Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hii jezi namba 14 ya Legend mwenyewe Henry msimu huu sehemu moja inaweza kufanya maajabu halafu sehemu nyingine inaweza kua nzito sana, tuwaombee sana hawa viumbe kwa kutaka kwao kuiamsha mizimu iliyolala.
1753517879539.jpg
1753517849310.jpg
1753517805254.jpg
 
Mkuu acha upotoshaji Chelsea walikuwa wanataka Osimen Tena ni viongozi but Enzo Maresca hakuwa akimtaka na kocha anapenda mastrikers ambao sio target man Kama alivyo Osimen yaani anataka striker mwenye sifa hizi combined ambaye ni flexible ana press, link up yake nzuri, hushuka chini, ana Kasi, mfungaji mzuri na ndio maana akapendekeza Dilap na Joao Pedro hawa ndio wanahizo sifa anazotaka sisi hatujawahi kumtaka huyo Victor kabisa
Kwani mtakubali? 😀 😀 😀 . Hizo sifa ulizotaja kuwa mlikuwa mnatafuta ndiyo za Gyokeres sasa. Ila siyo shida. Cha muhimu ni nyie mmepata wachezaji mnaomini mnahitaji na sisi pia tumepata wachezaji tunaoamini tunahitaji.
 
mi nakwambiaje EZE akija arsenal tunachukua PL, sjui kwann ila i prefer EZE tha odegard
Huenda Eze ni mkali kuliko Ode. Akija Eze anaweza kumkalisha Ode bench. Ode alivyorudi kutoka majeruhi alikuwa anaujinga mwingi sana kwenye maeneo hatari. Kama Nwaneri ndiyo anategemewa kuja kurithi number ya Ode, nafikiri ni vizuri kuwa na mtu kama Eze kwa misimu michache ili kumpa ushindani Ode huku kijana akizidi kuimarika.
 
Huenda Eze ni mkali kuliko Ode. Akija Eze anaweza kumkalisha Ode bench. Ode alivyorudi kutoka majeruhi alikuwa anaujinga mwingi sana kwenye maeneo hatari. Kama Nwaneri ndiyo anategemewa kuja kurithi number ya Ode, nafikiri ni vizuri kuwa na mtu kama Eze kwa misimu michache ili kumpa ushindani Ode huku kijana akizidi kuimarika.
Hamtamsajili Eze mark my word
 
Unamuangalia max downman jinsi anavyotembea na mpira facing opponents directly na unagundua ndo kitu pia tumekikosa kwa muda mrefu.

A baller,a carrier(sio runner) mtu ambaye anaweza akapokea mpira na akawafata watu wawili na akatengeneza njia.ananikumbusha prime Samir Nasri.
Kuna wakati structure ya timu inafeli na hapo ndipo unahitaji individual brilliance ili kupata matokeo.

Hawa wachezaji ni wachache mnoo.ila city Ina bahati na hawa watu.kulikuwa na David Silva na baadae wakampata Bernardo Silva.Barca walikuwa na andres iniesta. Anaweza asiwe mzuri kwenye kukaba ila mpira ukifika kwake unapata utulivu.hawatoi pasi kwa presha ya anayemkaba ila wanatoa pasi wanapoona nafasi wanayotaka.

Wanavunja structure,wanavusha phase za uwanja,wanavunja low-block setting na Wana unlock patterns.its lovely to see them.

Sijui tutapata wapi na lini mtu kama huyo ila wanaweka griss kwenye vyuma ili kulainisha. Unakumbuka kazi ya NWANKWO KANU?.

Talents zinapungua ila system na structure zinatake over.ukifanikiwa kupata talent ukaifit kwenye structure yako it become booooom
 
Asenyetoooooooz mupooooo ? ,Baba zenu Chelsea ,vidume pekee London tunasubiri ,msimu uanze tuwashenyente
 
Matimu mengine ovyo kabisa , litimu lina michezaji yenye majina kama mazombi , sasa lichezaji linaitwa Zubimendi ,mara Siliba mara Kondoo wa Merino
 
Joao Pedro ni Bora kuliko Glock kwa maana ameshaprove ndani ya EPL na striker ambaye yupo full package
Kisoka, hiyo si sababu.. tusubiri msimu uanze tuzungumze.. unayakumbuka ya torres, sanchez na wengine ambao walikuwa wameprove ndani ya EPL walipohama timu wakawa mashuzi tu.
Tusubiri kila mmoja atatuonesha ubora wake.
 
Back
Top Bottom