999 chatta
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 874
- 1,627
asije kufia ghetto
Joao Pedro ni Bora kuliko Glock kwa maana ameshaprove ndani ya EPL na striker ambaye yupo full packageKwahiyo hao uliowataja kwa mujibu wako ni bora zaidi kuliko Glock?
Ukiachana na man u na Arsenal hakuna team nyingine kubwa zilikuwa zinamtakaMchezaji mwenyewe tayari alishasema anataka kwenda Arsenal na walai sio timu nyingine ndo maana timu nyingine hazikushughulika naye.
Manchester United wamejaribu kumbembeleza mara kadhaa ajiunge nao akawakatalia kbsa.
Uwe unafuatilia hizi habari vizuri kabla ya kuja kuandika utumbo wako
Hakuna team nyingine zilikuwa zinamtaka tofauti na nyie na manyumbuSiyo kwamba tulikuwa wenyewe tunaomtaka. Tulimtaka wengi ila yeye alikomaa kuwa anataka kuja kwetu tu, hivyo wengine wote, mfano Manchester United, wakajikuta hawana nafasi ya kumchukua.
Yeye mwenyewe aliweka wazi mapema sana kwa anataka kwenda Arsenal na ndo maana timu zingine hazikushughulika naye.Ukiachana na man u na Arsenal hakuna team nyingine kubwa zilikuwa zinamtaka
Team nyingi zilikuwa zimesajili na wengine walikuwa tayari wanao mastrikers huyo striker alishaona mbali Chelsea walishawasajili Joao Pedro na Delap Bayern tayari ina Kane, Madrid hawana shida ya striker, Man city Wana hallandYeye mwenyewe aliweka wazi mapema sana kwa anataka kwenda Arsenal na ndo maana timu zingine hazikushughulika naye.
Manchester walijaribu kuhaijack deal mara mbili wakashindwa.
Kuhusu Manchester city wasingemhitaji kwa sababu Wana Haaland
Madrid Wana Mbappe
Bayern Wana Kane
Liverpool walishamchukua Witz
Barcelona Wana Lewandowski
Kwahiyo option pekee ya maana ilikuwa Asenal ila ukiwasikia wenye timu wanakwambia kila mchezaji anatutaka 😛😛😛😛Team nyingi zilikuwa zimesajili na wengine walikuwa tayari wanao mastrikers huyo striker alishaona mbali Chelsea walishawasajili Joao Pedro na Delap Bayern tayari ina Kane, Madrid hawana shida ya striker, Man city Wana halland
Kwahiyo option pekee ya maana ilikuwa Asenal ila ukiwasikia wenye timu wanakwambia kila mchezaji anatutaka 😛😛😛😛
Sio kweli ukitaka kujua Hilo angalia deal hili la Xavi Simon ambapo pia Arsenal mnataka ila mchezaji mwenyewe kaichagua Chelsea. Nyinyi mtashinda vita Kama tu mnagombea mchezaji na man uKwahiyo option pekee ya maana ilikuwa Asenal ila ukiwasikia wenye timu wanakwambia kila mchezaji anatutaka 😛😛😛😛
Mbona Zubumendi walimtaka MadridSio kweli ukitaka kujua Hilo angalia deal hili la Xavi Simon ambapo pia Arsenal mnataka ila mchezaji mwenyewe kaichagua Chelsea. Nyinyi mtashinda vita Kama tu mnagombea mchezaji na man u
Mkuu acha upotoshaji Chelsea walikuwa wanataka Osimen Tena ni viongozi but Enzo Maresca hakuwa akimtaka na kocha anapenda mastrikers ambao sio target man Kama alivyo Osimen yaani anataka striker mwenye sifa hizi combined ambaye ni flexible ana press, link up yake nzuri, hushuka chini, ana Kasi, mfungaji mzuri na ndio maana akapendekeza Dilap na Joao Pedro hawa ndio wanahizo sifa anazotaka sisi hatujawahi kumtaka huyo Victor kabisa😀 😀 😀 iko hivi. Hao wengine waliwachukua kina Delapkwa sababu wasingeweza kumpata Viktor kwa sababu Viktor aliitaka Arsenal tu. Hata wakati sisi tunajifanya hatumuoni tunahangaika na Sesko, yeye alitoka hadharani na kusema anaitaka Arsenal na atatusubiri twende kumchukua.
Madrid hawakuwa serious na huyo player Madrid wanamtaka Rodri na vitinhaMbona Zubumendi walimtaka Madrid
Rice pia Man city walimtakaMadrid hawakuwa serious na huyo player Madrid wanamtaka Rodri na vitinha
Wewe huenda hata hujui kama Chelsea ilishinda kikombe juzi juzi hapa...Hichi kitimu kumbe bado kipo?? Kwani ninyi hamuyiogopi Chelsea??
Tuongezeeni pesa aisee, Chelsea hatujawahi kuwapa vitu vibovu ni kama tuu Madueke alivyo mtaalamu winga teleza 😂ila kepa yuko timamu sana,kuwa na number mbili wa vile safi sana