fuentte
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 3,399
- 9,823
We are cooking slowly but sure mkuu.Fanyeni sajili aisee. Ohoooo. Tusije kulaumiana Agosti
Unaambiwa Gyokeres alikuwa anataka kujileta matofalini, Amorin akamwambia haendani na mfumo anaotaka kuutumia msimu huu, ndio jamaa kukomaa na arsenal uko.
