Scott junior
JF-Expert Member
- Mar 24, 2022
- 2,389
- 3,162
Kenge kabisa
Mnaanza kurudi kwenye menu yenu ya kula mara moja kwa siku
SPurs haijawahi kuwa mechi ngumu kwa asenoHongera gunners, wiki ilikuwa na mechi ngumu mno, spurs, Bayern Munich, Chelsea...
Siyo timu nyingi zingeiweza .
Kweli siyo kweli?!
Eze alionekana ule muda anatoka ndo tukagundua kumbe alikuwepo😁We kila mechi huwa nakukamata sema kunakuaga na visababu kama hivyo, sio kila siku mtatembelea bahati, siku bahat ikiisha tutawafua kama nguo.
Maoni yako ni muhimu,Vipi Eze ebereche jana kwa nini hakupangwa?! au tusimdiscus kwanza mpk mpate kibonde? Vp Gyokere kwa ile mieleka ya kutoa roho aliyomfanyia kipa alistahili kumaliza dk.90?
Hawa viazi wana wachezaji wa kawaida ila wao sasa wanaona wana wachezaji wa maana!! Utaambiwa Eze ni weldi klasii!!!! unabaki unashangaa! hawa zimetimia kweli?Eze alionekana ule muda anatoka ndo tukagundua kumbe alikuwepo😁
Kweli kabisa kwa akili yako timamu unamchukulia serious Arsenal Leo yenyewe anapoteza pointManCity huyo hapo kiunoni kwenu.
Title race ishakuwa ngumu hii.
Hii draw vs Sunderland na Chelsea , zitawaponza.
PEP ni mtu asiye na huruma na anaamini huruma sio malezi.
Lisikie hili bwengaKweli kabisa kwa akili yako timamu unamchukulia serious Arsenal Leo yenyewe anapoteza point
Download CRICFy tvNaombeni ndugu yangu application nzuri za kucheki mpira live
Ebu nioneshee kwa picha ilivyo maana nimecheki playstore zipo nyingiDownload CRICFy tv
Usiende playstore. Hiyo unadownload kupitia google.Ebu nioneshee kwa picha ilivyo maana nimecheki playstore zipo nyingi
Shukrani sanaUsiende playstore. Hiyo unadownload kupitia google.
Maresca Huwa sijui anashida gani kamuanzisha Tosin beki wa ovyo kabisa huwa anapenda kufanya unnecessary line up kwenye hizi team ndogo Gusto, Fofana na James wote wamepumzishwaHaiwezekani big four wote tushinde leo. Inabidi mmoja au wawili wapotee
Notice kwamba nimeandika hivyo hata mechi yenu haijaanza.Maresca Huwa sijui anashida gani kamuanzisha Tosin beki wa ovyo kabisa huwa anapenda kufanya unnecessary line up kwenye hizi team ndogo Gusto, Fofana na James wote wamepumzishwa