HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Siyo kwamba tulikuwa wenyewe tunaomtaka. Tulimtaka wengi ila yeye alikomaa kuwa anataka kuja kwetu tu, hivyo wengine wote, mfano Manchester United, wakajikuta hawana nafasi ya kumchukua.Tunazungumzia ubora ama ? Usajili ni kitu kingine na matokeo ya huo usajili ni kitu kingine! Point yangu ni kuwa mnaona kama mmeshinda vita ya kumpata Victor kumbe mlikuwa wenyewe, hakuna timu kubwa iliyomhitaji ikamkosa ! Ni kama kujitekenya na kucheka mwenyewe !
Kepa Arrizabalaga: £5M.
Eberechi Eze 