Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mchezaji mwenyewe tayari alishasema anataka kwenda Arsenal na walai sio timu nyingine ndo maana timu nyingine hazikushughulika naye.

Manchester United wamejaribu kumbembeleza mara kadhaa ajiunge nao akawakatalia kbsa.

Uwe unafuatilia hizi habari vizuri kabla ya kuja kuandika utumbo wako
Ukiachana na man u na Arsenal hakuna team nyingine kubwa zilikuwa zinamtaka
 
Siyo kwamba tulikuwa wenyewe tunaomtaka. Tulimtaka wengi ila yeye alikomaa kuwa anataka kuja kwetu tu, hivyo wengine wote, mfano Manchester United, wakajikuta hawana nafasi ya kumchukua.
Hakuna team nyingine zilikuwa zinamtaka tofauti na nyie na manyumbu
 
Ukiachana na man u na Arsenal hakuna team nyingine kubwa zilikuwa zinamtaka
Yeye mwenyewe aliweka wazi mapema sana kwa anataka kwenda Arsenal na ndo maana timu zingine hazikushughulika naye.
Manchester walijaribu kuhaijack deal mara mbili wakashindwa.

Kuhusu Manchester city wasingemhitaji kwa sababu Wana Haaland
Madrid Wana Mbappe
Bayern Wana Kane
Liverpool walishamchukua Witz
Barcelona Wana Lewandowski
 
Yeye mwenyewe aliweka wazi mapema sana kwa anataka kwenda Arsenal na ndo maana timu zingine hazikushughulika naye.
Manchester walijaribu kuhaijack deal mara mbili wakashindwa.

Kuhusu Manchester city wasingemhitaji kwa sababu Wana Haaland
Madrid Wana Mbappe
Bayern Wana Kane
Liverpool walishamchukua Witz
Barcelona Wana Lewandowski
Team nyingi zilikuwa zimesajili na wengine walikuwa tayari wanao mastrikers huyo striker alishaona mbali Chelsea walishawasajili Joao Pedro na Delap Bayern tayari ina Kane, Madrid hawana shida ya striker, Man city Wana halland
 
Team nyingi zilikuwa zimesajili na wengine walikuwa tayari wanao mastrikers huyo striker alishaona mbali Chelsea walishawasajili Joao Pedro na Delap Bayern tayari ina Kane, Madrid hawana shida ya striker, Man city Wana halland
Kwahiyo option pekee ya maana ilikuwa Asenal ila ukiwasikia wenye timu wanakwambia kila mchezaji anatutaka 😛😛😛😛
 
Kwahiyo option pekee ya maana ilikuwa Asenal ila ukiwasikia wenye timu wanakwambia kila mchezaji anatutaka 😛😛😛😛

😀 😀 😀 iko hivi. Hao wengine waliwachukua kina Delapkwa sababu wasingeweza kumpata Viktor kwa sababu Viktor aliitaka Arsenal tu. Hata wakati sisi tunajifanya hatumuoni tunahangaika na Sesko, yeye alitoka hadharani na kusema anaitaka Arsenal na atatusubiri twende kumchukua.
 
😀 😀 😀 iko hivi. Hao wengine waliwachukua kina Delapkwa sababu wasingeweza kumpata Viktor kwa sababu Viktor aliitaka Arsenal tu. Hata wakati sisi tunajifanya hatumuoni tunahangaika na Sesko, yeye alitoka hadharani na kusema anaitaka Arsenal na atatusubiri twende kumchukua.
Mkuu acha upotoshaji Chelsea walikuwa wanataka Osimen Tena ni viongozi but Enzo Maresca hakuwa akimtaka na kocha anapenda mastrikers ambao sio target man Kama alivyo Osimen yaani anataka striker mwenye sifa hizi combined ambaye ni flexible ana press, link up yake nzuri, hushuka chini, ana Kasi, mfungaji mzuri na ndio maana akapendekeza Dilap na Joao Pedro hawa ndio wanahizo sifa anazotaka sisi hatujawahi kumtaka huyo Victor kabisa
 
kwa dunia ya sasa ya mpira ,wingers.. centre backs na ma full back ni wengi na wote wana ubora ambao haupishani sana ,wachezaji wachache wenye ubora ambao ni ngumu kuwapata ni wanaocheza nafasi za kipa ,namba 6 ,namba 8 na washambuliaji wa kati.

hivyo ni rahisi zaidi timu kuachia wachezaji wao bora (wingers ,centre backs ama full backs) na bado ikafanya vizuri kwa kuwasajili wengine mana sokoni wapo wengi mno kwa sasa.
 
1753461348881.jpg
 
Back
Top Bottom