Anigrain
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 1,698
- 4,284
Wewe unachanganya nyakati, wakati Arsenal wanamtaka Caicedo ilikuwa ni Dirisha dogo ndio wakatuma offa mara mbili Brighton wakagoma na kusema hawamuuziWalikuwa wanamtaka Caicedo walikuwa watatu Arsenal, Chelsea na Liverpool. Arsenal ilikuwa ndio team ya Kwanza kutoa offer na walitoa paund 70m Brighton wakakataa ndipo Liverpool ikaingia na sisi ndio tukafata mkuu ebu kuwa na kumbukumbu vizuri
ilipofika dirisha kubwa vita ikawa ni Chelsea na Liverpool, wakati huo Arsenal yeye anachuana na Man City katika kupata Saini ya Decline Rice
Kwahiyo kama Brighton asingeweka Ngumu, Caicedo angeenda Arsenal since January
𝗠𝗔𝗧𝗖𝗛𝘿𝘼𝙔
️
Chelsea
7.30pm (UK)
Premier League
Stamford Bridge.
Gabriel Jesus and Viktor Gyökeres have travelled with the Arsenal squad for the Chelsea game. Both face a late fitness test.