Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Walikuwa wanamtaka Caicedo walikuwa watatu Arsenal, Chelsea na Liverpool. Arsenal ilikuwa ndio team ya Kwanza kutoa offer na walitoa paund 70m Brighton wakakataa ndipo Liverpool ikaingia na sisi ndio tukafata mkuu ebu kuwa na kumbukumbu vizuri
Wewe unachanganya nyakati, wakati Arsenal wanamtaka Caicedo ilikuwa ni Dirisha dogo ndio wakatuma offa mara mbili Brighton wakagoma na kusema hawamuuzi

ilipofika dirisha kubwa vita ikawa ni Chelsea na Liverpool, wakati huo Arsenal yeye anachuana na Man City katika kupata Saini ya Decline Rice

Kwahiyo kama Brighton asingeweka Ngumu, Caicedo angeenda Arsenal since January
 
Yaani unaweza kumchukua Zubimendi au Caicedo halafu unamchukua Caicedo? Kwa namna mpira wa Arsenal ulivyo Zubimendi ni enforcer mzuri kuliko Caicedo.

Mimi nimeanza kumuona Caicedo kipindi hicho anacheza LM, kabla ya Brighton, wakati huo sisi tuna wakina Guendouz. Na kipindi kile niliamini anatufaa kwakua Caicedo ana akili ya kwenda mbele kushambulia.

Kwa sasa tuassume yupo sehemu nzuri. He is happy, we are happy. Everyone wins
Caicedo ana quality zote za kwenda mbele kurudi nyuma, kutoa pass na kufunga pia ulivyokuwa unamuona Kante ndio the same na Caicedo ila kwa Maresca anamtumia chini ni kwasababu tuna Enzo Fernandez ambaye ndio ambaye anafanya Hilo jukumu kwasababu kwenye no 6 tuna upungufu Essugo ni injury, Lavia injury, na beki zilikuwa Zinashake ndio maana akaona Caicedo akae chini ili asaidie mabeki na eneo la katikati zaidi. Ila kuanzia mechi zinazofuata utamuona huyo Caicedo insyomuhitaji kwasababu Essugo kapona, Santos yupo on fire Baada kuanzia kumchezesha 6 hii inatoa uhuru kwa Caicedo kwenda mbele hata pia anapocheza na James Kati
 
𝗠𝗔𝗧𝗖𝗛𝘿𝘼𝙔

Chelsea
7.30pm (UK)
Premier League
Stamford Bridge.

Good luck Arsenal

IMG-20251130-WA0005.jpg
 
Gabriel Jesus and Viktor Gyökeres have travelled with the Arsenal squad for the Chelsea game. Both face a late fitness test.

[HandofArsenal]

IMG-20251130-WA0004.jpg
 
Mikel Arteta kuhusu Piero Hincapie na Cristhian Mosquera:
"Wote wawili wana uwezekano mkubwa wa kucheza dhidi ya Chelsea, Piero amecheza kama beki wa kushoto pia, ambayo ni chaguo jingine tunalo kuhusiana na mpinzani, mchezo, na hali ambayo wachezaji wako."

IMG-20251130-WA0004.jpg
 
Washika mishale nyie kila mwaka Dec huwa mnaongoza ligi
Hamna team yyt
Liverpool ni mabingwa
Nani sasa hayaogopi majogoo?
 
Hehehe leo CB partnership mpya imezaliwa. The only reason am not worried ni kwavile Chelsea hua siihofii. Hata tuchezeshe U18
 
Saliba, Gabriel majembe yetu leo hayapo lakini kenge lazima zishikishwe adabu

Kenge hawezi kuifunga arsenal hii
Screenshot_20251130_183057_FotMob.jpg
 
Forwards leo inabidi ziwe serious. Wascore zaidi ili kuwapa relief defense.

Piero siyo kibonde. Leverkusen inachukua ubingwa amecheza msimu mzima, Mosquera pale Valencia alikua anazima namba vizuri tu na juzi Kane alipigwa man marking hadi akakosa shot on target.

So hii partnership siyo ya kinyonge.
 
Kukulela haitakuja kutokea amfiche star boy SAKA,

Kukulela ameshakula njano kwa kumchezea foul saka, dakika ya 11
 
Back
Top Bottom