Huu ndio mwanzo wa kupotea kabisa. Jumamosi wana Bournemouth away. Hapa ndio watafutika kwenye mbio za ubingwaWiki mbili zilizopita walianza kusema wana defense nzuri na kipa wao ni mzuri ndiyo sababu wana clean sheets 6 na Arsenal ina 7.
Hizi kelele hautazisikia kwa sasa
Hii game tukipata ata suluhu TU inatosha, maana Unai waga ni kama vile bado ana bifu na Arsenal, huwa anachukulia very personalAston Villa wananipa mawazo sana, na hizi injuries kule nyuma, tunahitaji outstanding performance kutoka kwa Arsenal siku hiyo.
Tunaenda villa park na tunashinda Amini hili..Hii game tukipata ata suluhu TU inatosha, maana Unai waga ni kama vile bado ana bifu na Arsenal, huwa anachukulia very personal
Wakati sisi tunaomba suluhu na City nae apate suluhu kwenye game yake na Sunderland lasivyo maji yatazidi Unga
Nimeikubali hii App.Download CRICFy tv
Suluhu tena mkuu, mbna tunashinda vzur tuHii game tukipata ata suluhu TU inatosha, maana Unai waga ni kama vile bado ana bifu na Arsenal, huwa anachukulia very personal
Wakati sisi tunaomba suluhu na City nae apate suluhu kwenye game yake na Sunderland lasivyo maji yatazidi Unga
Set quality la sivyo utashangaa MBs zinapita kama upepoNimeikubali hii App.
Mchawi unlimited tu mkuuSet quality la sivyo utashangaa MBs zinapita kama upepo
Unashindaje beki akiwa Tosin ukisema tunakamia ukosea kwasababu Maresca huwa hayupo serious when comes to face small opponent anaweza kupumzisha wachezaji mpaka 6 muda mwingine mbona nyinyi Arsenal hamna huu upuuziWiki mbili zilizopita walianza kusema wana defense nzuri na kipa wao ni mzuri ndiyo sababu wana clean sheets 6 na Arsenal ina 7.
Hizi kelele hautazisikia kwa sasa
Shida ni beki? Kama ni hivyo ilibidi forwards ziwe zinascore convincingly. Kwamba beki yetu ni mbovu imeruhusu magoli mawili ila forward ikascore nne.Unashindaje beki akiwa Tosin ukisema tunakamia ukosea kwasababu Maresca huwa hayupo serious when comes to face small opponent anaweza kupumzisha wachezaji mpaka 6 muda mwingine mbona nyinyi Arsenal hamna huu upuuzi
Msingi wa team upo kwenye beki line na viungo ukiua hapo uko mbele hapana faida ndio maana nilivyoona tu kikosi nikajua kabisa game tunapoteza si uliona nimelalamika hata kukiwa game haijaanzaShida ni beki? Kama ni hivyo ilibidi forwards ziwe zinascore convincingly. Kwamba beki yetu ni mbovu imeruhusu magoli mawili ila forward ikascore nne.
Huu ndiyo mchezo Liverpool walikua nao mwanzo wa msimu. But timu yenu sidhani kwamba hamshindi na sababu pekee ni Tosin kua beki
Stick with your manager.Msingi wa team upo kwenye beki line na viungo ukiua hapo uko mbele hapana faida ndio maana nilivyoona tu kikosi nikajua kabisa game tunapoteza si uliona nimelalamika hata kukiwa game haijaanza
Mwanangu castr vip update ya mjaeruhiStick with your manager.
Hata siku nne hazijapita tangu mumuite genius
tukishinda hii game itakuwa unyama sana.Hii game tukipata ata suluhu TU inatosha, maana Unai waga ni kama vile bado ana bifu na Arsenal, huwa anachukulia very personal
Wakati sisi tunaomba suluhu na City nae apate suluhu kwenye game yake na Sunderland lasivyo maji yatazidi Unga
At this point ni ushindi tu ndiyo way forward. Kila timu hua inatusubiri kwenye long balls na kupaki basi, ni vile tu Villa amekua successful kuzidi wenzake ndiyo sababu tunahofia anaweza haribu shughuliHii game tukipata ata suluhu TU inatosha, maana Unai waga ni kama vile bado ana bifu na Arsenal, huwa anachukulia very personal
Wakati sisi tunaomba suluhu na City nae apate suluhu kwenye game yake na Sunderland lasivyo maji yatazidi Unga
Akajirekebisha hiyo weakness atakuwa bonge la kochaStick with your manager.
Hata siku nne hazijapita tangu mumuite genius
Thats y wanaitwa kenge fcStick with your manager.
Hata siku nne hazijapita tangu mumuite genius