Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

We kila mechi huwa nakukamata sema kunakuaga na visababu kama hivyo, sio kila siku mtatembelea bahati, siku bahat ikiisha tutawafua kama nguo.

Maoni yako ni muhimu,Vipi Eze ebereche jana kwa nini hakupangwa?! au tusimdiscus kwanza mpk mpate kibonde? Vp Gyokere kwa ile mieleka ya kutoa roho aliyomfanyia kipa alistahili kumaliza dk.90?
Eze alionekana ule muda anatoka ndo tukagundua kumbe alikuwepo😁
 
Eze alionekana ule muda anatoka ndo tukagundua kumbe alikuwepo😁
Hawa viazi wana wachezaji wa kawaida ila wao sasa wanaona wana wachezaji wa maana!! Utaambiwa Eze ni weldi klasii!!!! unabaki unashangaa! hawa zimetimia kweli?

Huyo mchele, kapotezwa na James pale kati ambae ile sio namba yake halisi, sasa sijui bado wataendelea kumfananisha james na yule takataka timbalend?! Kama bado watakua na vicha vigumu. Sasa inabidi wahamie kwa james na Mchele. Na huko bado juzi mchele kalambishwa sana nyasi.
 
ManCity huyo hapo kiunoni kwenu.
Title race ishakuwa ngumu hii.
Hii draw vs Sunderland na Chelsea , zitawaponza.
PEP ni mtu asiye na huruma na anaamini huruma sio malezi.
 
ManCity huyo hapo kiunoni kwenu.
Title race ishakuwa ngumu hii.
Hii draw vs Sunderland na Chelsea , zitawaponza.
PEP ni mtu asiye na huruma na anaamini huruma sio malezi.
Kweli kabisa kwa akili yako timamu unamchukulia serious Arsenal Leo yenyewe anapoteza point
 
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁anapumuliwa kisogoni tayari christmas ngumu nyie

Hii ndio timu ya kwanza kukaa kileleni christmas na ikakosa ubingwa
 
Haiwezekani big four wote tushinde leo. Inabidi mmoja au wawili wapotee
Maresca Huwa sijui anashida gani kamuanzisha Tosin beki wa ovyo kabisa huwa anapenda kufanya unnecessary line up kwenye hizi team ndogo Gusto, Fofana na James wote wamepumzishwa
 
Maresca Huwa sijui anashida gani kamuanzisha Tosin beki wa ovyo kabisa huwa anapenda kufanya unnecessary line up kwenye hizi team ndogo Gusto, Fofana na James wote wamepumzishwa
Notice kwamba nimeandika hivyo hata mechi yenu haijaanza.

Mlikamia game na Arsenal. On paper hii mechi inatakiwa mshinde
 
Back
Top Bottom