King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 2,314
- 5,988
Acha basiWe are cooking slowly but sure mkuu.
Unaambiwa Gyokeres alikuwa anataka kujileta matofalini, Amorin akamwambia haendani na mfumo anaotaka kuutumia msimu huu, ndio jamaa kukomaa na arsenal uko.