Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa atmosphere ya game ya Leo,
Ukizingatia hii ni derby,
Mfuatano wa tough matches ambazo tumecheza consecutively,
Majeruhi ya saliba na Gabby kwenye defense,
sequence ya ushindi ambao tumepata mfululizo dhidi ya Chelsea na ukizingatia kwa form aliyonayo Chelsea;Haya sio matokeo mabaya.


Hongereni Chelsea ila Bravo arsenal
Mumeanza kubadili sentensi 😂😂😂😂😂
 
Kwa atmosphere ya game ya Leo,
Ukizingatia hii ni derby,
Mfuatano wa tough matches ambazo tumecheza consecutively,
Majeruhi ya saliba na Gabby kwenye defense,
sequence ya ushindi ambao tumepata mfululizo dhidi ya Chelsea na ukizingatia kwa form aliyonayo Chelsea;Haya sio matokeo mabaya.


Hongereni Chelsea ila Bravo arsenal
Wewe unaongelea majeruhi ya saliba na gabby , chelsea wapo uwanjani pungufu toka kipindi cha kwanza.
Chelsea ni men nyinyi false hopers ni mkusanyiko wa boys , wenzako walikua wanawaza kono la nyani.
Umenifurahisha unaleta sababu ya majeruhi wakati chelsea wanacheza pungufu what if nyinyi ndo mngekua pungufu FT ingekua tayari 5 :0
Kwa atmosphere ya game ya Leo,
Ukizingatia hii ni derby,
Mfuatano wa tough matches ambazo tumecheza consecutively,
Majeruhi ya saliba na Gabby kwenye defense,
sequence ya ushindi ambao tumepata mfululizo dhidi ya Chelsea na ukizingatia kwa form aliyonayo Chelsea;Haya sio matokeo mabaya.


Hongereni Chelsea ila Bravo arsenal
 
Arsenal huwezi kubishana na chelsea mtu pekee ambaye arsenal anaweza kubishana naye labda Tottenham , ambaye anaweza kukunyamazisha na europa yake.

Timu pekee ambayo matokeo yake kutabiri huwa ni ngumu sana ni chelsea haijalishi anakutana na team gani kubwa yoyote vile, historia inaonyesha chelsea always ni kubwa kwa team yoyote ile mfano
Chelsea vs bayern 2012
Chelsea vs real madrid 2021
Chelsea vs man city 2021
Chelsea vs barcelona (mara kibao sikumbuki ni lini barca amemfunga chelsea zaidi ya ile game ya kubebwa 2007)
Juzi tu hapa chelsea vs PSG (PSG iliyoshindikana chelsea amejipigia kama mlevi). Final ipi chelsea kaacha kombe?
Chelsea haijawahi kuwa kibonde kwa team yoyote duniani.

Arsenal vibonde wa wengi bayern kajipigia sana , barca ndo usiseme messi anajipigia tu goli 4 nakuendelea, furaha yenu kubwa ni UEFA ni kumfunga real madrid
 
Elewa swali.

Taja kombe moja, moja, moja, moja sio mawili, kombe moja la nje ya UK.

Kombe moja sio makombe 48, kombe moja, kombe moja tuu uwiiiiiiiii kombe moja tuu, kombe moja tuu.

Kombe moja tuu, sio mengi, moja tuu.

Labla hapa utaelewa.
Huko unamuonea sana mwambie ataje tu usiku wa UEFA mmoja ambao unabaki kwake kama kumbukumbu nzuri au unaokaribiana tu na nyakati kama hizi:
Chelsea vs Bayern (UEFA)
Chelsea vs Man city(UEFA)
Chelsea vs PSG . (Fifa )
Chelsea vs Arsenal (Europa )

2005/2006 mourinho kaja kachukua league.
2009/2010 Ancelotti kaja kachukua league
2014/2015 karudi mourinho kachukua league
2016/2017 kaja conte kabeba league .
Miaka yote hio Arsenal anajenga team mpaka leo 😂😂
 
Sasa Cheli mnafurahia droo halafu gepu la pointi zimebaki zilezile na mmeenda nafasi ya tatu
 
wazee wa kubottle ligi bwana Mara oooh barca walikuwa 10 ndo mkawafunga haya sawa wanaume walikuwa 10 mbona mlishindwa kuwafunga , …nyie jamaa ngoja ifike mwezi wa 3 tutaanza kusikia kelele za arterta😂
Msimu huu hakuna kubottle mzee usinambie huyu City anayefungwa na Newcastle mbovu pamoja na kuhenyeshwa na Leeds kwao ndo atutoe nafasi ya kwanza.
Nyie hiyo March sijui mtakuwa wapi maana mshaanza kubattle top 4 mnalingana point na Villa. Wa sita mnamwacha pointi 2. Pointi tulizowaacha ni nyingi kuliko tofauti yenu na timu ya 11. Kama kilichowafurahisha ni draw na Arsenal sawa ila tofauti na hapo mmeenda nafasi mbaya zaidi. Ubingwa hata msiupigie hesabu.
 
Kupata draw ugenini Kuna ubaya gani?!
Hasa dhidi ya timu kama Chelsea?!
Well done gunners, tuendelee kizikusanya tu points, iwe Moja au 3, mwisho wa ligi tutaelewana tu.
C O Y G
 
Elewa swali.

Taja kombe moja, moja, moja, moja sio mawili, kombe moja la nje ya UK.

Kombe moja sio makombe 48, kombe moja, kombe moja tuu uwiiiiiiiii kombe moja tuu, kombe moja tuu.

Kombe moja tuu, sio mengi, moja tuu.

Labla hapa utaelewa.
Akitaja unitaq nipo hapa 🤣🤣🤣🤣
 
Jana baada ya Mafake hopers kuona Caicedo kupewa Red Card walisema wote ukumbini na kusema Baaàaaaassss. Chelsea inakufa 5 leo. Hawakujua kama mwenye team yake yupo beki kisiki James Reece. Kijana wangu aliwapoteza kina Mchele hawakuamini mziki wake🤣🤣🤣🤣
 

Attachments

  • Screenshot_20251201_062025_Threads.jpg
    Screenshot_20251201_062025_Threads.jpg
    103.3 KB · Views: 10
Back
Top Bottom