Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mvunja kuni kafanya kazi yake. Akitoka hapo unaambiwa ni best dm
 
Sare ya leo inauma sana
Kwa atmosphere ya game ya Leo,
Ukizingatia hii ni derby,
Mfuatano wa tough matches ambazo tumecheza consecutively,
Majeruhi ya saliba na Gabby kwenye defense,
sequence ya ushindi ambao tumepata mfululizo dhidi ya Chelsea na ukizingatia kwa form aliyonayo Chelsea;Haya sio matokeo mabaya.


Hongereni Chelsea ila Bravo arsenal
 
Nimekuta X shabiki wa City anasema wamefikia hatua wanaomba Mungu Chelsea amzuie Arsenal. Kuna jamaa akapost tu hii picha

View attachment 3507904
Katika pita pita zangu nikakutana na hii.
Arsenali bado sana kwa Chelsea. Mnasafari ndefu sana kufikia haya mafanikio.
 

Attachments

  • IMG-20251130-WA0028.jpg
    IMG-20251130-WA0028.jpg
    110.2 KB · Views: 10
Lile kombe la dunia la vilabu mbona ni kama Audi cup la Spurs. Conference ni kombe la kiboya kutokana na timu unazokutana nazo kule. Hata FA lina timu ngumu
Mnatamani mpete japo kimoja wapo hapo lakini bado. Pambaneni sana na mvuje jasho kweli kweli
 
Mnatamani mpete japo kimoja wapo hapo lakini bado. Pambaneni sana na mvuje jasho kweli kweli
Itakua haujui.

Anayeshika nafasi ya kwanza hadi ya nne anaenda UEFA.

Haendi Conference league.

Arsenal hata akitamani hicho kikombe cha Conference league hana namna ya kukipata kwakua hawezi kwenda conference league
 
Back
Top Bottom