Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivi Arsenal mtaacha lini kusingizia mipira kila mkifungwa?
 
At the end of this season nadhani Berta anawezakuwa na kazi nyingine kubwa ya kutafuta kocha mpya ambaye yuko matured kutuvusha hapa tulipo. Huyu kocha asipokuwa makini ataishia kuwa a new Mauricio Pochetino.
mkiachana na Arteta kiwigi mtachelewa sana kumpata kocha mzuri, lakini Kiwigi hatochelewa kupata Club ya maana. Jichanganyeni Barcelona wamwagikane na Hansi Flick
 
At the end of this season nadhani Berta anawezakuwa na kazi nyingine kubwa ya kutafuta kocha mpya ambaye yuko matured kutuvusha hapa tulipo. Huyu kocha asipokuwa makini ataishia kuwa a new Mauricio Pochetino.
mkiachana na Arteta kiwigi mtachelewa sana kumpata kocha mzuri, lakini Kiwigi hatochelewa kupata Club ya maana. Jichanganyeni Barcelona wamwagikane na Hansi Flick
 
even last season you went toe to toe with us na ubingwa ukaja Anfield. aliyewaiteni false hopers ajengewe sanamu
 
Mna vichaa nyie,,,,

Mnataka EPL na mudueke ? MArtineli ?

Huyu Zubimendi tumpe mechi mbili tena mtakuja kumkataa !

Victor Goyk huyu ni mshambuliaji machahari tu hamna kitu hawezi vuka 15G/A ,,, na hivi hamna creative mid mzuri wa kumpenyezea pasi za upendo ,,, Òde hamna kitu !
 
Ingawaje bado ni mapema sana kutoa hukumu na tuna wachezaji wapya ambao bado wanahitaji muda.. Ila Arsenal kwenye upande wa attacking tumerudi nyuma sana. Hata timu ikienda mbele unaona kabisa hakuna cha maana ni kama kila mchezaji ana uchezaji wake.. Uchoyo wa kuachia mipira mapema kwa watu kama wakina Martinelli, back pass nyingi. Briefly, kule mbele hakuna Chemistry.. Ni kama viungo watengenezaji wamekutana barabarani na Gyokeres wamemuomba wakacheze nae wakiwa hawajui anataka nini kuonesha ubora wake
 
Sio tu Arsenal hata Liverpool nao shida ipo. Hizi timu ukiziangalia kwa jicho ambalo sio la kiushabiki utaona zina tatizo mbele kwenye nafasi za ushambuliaji. Ekitike kucheza 9 hapana aisee. Shukrani wamempata Isak.. Florian Wirtz bei yake pamoja na anachokitoa ni contrary. Ni kama pace na intensity ya ligi bado ni changamoto kwao. Lakini ni mapema sana kuwahukumu inahitaji muda zaidi kwasababu ukikurupuka sana utatafuta injury ambazo kwasasa ni Kisanga kwa wachezaji wengi. Miili bado imepoa. All in all, ni matokeo mazuri sana kwa Liverpool ukizingatia umeyapata kwa timu kama Arsenal. Cheza vibaya au vizuri muhimu ni point tatu.. Hilo ndio la kujifunza
 
H
HIhihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…