Hawa viazi wana wachezaji wa kawaida ila wao sasa wanaona wana wachezaji wa maana!! Utaambiwa Eze ni weldi klasii!!!! unabaki unashangaa! hawa zimetimia kweli?Eze alionekana ule muda anatoka ndo tukagundua kumbe alikuwepo😁
Huyo mchele, kapotezwa na James pale kati ambae ile sio namba yake halisi, sasa sijui bado wataendelea kumfananisha james na yule takataka timbalend?! Kama bado watakua na vicha vigumu. Sasa inabidi wahamie kwa james na Mchele. Na huko bado juzi mchele kalambishwa sana nyasi.