembelea bahati, siku bahat ikiisha tutawafua kama nguo.NI lini amewahi kuperform dhidi ya Arsenal hadi leo muone yellow imezuia performance?
Hii ni timu ambayo imeshinda mechi ya mwisho nyumbani kwao 2018. Ila mashabiki wanaamini wanaikamata Arsenal kila mechi.We kila mechi huwa nakukamata sema kunakuaga na visababu kama hivyo, sio kila siku mtatembelea bahati, siku bahat ikiisha tutawafua kama nguo.
Maoni yako ni muhimu,Vipi Eze ebereche jana kwa nini hakupangwa?! au tusimdiscus kwanza mpk mpate kibonde? Vp Gyokere kwa ile mieleka ya kutoa roho aliyomfanyia kipa alistahili kumaliza dk.90?
Tupe majibu sasa we mjinga.Kukulela haitakuja kutokea amfiche star boy SAKA,
Kukulela ameshakula njano kwa kumchezea foul saka, dakika ya 11
Ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaUchukue ubingwa forwad Merino hivi mna akili kweli??? 🤣 🤣 🤣 🤣