Kwahy barca kuwa 10 hilo n kosa la Chelsea?Mzee Barca walikua 10.
Arsenal kaifumua Bayern ambayo haijapoteza mechi 17
😂😂😂Ile slogan ya kila mwaka ya Arteta Out inaanza leo rasmi.
Acha kulalamika sasaKwahy barca kuwa 10 hilo n kosa la Chelsea?
🤣🤣🤣 Huyo unayemtegemea tunambondaSitaki mbebe ubingwa ila nipigieni hyu mbwa chelsea maan ana mdomo sana.
Usikimbie tu baada ya matokeo na atutaki visingizioHehehe leo CB partnership mpya imezaliwa. The only reason am not worried ni kwavile Chelsea hua siihofii. Hata tuchezeshe U18
Hua sikimbii matokeo mzee. Moto ni nyinyi 😅😅😅😅Usikimbie tu baada ya matokeo na atutaki visingizio