Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Timu gani kubwa ilimtaka ikamkosa ? Mnashangilia vita ya peke yenu ! Huyu ni flop wa EPL,,,, ! Goals 40+ anazofunga ureno utadhani atazifunga EPL ? Huyu ni version ya kina Clavert wa Everton au kina Wissa wa Brentford !
Wewe hukumbuki Mo Salah na De Bryune walivyofloap Chelsea wakahamia ligi ya Ujurumani na baadae wakarudi Uingereza wakiwa wa Moto.
Shida yenu mashabiki mandazi hamjui Mpira mnachojua ni kubwabwaja tu maneno
 
Huyu victor umri umeenda

Alishafeli epl way back huko.,,,,

Huyu ni farmers league player

Tofauti na utd inayojitafuta, ni timu gani kubwa ilimtaka ikamkosa ? i .e Madrid, barca, Bayern, PSG, liver, city ??? Mlikuwa kwenye race peke yenu mkampata,,,,,,

Mngempata Sessko hapo ndo ingekuwa sawa !

Huyu ni version ya kina Nunes wa liva,,,,

Tupo hapa, tutakuwepo !
We aliekwambia hizo timu zilikua na uhitaji wa straika ni nani?
 
Timu gani kubwa ilimtaka ikamkosa ? Mnashangilia vita ya peke yenu ! Huyu ni flop wa EPL,,,, ! Goals 40+ anazofunga ureno utadhani atazifunga EPL ? Huyu ni version ya kina Clavert wa Everton au kina Wissa wa Brentford !
Kwakua ni Arsenal ndio maana mnaongea yote hayo.. Ingekua Man U mngekua mnasifia au sio 😂
 
We aliekwambia hizo timu zilikua na uhitaji wa straika ni nani?
Liver, PSG wote wanahitaji striker! Liva wakaangukia kwa Hugho, PSG nadhani wako kuangalia talented mdogo wa kudumu mda mrefu, Goncalo Ramos ni kama hajamshawishi Enrique, Chelsea pia walikuwa na uhitaji wakaangulia kwa Delap na Joao
 
Wewe hukumbuki Mo Salah na De Bryune walivyofloap Chelsea wakahamia ligi ya Ujurumani na baadae wakarudi Uingereza wakiwa wa Moto.
Shida yenu mashabiki mandazi hamjui Mpira mnachojua ni kubwabwaja tu maneno
Mpumbavu kweli wewe.,,,, usikariri maisha , kwa hio mfano wa mo na Kevin ndio huo pekee umechukulia sio ! Ishu yenu nyie kelele nyingi mwisho msimu mnakunja mkia matakon kama mbwa asie na matunzo,,,,, ! Mnaona kama mmeshinda vita ya Victor kumbe mlikuwa wenyewe, pamoja na kuongezewa bei
 
Mpumbavu kweli wewe.,,,, usikariri maisha , kwa hio mfano wa mo na Kevin ndio huo pekee umechukulia sio ! Ishu yenu nyie kelele nyingi mwisho msimu mnakunja mkia matakon kama mbwa asie na matunzo,,,,, ! Mnaona kama mmeshinda vita ya Victor kumbe mlikuwa wenyewe, pamoja na kuongezewa bei
Kwani we ulitakaje.. hebu toa maoni yako tukuelewe!
 
Kwahiyo hao uliowataja kwa mujibu wako ni bora zaidi kuliko Glock?
Tunazungumzia ubora ama ? Usajili ni kitu kingine na matokeo ya huo usajili ni kitu kingine! Point yangu ni kuwa mnaona kama mmeshinda vita ya kumpata Victor kumbe mlikuwa wenyewe, hakuna timu kubwa iliyomhitaji ikamkosa ! Ni kama kujitekenya na kucheka mwenyewe !
 
Mpumbavu kweli wewe.,,,, usikariri maisha , kwa hio mfano wa mo na Kevin ndio huo pekee umechukulia sio ! Ishu yenu nyie kelele nyingi mwisho msimu mnakunja mkia matakon kama mbwa asie na matunzo,,,,, ! Mnaona kama mmeshinda vita ya Victor kumbe mlikuwa wenyewe, pamoja na kuongezewa bei
Mchezaji mwenyewe tayari alishasema anataka kwenda Arsenal na walai sio timu nyingine ndo maana timu nyingine hazikushughulika naye.

Manchester United wamejaribu kumbembeleza mara kadhaa ajiunge nao akawakatalia kbsa.

Uwe unafuatilia hizi habari vizuri kabla ya kuja kuandika utumbo wako
 
1753263188875.jpg

Quality coach ??? Na akamchagua Arteta .
Wait until you give Master Arne Slot a Guard of honour ndio akiki zitakukaa sawa.
 
Mpumbavu kweli wewe.,,,, usikariri maisha , kwa hio mfano wa mo na Kevin ndio huo pekee umechukulia sio ! Ishu yenu nyie kelele nyingi mwisho msimu mnakunja mkia matakon kama mbwa asie na matunzo,,,,, ! Mnaona kama mmeshinda vita ya Victor kumbe mlikuwa wenyewe, pamoja na kuongezewa bei

Kuna marekebisho kidogo. Hapana, hatujaongezewa bei kwa Viktor bali tumeshushiwa bei tena kiasi kikubwa tu.

Viktor ana release clause ya €100m. Sisi tumeuziwa kwa €63.5 + €10m kwa add-ons. Akitimiza hizo add-ons maana yake ni tutalipa €73.5m, ambayo ni chini ya 3/4 ya bei yake. Ni gharama nafuu kuliko Ekitike, Šeško, Isak, Mbeumo, Matheus Cunha na hata Eze, ikiwa tutampata.

Sioni kama ni usajili mbaya ukizingatia hayo. Hii imetuzewezesha pia kuwekeza kwenye kipa mpya, beki mpya na mido wawili wapya kusaidia timu kuwa na mbadala.
 
Tunazungumzia ubora ama ? Usajili ni kitu kingine na matokeo ya huo usajili ni kitu kingine! Point yangu ni kuwa mnaona kama mmeshinda vita ya kumpata Victor kumbe mlikuwa wenyewe, hakuna timu kubwa iliyomhitaji ikamkosa ! Ni kama kujitekenya na kucheka mwenyewe !
Sasa we usichotaka ni sisi kufurahia usajili wetu au we unataka vipi?
 
So sad tunaishi kwenye dunia ambayo binadamu haheshimu mawazo ya binadamu mwengine.. sasa kama Slot ni kilaza asiseme!?😁
So sad ndio nini???
There is no single Arsenal fans with Brian.

Tofauti ya Arsenal na Real Sociedad alyotoka huyo Zubimendi ni different league tu lakini vingine vyote mpo sawa TROPHYLESS AURA.
 
Back
Top Bottom