Tatzo alikamiaaMvunja kuni kafanya kazi yake. Akitoka hapo unaambiwa ni best dm
Subiri April unaumia December, false hoper vipi wewe mapema yote hii ushaanza kuumia . Wenzako kina castr mida hii wanafurahia na kutamba maana wanajua majira na nyakati za raha ni sasa 😆Sare ya leo inauma sana
Kwa atmosphere ya game ya Leo,Sare ya leo inauma sana
Mkuu kama sikosei unashabikia Newcastle united.I love your bragging courageSubiri April unaumia December, false hoper vipi wewe mapema yote hii ushaanza kuumia . Wenzako kina castr mida hii wanafurahia na kutamba maana wanajua majira na nyakati za raha ni sasa 😆
Chelsea ndio alikamia gameTupo pungufu na bado tukaanza kuwafunga na bado mkashindwa kupata ushindi 😂 bahati yenu mlikamia game
Katika pita pita zangu nikakutana na hii.Nimekuta X shabiki wa City anasema wamefikia hatua wanaomba Mungu Chelsea amzuie Arsenal. Kuna jamaa akapost tu hii picha
View attachment 3507904
Mnatamani mpete japo kimoja wapo hapo lakini bado. Pambaneni sana na mvuje jasho kweli kweliLile kombe la dunia la vilabu mbona ni kama Audi cup la Spurs. Conference ni kombe la kiboya kutokana na timu unazokutana nazo kule. Hata FA lina timu ngumu
Katika pita pita zangu nikakutana na hii.
Arsenali bado sana kwa Chelsea. Mnasafari ndefu sana kufikia haya mafanikio.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Itakua haujui.Mnatamani mpete japo kimoja wapo hapo lakini bado. Pambaneni sana na mvuje jasho kweli kweli